Habari za Jumla
9 Novemba 2021, 6:09 um
Makusanyo hafifu ya mapato yawafukuzisha kazi watendaji
KYELA-MBEYA Halmashauri ya wilaya ya kyela mkoani Mbeya imeagizwa kuwafuta kazi watendaji wa kata ambao kata zao zimekuwa za mwisho kwenye zoezi la ukusanyaji wa mapato. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Homera mbele ya baraza…
Novemba 9, 2021, 2:17 um
Ahukumiwa Miaka 30 Jela
Frank sanga (23) mkazi wa iniho Wilayani Makete Mkoani Njombe amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka (13) (jina limehifadhiwa) wa kijiji cha Iniho Imeelezwa kuwa mnamo tarehe 7 oktoba,2021 katika…
8 Novemba 2021, 7:17 mu
Serikali za vijiji zishiriki elimu chanjo UVIKO
RUNGWE-MBEYA Jamii wilayani Rungwe imeendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virus vya Corona kwa kuendelea kuzingatia upataji wa chanjo inayoendelea kutolewa kote nchini. Akizungumza na Radio Chai FM Mwenyekiti wa kitongoji cha Mabonde kata ya Msasani Wilayani Rungwe Ndg.ELIASĀ MWASAMBILI amesema…
8 Novemba 2021, 6:22 mu
Chakula mashuleni chaongeza ufaulu Rungwe
RUNGWE-MBEYA Ulaji wa chakula cha mchana katika shule za msingi wilayani Rungwe imechangia kuongeza kiwango cha ufaulu kwa matokeo ya darasa la saba mwaka huu kutoka asilimia 85.28 ya mwaka jana hadi asilimia 90.59 mwaka huu ambalo ni ongezeko la…
6 Novemba 2021, 4:58 um
TANROAD simamieni kwa ukaribu ujenzi wa miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradiĀ mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…
6 Novemba 2021, 11:38 mu
Wapewa siku 90 kuwapisha wafugaji
Wakulima waliovamia ardhi ya kijiji cha Kashanda kata ya Nyakakahanga wilayani Karagwe wamepewa miezi mitatu kuvuna mazao yao mahindi na maharage na kisha kuondoka katika kijiji hicho ili kuwaacha wafugaji waendelee na shughuli zao. Kamati ya ulinzi na usalama ya…
5 Novemba 2021, 4:06 MU
Wananchi Marika waishukuru serikali, mbunge Mwambe kwa kuwapatia maji safi na sa…
SERIKALI kupitia Wakala wa huduma za maji safi na usafi wa Mazingira vijijini( RUWASA) wilayani Masasi mkoani Mtwara, kwa mara ya kwanza tangu upatikanaji wa uhuru, 1961 imewapatia huduma ya maji safi na salama wananchi wa kitongoji cha Ipiho kilichopo…
5 Novemba 2021, 3:57 MU
warsha elekezi kwa Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi
Asasi ya Kiraia ya @HakiElimu imeendesha warsha elekezi kwa baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara inayohusiana na uandaji wa bajeti yenye mlengo wa kijinsia ikiwemo kutambua usawa kati ya mtoto wa kike na wakiume. Warsha…
4 Novemba 2021, 4:46 mu
Mkuu wa wilaya Rungwe amaliza mgogoro wa shule
RUNGWE Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr VICENT ANNEY, ameruhusu kuendelea kwa ujenzi wa shule ya sekondari Kibisi ambao ulikuwa umeingia kwenye mvutano baada ya kiasi cha shilingi mil 40 kilicho tengwa kwaajili ya ukamilishaji wa maboma ya shule kupelekwa…
2 Novemba 2021, 1:58 um
mwalimu mkuu mikononi mwa polisi kwa udanganyifu wa mitihani ya darasa la nne
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Bariadi Mwalimu mkuu shule ya msingi Shimbale katika halmashauri ya Bariadi mkoani Simiyu Gaudensia Anyango mwenye umri wa miaka 45 Mjaruo na mkazi wa mtaa Shimbale anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kufanya udanganyifu…