Habari za Jumla
3 Febuari 2022, 9:40 mu
Watanzania watakiwa kuwaamini wataalamu wa ndani
Wito umetolewa kwa wananchi kuendelea kuwaamini wataalamu wazawa wanaotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao na kuacha kuwabeza Hayo yamesemwa na mkurugezi wa kampuni ya AUDECIA Investiment Eng Kambarage Wasira anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Guta –…
3 Febuari 2022, 8:17 mu
Tembo waua tena wawili na kujeruhi mmoja Bunda
Watu wawili wamepoteza maisha na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na tembo wakati wakijaribu kuwafukuza tembo waliokuwa wamevamia makazi ya watu katika mtaa wa Bushigwamala kata ya Guta, Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Akizungumzia tukio hilo mwenyekiti wa mtaa…
2 Febuari 2022, 6:01 mu
Wizi wa pikipiki wakwamisha ndoto za vijana
RUNGWE-MBEYA Wananchi wa kata ya kawetele wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa pamoja wameadhimia kuunda mpango wa pamoja wa kuanzisha ulinzi shirikishi (sungusungu) ndani ya kata hiyo kutokana na videndo vya wizi vinavyoendelea. kauli hiyo ya kuadhimia imekuja kwenye mkutano ulioitishwa…
1 Febuari 2022, 11:32 MU
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni…
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoano Mtwara imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni miamoja na hamsini na tano kwa vikundi 33 vya wanawake ,vijana ,na watu wenye ulemavu vilivyopo halmashauri hiyo . Makabidhiano hayo yamefanyika February 1, 2022, katika…
1 Febuari 2022, 5:22 mu
UWT Rungwe wapanda miti 50 kuendeleza uhifadhi wa Mazingira
RUNGWE-MBEYA Jumla ya miti hamsini imepandwa na Umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi CCM(UWT) wilayani Rungwe mkoani Mbeya katika Zahanati ya Suma pamoja na ofisi ya chama kwenye kata hiyo ikiwa ni maadhimisho ya miaka 45 tangu kuanziswa kwa…
31 Januari 2022, 5:48 mu
Jamii izingatia maziwa ya mama kwa mtoto mchanga katika kipindi cha siku 1000
RUNGWE-MBEYA Wazazi wanmetakiwa kufuata utaratibu wa kunyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama kwa kipindi cha miezi sita kama inavyo shauriwa na wataalamu wa afya ili kumeposhia mtoto kupapa madhara ya kiafya. kauli hiyo imetolewa na afisa lishe BI JANET MAONA…
30 Januari 2022, 2:59 um
kata saba wilayani bariadi kuunganishwa na miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi wameshauri kuunganishwa kwa kata saba kwa njia ya barabara ili kuwapunguzia adha wananchi kutumia muda mrefu kufika makao makuu halmashauri hiyo yaliyopo Dutwa.Wameyasema hayo wakati wakipokea taarifa kwenye…
30 Januari 2022, 1:51 um
Epuka uchafu wa Mazingira Kilosa -M/kiti Chabu.
Wito umetolewa kwa jamii Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro kujenga tabia ya kushiriki kufanya usafi wa Mazingira na kupanda miti kwa ajili ya kuepuka magojwa ya mlipuko na kutunza Mazingira Wilayani humo . Wito huo umetolewa Januari 29 mwaka huu na…
29 Januari 2022, 6:48 um
Tembo waharibu Ekari 50 za mahindi na mtama
Takribani ekari 50 za mahindi na 10 za pamba kata ya bunda stoo halmashauri ya mji wa bunda zimeliwa na tembo usiku wa kuamkia tarehe 28 jan 2022 Hayo yamesemwa na Afisa kilimo wa kata ya Bunda stoo Mboji Shibole…
29 Januari 2022, 7:26 mu
Jamii ijitokeza kupata matibabu ugonjwa wa Ukoma
RUNGWE-MBEYA Jamii imetakiwa kujitokeza kupata matibabu pindi waonapo dalili za ugonjwa wa Ukoma hali itakayosaidia kuzuia maambukizi kwa wengine. Rai hiyo imetolewa na Mratibu wa kifua kikuu na Ukoma wilayani Rungwe Daktari Emmanuel Asukile alipokuwa akizungumzia kuelekea maadhimisho ya siku…