Radio Tadio

Habari za Jumla

26 Januari 2022, 8:50 mu

Wananchi waitumie wiki ya sheria kupata msaada wa kisheria

RUNGWE-MBEYA Kuelekea kilele cha wiki ya sheria nchini mahakama wilayani Rungwe imewataka wananchi kujitokeza katika maeneo ambayo zoezi la utoaji elimu litakuwa likifanyika . Akizungumza na Radio Chai Kaimu Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Rungwe Bw.Augustine Lugome amesema  utaratibu huu …

24 Januari 2022, 9:46 um

Madiwani Missenyi waridhia kujenga uwanja wa michezo

Baraza la Madiwani Missenyi limeridhia Ujenzi wa Uwanja wa Michezo na suala hili kuweka katika mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka mitano. Katika kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi Jumatatu Januari 24, 2022 kwa ajili ya kupitisha mpango Mkakati…

24/01/2022, 05:06

Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini.

MASASI: Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini. Matembezi yanaanzia Uwanja wa Fisi hadi Uwanja wa BOMA ambapo uzinduzi rasmi utafanyika. Kaulimbiu: “Zama za mapinduzi ya nne ya viwanda, safari ya maboresho kuelekea Mahakama mtandao” Kaulimbiu hii inahamasisha wananchi kutumia njia…

Januari 21, 2022, 12:12 um

zima moto wajipanga kukabiliana na majanga ya moto

Mkuu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga, Hanafi Mkilindi, amesema jeshi hilo limejipanga kikamilifu katika kukabiliana na majanga yatakayotokea kipindi hiki cha mvua.. Akizungumza ofisini kwake leo amesema kwa kushirikiana na wananchi watafanikiwa katika kukabiliana…