Radio Tadio

Habari za Jumla

9 Novemba 2021, 6:09 um

Makusanyo hafifu ya mapato yawafukuzisha kazi watendaji

KYELA-MBEYA Halmashauri ya wilaya ya kyela mkoani Mbeya imeagizwa kuwafuta kazi watendaji wa kata  ambao kata zao zimekuwa za mwisho kwenye zoezi la ukusanyaji wa mapato. Agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa wa Mbeya Juma Homera mbele ya baraza…

Novemba 9, 2021, 2:17 um

Ahukumiwa Miaka 30 Jela

Frank sanga (23) mkazi wa iniho Wilayani Makete Mkoani Njombe amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka (13) (jina limehifadhiwa) wa kijiji cha Iniho Imeelezwa kuwa mnamo tarehe 7 oktoba,2021 katika…

8 Novemba 2021, 7:17 mu

Serikali za vijiji zishiriki elimu chanjo UVIKO

RUNGWE-MBEYA Jamii wilayani Rungwe imeendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virus vya Corona kwa kuendelea kuzingatia upataji wa chanjo inayoendelea kutolewa kote nchini. Akizungumza na Radio Chai FM Mwenyekiti wa kitongoji cha Mabonde kata ya Msasani Wilayani Rungwe Ndg.ELIASĀ  MWASAMBILI amesema…

8 Novemba 2021, 6:22 mu

Chakula mashuleni chaongeza ufaulu Rungwe

RUNGWE-MBEYA Ulaji wa chakula cha mchana katika shule za msingi wilayani Rungwe imechangia kuongeza kiwango cha ufaulu kwa matokeo ya darasa la saba mwaka huu kutoka asilimia 85.28 ya mwaka jana hadi asilimia 90.59 mwaka huu ambalo ni ongezeko la…

6 Novemba 2021, 4:58 um

TANROAD simamieni kwa ukaribu ujenzi wa miundombinu ya barabara

Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila amemtaka wakala wa barabara TANROAD mkoani hapo kusimamia kwa ukaribu utekelezaji wa miradiĀ  mbalimbali ya ujenzi wa barabara ili kubaini mapungufu mapema na kuepusha gharama zaidi za ukarabati.…

6 Novemba 2021, 11:38 mu

Wapewa siku 90 kuwapisha wafugaji

Wakulima waliovamia ardhi ya kijiji cha Kashanda kata ya Nyakakahanga wilayani Karagwe  wamepewa miezi mitatu kuvuna mazao yao mahindi na maharage na kisha kuondoka katika kijiji hicho ili kuwaacha wafugaji waendelee na shughuli zao. Kamati ya ulinzi na usalama ya…

4 Novemba 2021, 4:46 mu

Mkuu wa wilaya Rungwe amaliza mgogoro wa shule

RUNGWE Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr VICENT ANNEY, ameruhusu kuendelea kwa ujenzi wa shule ya sekondari Kibisi ambao ulikuwa umeingia kwenye mvutano baada ya kiasi cha shilingi  mil 40 kilicho tengwa kwaajili ya ukamilishaji wa maboma ya shule kupelekwa…