Radio Tadio

Habari za Jumla

12 January 2021, 1:23 pm

Sita wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za wizi

Na,Zakia Ndulute, Dodoma. Mahakama ya Hakimu Wilaya ya Dodoma imewapandisha kizimbani washtakiwa sita wakazi wa Dodoma kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha.Mahakama imemshikilia Mtuhumiwa PIUS JOSEPH YOHANA (20), ALOYCE ISSACK(18), LUCK PAULO(18), RAMADHANI MUSA(20), MUSTAPHA ABUU(20) pamoja na ONESMO…

12 January 2021, 12:46 pm

Mafuriko yakata mawasiliano Vijiji vya Mahama na Nzali

Na,Alfred Bulahya, Dodoma. Wananchi wa Vijijini vya Mahama na Nzali katika Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, wametakiwa kuacha kutumia barabara inayopita katika mto Nyasungwi unaounganisha Vijiji hivyo ili kuepusha hatari ya kusombwa na maji yaliyojaa kutokana na mvua…

12 January 2021, 9:39 am

Jezi Dodoma Jiji Fc zawasili

Dodoma. Jezi za timu ya Dodoma Jiji Fc tayari zimewasili jijini Dodoma.Kwa mujibu wa katibu Mkuu wa Klabu hiyo Fortunatus John ‘Foty” jezi hizo zilichelewa kuwasili nchini kutokana janga la Covid-19 lililotokea nchini China ambapo ndipo zilipokuwa zikitengenezwa. “Tumeleta mzigo…

12 January 2021, 8:16 am

Baobab Queens ni wa moto kweli kweli

Dodoma Timu ya Baobab Queens ya Dodoma imeibuka na ushindi wa bao 6-1 dhidi ya TSC Queens ya Mwanza katika mechi ya ligi kuu soka ya Wanawake iliyopigwa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Ikiwa na kikosi cha wachezaji…

12 January 2021, 7:48 am

TBS na WMA watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu

Dodoma. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Geoffrey Mwambe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wakala wa Vipimo (WMA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuwafikiria wafanya biashara wakati wakitoa huduma ili kuendelea kutengeneza taswira nzuri ya bidhaa  za…

12 January 2021, 3:18 AM

Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) Arobaini na Tisa (49) waliokuwa wakitumikia Vyuo vya Mafunzo vya Unguja na Pemba ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za Sherehe za…

11 January 2021, 2:02 pm

Ubovu wa barabara Mazae wakwamisha maendeleo

Na,Benard Filbert Dodoma. Ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata ya Mazae Wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa kero hali ambayo inasababisha kushindwa kufanyika kwa shughuli za kimaendeleo.Mmoja wa mkazi wa mtaa wa mazae akizungumza na taswira ya habari amesema hivi sasa…

11 January 2021, 12:45 pm

Bei ya mafuta ya alizeti yapaa

Na,Shani, Dodoma Imeelezwa kuwa kupanda kwa bei ya mafuta ya kula hususan ya alizeti kumechangiwa na mvua kubwa iliyonyesha msimu uliopita.Hayo yameelezwa na wafanyabasara katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati wakizungumza na Dodoma Fm ambapo wamesema alizeti imeadimika kutokana…