Habari za Jumla
12 July 2025, 8:02 am
Sun King kuajiri vijana zaidi ya 300
Kampuni ya Sun king licha ya kujihusisha na masuala ya nishati mbadala imekuwa ikitengeneza ajira kwa vijana kama njia ya kuiunga mkono serikali kukabiliana na changamoto ya ajira hapa Nchini Na Katalina Liombechi Kampuni ya Sun King, inayojishughulisha na huduma…
July 11, 2025, 11:30 pm
Wanaohujumu miundombinu ya maji Kagera kuchukuliwa hatua
Wanunuzi wa vyuma chakavu na mafundi bomba mkoani Kagera wametakiwa kutoa ushirikiano na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA) ili kuwabaini watu wanaoiba na kuharibu miundombinu ya maji. Na.Avitus Kyaruzi Mamlaka ya maji safi na usafi…
11 July 2025, 10:53 pm
TMDA yawaonya wananchi kuuza dawa sehemu za minada
Wafanya biashara wa dawa za mifugo mkoani Manyara wametakiwa kuacha Tabia ya kuuza dawa hizo katika minada au sehemu ambayo haitambuliwi na serikali kwani dawa hizo zinakuwa zimepoteza ubora na ufanisi. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa Leo na afisa…
11 July 2025, 9:52 pm
Mwenge wa uhuru kutembelea miradi ya zaidi ya shilingi billion 10 Babati
Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, amesema Mwenge wa Uhuru 2025 utatembelea na kukagua miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 10 katika Halmashauri zote mbili za Wilaya ya Babati Babati Mji na Babati…
9 July 2025, 09:51
Wananchi wapewa elimu kujikinga na majanga ya moto Kigoma
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Kigma limewataka wananchi kuendelea kuchukua hatua za kukabiliana na majanga ya moto ambayo yanaweza kujitokeza katika maeneo yao. Na Esperance Ramadhan Baadhi ya Wananchi Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kuzima moto pindi linapotokea tatizo…
8 July 2025, 2:47 pm
CUF yawasha moto Pemba wagombea wa maslahi binafsi kupigwa chini
Na Is-haka Mohammed. Chama cha Wananchi CUF kimedhamiria kufanya tathmini ya kina ya wagombea watakaosimamishwa katika nafasi mbalimbali za uongozi, kwa lengo la kuhakikisha wanachaguliwa viongozi wenye sifa ya uzalendo na utayari wa kuwatumikia wananchi, si kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika…
7 July 2025, 7:42 pm
DC Mpanda wekeni akiba ya chakula
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Bei zimepanda niwaombe tukumbuke kuweka akiba ya chakula” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewahimiza wananchi kutunza chakula hususani katika kipindi hiki cha mavuno ambapo…
6 July 2025, 5:58 pm
TAMESOT yalitaka baraza la tiba asili kudhibiti waganga matapeli
Kila zinapowadia nyakati za uchaguzi mkuu hapa nchini kunakuwa na ongezeko la matukio ya uhalifu yanayohusishwa na imani za kishirikina ikidaiwa kuwa ni kutekeleza maelekezo ya waganga wa tiba asili maarufu kama waganga wa kienyeji Na Theophilida Felician, Bukoba Chama…
4 July 2025, 4:18 pm
Simiyu:Matukio 92 ya ajali migodini yaacha vilio
“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu lazima tuendelee kutoa elimu ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kupunguza au kumaliza matukio ya wachimbaji wadogo maana kila kukicha tunaona vifo,majeruhi na ulemavu wa kudumu hivyo mamlaka husika zinao wajubu mkubwa…
July 4, 2025, 3:40 pm
Kinnapa na mpango wa kuwarudisha watoto wakike shuleni
Picha ya mkurugenzi wa KINNAPA Abraham Akilimali, akizungumza na waandidhi wa habari na wadau mbalimbali wa maendeleo Wito umetolewa kwa waandishi wa habari Babati Mkoani Manyara kuendelea kuhamasisha sera ya haki ya kuwarudisha watoto wa kike shuleni. Na Linda Moseka…