Habari za Jumla
8 Febuari 2022, 5:58 um
Waandishi wawe chachu elimu dhidi ya vitendo vya ukatili
MBEYA Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Kaimu Afisa Elimu Mkoa Wilbrod Yanga amewataka Waandishi wa habari chipukizi ishirini na moja Mkoani Mbeya walionufaika na mradi wa SAUTI MPYA kuendeleza elimu waliyoipata baada ya mradi huo wa…
8 Febuari 2022, 9:44 mu
KILELE CHA WIKI YA SHERIA , MAHAKAMA YA WILAYA MASWA YAPOKEA …
Mahakama ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu imepokea jumla ya malalamiko 345 katika wiki ya sheria huku malalamiko ya utelekezwaji wa watoto yakiongoza yakifuatiwa na Migogoro ya Ardhi. Akitoa taarifa kwa mgeni rasimi, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya wilaya …
7 Febuari 2022, 10:58 mu
Wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito warudi shule
MBEYA Serikali mkoani Mbeya kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewataka wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito kurudi kuendelea na masomo kwa utaratibu ambao serikali imeupanga. Homera ameyasema kuwa serikali ya awamu ya sita kupitia kwa Rais…
3 Febuari 2022, 9:40 mu
Watanzania watakiwa kuwaamini wataalamu wa ndani
Wito umetolewa kwa wananchi kuendelea kuwaamini wataalamu wazawa wanaotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao na kuacha kuwabeza Hayo yamesemwa na mkurugezi wa kampuni ya AUDECIA Investiment Eng Kambarage Wasira anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Guta –…
3 Febuari 2022, 8:17 mu
Tembo waua tena wawili na kujeruhi mmoja Bunda
Watu wawili wamepoteza maisha na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na tembo wakati wakijaribu kuwafukuza tembo waliokuwa wamevamia makazi ya watu katika mtaa wa Bushigwamala kata ya Guta, Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Akizungumzia tukio hilo mwenyekiti wa mtaa…
2 Febuari 2022, 6:01 mu
Wizi wa pikipiki wakwamisha ndoto za vijana
RUNGWE-MBEYA Wananchi wa kata ya kawetele wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa pamoja wameadhimia kuunda mpango wa pamoja wa kuanzisha ulinzi shirikishi (sungusungu) ndani ya kata hiyo kutokana na videndo vya wizi vinavyoendelea. kauli hiyo ya kuadhimia imekuja kwenye mkutano ulioitishwa…
1 Febuari 2022, 11:32 MU
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni…
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoano Mtwara imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni miamoja na hamsini na tano kwa vikundi 33 vya wanawake ,vijana ,na watu wenye ulemavu vilivyopo halmashauri hiyo . Makabidhiano hayo yamefanyika February 1, 2022, katika…
1 Febuari 2022, 5:22 mu
UWT Rungwe wapanda miti 50 kuendeleza uhifadhi wa Mazingira
RUNGWE-MBEYA Jumla ya miti hamsini imepandwa na Umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi CCM(UWT) wilayani Rungwe mkoani Mbeya katika Zahanati ya Suma pamoja na ofisi ya chama kwenye kata hiyo ikiwa ni maadhimisho ya miaka 45 tangu kuanziswa kwa…
31 Januari 2022, 5:48 mu
Jamii izingatia maziwa ya mama kwa mtoto mchanga katika kipindi cha siku 1000
RUNGWE-MBEYA Wazazi wanmetakiwa kufuata utaratibu wa kunyonyesha mtoto mchanga maziwa ya mama kwa kipindi cha miezi sita kama inavyo shauriwa na wataalamu wa afya ili kumeposhia mtoto kupapa madhara ya kiafya. kauli hiyo imetolewa na afisa lishe BI JANET MAONA…
30 Januari 2022, 2:59 um
kata saba wilayani bariadi kuunganishwa na miundombinu ya barabara
Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi wameshauri kuunganishwa kwa kata saba kwa njia ya barabara ili kuwapunguzia adha wananchi kutumia muda mrefu kufika makao makuu halmashauri hiyo yaliyopo Dutwa.Wameyasema hayo wakati wakipokea taarifa kwenye…