Habari za Jumla
26 Januari 2022, 7:56 um
IDADI YA Â WAJAWAZITO Â WANAOJIFUNGULIAÂ Â KWENYE VITUOÂ VYAÂ AFYAÂ YAFIKIAÂ…
Idadi ya akina mama wanaojifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeongezeka kutoka Asilimia 55 kwa Mwezi Januar -June, 2021 hadi kufikia Asilimia 96.4% kwa Mwezi Julai –Decemba, 2021 huku hamna kifo kitokanacho na Uzazi …
26 Januari 2022, 13:36
Serengeti Mara: Ajinyonga Baada ya kuthibitika kuwachinja watoto wake wanne
Daud Samwel (30) mkazi wa Kitongoji cha Burunga Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali yake baada ya kudhibitiwa kuwachinja watoto wake wanne kufuatia mke kumkimbia baada ya kuzidiwa na kipigo. Tukio hilo limethitibitishwa na na…
26 Januari 2022, 8:50 mu
Wananchi waitumie wiki ya sheria kupata msaada wa kisheria
RUNGWE-MBEYA Kuelekea kilele cha wiki ya sheria nchini mahakama wilayani Rungwe imewataka wananchi kujitokeza katika maeneo ambayo zoezi la utoaji elimu litakuwa likifanyika . Akizungumza na Radio Chai Kaimu Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Rungwe Bw.Augustine Lugome amesema utaratibu huu …
26 Januari 2022, 07:55
Bunda: Nyumba tatu zabomolewa na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za wizi
Nyumba tatu (slop) za mzee Paul Muhere Maneno mkazi wa mtaa wa Kilimahewa Kata ya Kabarimu halmashauri ya mji wa Bunda Mkoani Mara zimebomolewa na wananchi wenye hasira kali. Akizungumzia na Redio Mazingira fm,mtendaji wa Kata ya Kabarimu Ndugu William…
26/01/2022, 04:49
BARAZA la Madiwani la halmashauri ya mji Masasi limepitisha rasimu ya makisio y…
BARAZA la Madiwani la halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti ya mapato na matumizi ya halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha, 2022/2023 ya Sh.23.8 bilioni. Madiwani hao wamepitisha bajeti hiyo ya mapato na matumizi…
24 Januari 2022, 9:46 um
Madiwani Missenyi waridhia kujenga uwanja wa michezo
Baraza la Madiwani Missenyi limeridhia Ujenzi wa Uwanja wa Michezo na suala hili kuweka katika mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka mitano. Katika kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi Jumatatu Januari 24, 2022 kwa ajili ya kupitisha mpango Mkakati…
24/01/2022, 05:06
Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini.
MASASI: Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini. Matembezi yanaanzia Uwanja wa Fisi hadi Uwanja wa BOMA ambapo uzinduzi rasmi utafanyika. Kaulimbiu: “Zama za mapinduzi ya nne ya viwanda, safari ya maboresho kuelekea Mahakama mtandao” Kaulimbiu hii inahamasisha wananchi kutumia njia…
Januari 21, 2022, 12:12 um
zima moto wajipanga kukabiliana na majanga ya moto
Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga, Hanafi Mkilindi, amesema jeshi hilo limejipanga kikamilifu katika kukabiliana na majanga yatakayotokea kipindi hiki cha mvua.. Akizungumza ofisini kwake leo amesema kwa kushirikiana na wananchi watafanikiwa katika kukabiliana…
20 Januari 2022, 20:50
Bunda: serikali ya wilaya kumtafuta mwananchi aliyepotea katika mazingira ya kut…
Waakazi wa kata ya Balili halmasahauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wametakiwa kuwa na subira kuhusu kupatikana kwa ndugu yao aliyetoweka katika Mazingira ya kutatanisha.Akizungumza katika kikao cha kupata ufumbuzi wa suala hilo katibu tawala wilaya ya Bunda Salum…