Habari za Jumla
21 Agosti 2022, 2:43 um
Mbunge viti maalumu Pemba aomba watu wenye ulemavu wahesabiwe
. Wananchi Kisiwani Pemba wametakiwa kutowaficha watu wenye ulemavu wakati wa zoenzi la sensa litakapoanza siku ya tarehe 23/08/2022 kwani nao wana haki kama binaadamu wengine. Kauli hiyo imetolewa na Mh Marya Azani mwinyi Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa…
20 Agosti 2022, 10:44 mu
IUCN kupitia ubalozi wa Ireland Tanzania yang’arisha vikundi vya wajasilia…
Wanavikundi cha Uvumbuzi Pujini Kibaridi,Mapape Cooperative Chambani na Yataka Moyo Chokocho wamelishukuru Shirika la IUCN kupitia mradi unaofadhiliwa na Ubalozi wa Ireland Tanzania kwa kuwasadia kwa hali na mali katika kuboresha vikundi vyao. Akizungumza wakati wa uwasilishaji wa ripoti fupi…
19 Agosti 2022, 10:22 mu
Stamina ndani ya Banja Beat ya Pangani FM
Niaje, Karibu kusikiliza Podcast ya Pangani FM Leo hii tumekuletea mkali wa vina na ‘wordplay’ stamina ambaye amepia stori na Mtangazaji wetu Stephano Simanagwa katika kipindi cha Banja Beat kinachokwenda hewani Jumatatu mpaka Ijumaa saa 8 kamili mchana mpaka saa…
17 Agosti 2022, 4:04 um
Watu Nane wa Familia Moja wahisiwa kula chakula chenye Sumu Pangani.
Hali ya afya ya watu wa familia moja waliopata madhara baada ya kula chakula kinachohisiwa kuwa kimechanganyika na sumu wilayani Pangani Mkoani Tanga inaendelea vizuri na tayari saba kati yao wameruhusiwa kutoka hospitalini huku mmoja akiwa anaendelea kupatiwa matibabu.…
12 Agosti 2022, 11:38 mu
Mwenyekiti wa kamati ya abaraza la wawakilishi ya kusimamia ofisi za viongoziwak…
ZANZIBAR Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya kusimamia Ofisi za viongozi wakuu wa kitaifa Mhe Machano Othman Said amewataka watendaji wa mazingira kuhakikisha kuwa sheria za mazingira zinafuatwa katika kuwalinda wanavikundi wanaojihusisha na utunzaji wa mazingira. Akizungumza…
12 Agosti 2022, 8:40 mu
Watu wenye ulemavu pemba walia na kitengo cha elimu ya afya
PEMBA Ufikiwaji mdogo wa watu wenye ulemavu katika utoaji wa elimu ya chanjo ya uviko 19 ni changamoto moja wapo inayopelekea ushiriki mdogo kwa kundi hilo. wakizungumza na mkoani fm mariam khamis hamadi na nasra hakim hassani wenye ulemavu wa…
26 Julai 2022, 6:55 um
Funguni Sekondari yapokea Milioni Mia Mbili za Mabweni.
Shule ya Sekondari Funguni iliyopo Wilayani Pangani mkoani Tanga imepokea kiasi cha pesa shilingi millioni mia mbili kwa ajili ya ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wakike na wakiume. Akizungumza na Pangni FM katibu tawala Wilaya ya Pangani Mwalimu Hassani Nyange…
26 Julai 2022, 2:01 um
Wakulima wilaya ya Mkoani waomba wafikiwe na maafisa wa utabiri wa hali ya hewa
Wakulima wa kilimo cha mpunga bonde la kimbuni shehiya ya mgagadu wilaya ya mkoani kisiwani pemba wameiomba Radio Jamii Mkoani kuendeleza mashirikiano na wataalamu wa masuala ya kilimo kwa lengo la kuwasaidia wakulima kuongeza ujuzi katika masuala ya kilimo.…
25 Julai 2022, 6:51 um
MASHIMBA NDAKI AWAONYA WATENDAJI WANAOTAFUNA FEDHA ZA MICHANGO YA MAE…
Waziri wa Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi Mh Mashimba Mashauri Ndaki amewaonya watendaji wa vijiji na Kata wanaotafuna Fedha za Michango ya Maendeleo ya Wananchi wanazowachangisha kisha kutowasomea Mapato na Matumizi na kuwapa Mrejesho. Waziri …
25 Julai 2022, 9:35 mu
Wahudumu wa afya wa kujitolea Pemba kuongeza uhamasishaji wa chanjo ya Uviko-19
WAHUDUMU WA AFYA WA KUJITOLEA PEMBA KUONGEZA UHAMASISHAJI WA CHANJO YA CORONA Wahudumu wa afya wa kujitolea(CHV) kisiwani pemba wametakiwa kuendelea kuhamasisha jamii kujitokeza kuchanja chanjo ya corona ili kuongeza nguvu ya mapambano dhidi ya UVIKO 19. Kauli hiyo…