Radio Tadio

Habari za Jumla

8 Febuari 2022, 5:58 um

Waandishi wawe chachu elimu dhidi ya vitendo vya ukatili

MBEYA Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Kaimu Afisa Elimu Mkoa Wilbrod Yanga amewataka Waandishi wa habari chipukizi ishirini na moja Mkoani Mbeya walionufaika na mradi wa SAUTI MPYA kuendeleza elimu waliyoipata baada ya mradi huo wa…

7 Febuari 2022, 10:58 mu

Wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito warudi shule

MBEYA Serikali mkoani Mbeya kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewataka wanafunzi waliomajumbani kwa changamoto za ujauzito kurudi kuendelea na masomo kwa utaratibu ambao serikali imeupanga. Homera ameyasema  kuwa serikali ya awamu ya sita kupitia kwa Rais…

3 Febuari 2022, 9:40 mu

Watanzania watakiwa kuwaamini wataalamu wa ndani

Wito umetolewa kwa wananchi kuendelea kuwaamini wataalamu wazawa wanaotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika maeneo yao na kuacha kuwabeza Hayo yamesemwa na mkurugezi wa kampuni ya AUDECIA Investiment  Eng Kambarage Wasira anayetekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Guta –…

3 Febuari 2022, 8:17 mu

Tembo waua tena wawili na kujeruhi mmoja Bunda

Watu wawili wamepoteza maisha na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na tembo wakati wakijaribu kuwafukuza tembo waliokuwa wamevamia makazi ya watu katika mtaa wa Bushigwamala kata ya Guta, Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Akizungumzia tukio hilo mwenyekiti wa mtaa…

2 Febuari 2022, 6:01 mu

Wizi wa pikipiki wakwamisha ndoto za vijana

RUNGWE-MBEYA Wananchi wa kata ya kawetele wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa pamoja wameadhimia kuunda mpango wa pamoja wa kuanzisha ulinzi shirikishi (sungusungu) ndani ya kata hiyo kutokana na videndo vya wizi vinavyoendelea. kauli hiyo ya kuadhimia imekuja kwenye mkutano  ulioitishwa…

1 Febuari 2022, 5:22 mu

UWT Rungwe wapanda miti 50 kuendeleza uhifadhi wa Mazingira

RUNGWE-MBEYA Jumla ya miti hamsini imepandwa na Umoja wa wanawake  wa chama cha mapinduzi CCM(UWT) wilayani  Rungwe mkoani Mbeya katika Zahanati ya Suma pamoja na ofisi ya chama kwenye kata hiyo ikiwa ni maadhimisho ya miaka 45 tangu kuanziswa kwa…

30 Januari 2022, 2:59 um

kata saba wilayani bariadi kuunganishwa na miundombinu ya barabara

Na mwandishi wetu Daniel Manyanga,Simiyu Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi wameshauri  kuunganishwa kwa kata saba kwa njia ya barabara ili kuwapunguzia adha wananchi kutumia muda mrefu kufika makao makuu halmashauri hiyo yaliyopo Dutwa.Wameyasema hayo wakati wakipokea taarifa kwenye…