Radio Tadio

Habari za Jumla

Machi 14, 2022, 1:51 um

Wajumbe MTAKUWA wapanga mikakati ya kupinga ukatili wa kijinsia.

Wajumbe wa kamati ya MTAKUWA Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wamekutana katika kikao  cha Mradi wa Mwanamke Amka ili kujadili mpango kazi ambao utatokomeza ukatili wa kijinsia huku wanaume wakitajwa kuwa ndio chanzo kikubwa kinacho chochea ukatili. Akizungumza wakati wa kikako…

Machi 12, 2022, 12:21 um

Madimbwi ya maji changamoto katika makazi ta watu

Kutokana na kuwepo kwa madimbwi ya maji kwenye maeneo ya makazi ya watu katika msimu wa huu wa mvua wananchi wa Mtaa wa Sokola Kata ya Majengo iliyopo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wamesema wanachukua tahadhari ya  kuziba madinbwi hayo…

Machi 12, 2022, 12:09 um

Elimu yaendelea kutolewa kupinga ukatili wa kijinsia.

Ili kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia katika manispaa ya kahama Mkoani shinyanga wajumbe wa mradi wa mwanamke amka wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwenye jamii hasa kwa watoto walioko mashuleni. Hayo yamesemwa na mkuu wa dawati la jinsia na watoto…

9 Machi 2022, 10:00 mu

Siku ya wanawake duniani itumike kufikia jamii zenye uhitaji

RUNGWE-MBEYA NA:EZEKIEL KAPONELA Siku ya Mwanamke duniani leo imeadhimishwa katika Halmshauri ya Wilaya ya Rungwe huku ikitolewa misaada mbalimbali kwa wahitaji. Katika maadhimisho hayo yaliyokwenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Kizazi cha haki na usawa kwa maendeleo endelevu”mamia ya wanawake…