Radio Tadio

Habari za Jumla

11 April 2023, 11:05

Simanzi: Binti aliyejinyonga Pangani

Binti mmoja anayefahamika kwa jina la Mwajuma Fadhili anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 14 mwanafunzi wa Darasa la Saba wa shule ya Msingi Kimang’a wilayani pangani Mkoani Tanga amekutwa amejinyonga Aprili 9 usiku. Akizungumza na Pangani FM kaimu mkuu…

4 April 2023, 5:53 am

Wananchi Mpanda Watoa Maoni Mseto Juu ya Damuchafu

MPANDA Baadhi Ya wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya wimbi lililoibuka la watu wanaofanya matukio ya kupora na kuiba mitaani maarufu kama Damu Chafu. Wameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakizungumza na kituo hiki…

29 March 2023, 8:29 am

Wananchi kata ya Nsemulwa walia na barabara

MPANDA Baadhi ya wananchi wa Kata ya Nsemlwa Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameiomba serikali kutengeneza miundombivu mibovu ya barabara iliyopo katika kata hiyo katika kipindi hiki cha mvua za masika ili kuwaondolea adha wanayokutana nayo. Wakizungumza na…

25 March 2023, 12:38 am

Wananchi Kayenze wajipanga kuchangishana kujenga choo cha soko

KATAVIKijiji cha Kayenze kata ya Katuma Wilayani Tanganyika mkoani Katavi kimepanga kuchangishana kwa ajili ya ukamilishaji wa Jengo la Choo katika Soko Linalomilikiwa na kijiji. Diwani wa kata ya katuma Paulo Pamasi ameiambia mpanda Radio kuwa kuanzia mwezi ujao mara…