Habari za Jumla
Januari 16, 2023, 8:24 mu
Wanafunzi walioacha masomo washauriwa kujisajili waanze kusoma
Wanafunzi wa kike walioacha masomo kwa sababu mbalimbali kuanzia mwaka 2016 wametakiwa kujiandikisha ili waweze kuanza masomo kwa muhula wa masomo 2023/24 katika program ya Elimu ya Sekondari kwa Njia Mbadala (SEQUIP-AEP) Baptista Kaguo Mratibu wa elimu ya watu…
Januari 16, 2023, 8:00 mu
Waiba Alama za Barabarani Ikonda-Makete
Watu wasiojulikana wameng’oa na kuiba Mabomba matano ya Vibao vya alama za usalama Barabarani katika Barabara kuu ya Makete – Njombe usiku wa kuamkia January 13, 2023 katika eneo la kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe Wakizungumza na…
Januari 16, 2023, 7:46 mu
Wananchi waiomba Serikali kujenga Barabara Kigulu
Wananchi wa Kijiji cha Kigulu wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Kijiji hicho ili kurahisisha shughuli za usafiri na kuongeza mzunguko wa Uchumi kwa wananchi. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda wananchi hao…
Januari 11, 2023, 7:47 um
Elimu ya Utunzaji wa Mazingira kuanza kutolewa Liganga na Mchuchuma Ludewa
Kufuatia kuanza kwa miradi midogo ya uchimbaji madini ya makaa ya mawe wilayani Ludewa mkoani Njombe huku miradi mikubwa ya Liganga na Mchuchuma ikitarajiwa kuanza hivi karibuni shirika lisilo la kiserikali Umbrella of Women and Disabled organization (UWODO) imewasili…
Januari 11, 2023, 7:43 um
Wananchi elfu 15 Waanza kunufaika na mradi wa Maji Matamba-Kinyika
Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA) imetekeleza mradi wa Zaidi ya Bilioni moja katika Tarafa ya Matamba na kuukabidhi kwa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Makete Ruwasa mradi huo unatambulika kwa jina la Matamba-Kinyika Makabidhiano…
Januari 11, 2023, 7:39 um
Wanaume wakatazwa kusimama na Wanafunzi wa Kike Njombe
Serikali wilayani Ludewa mkoani Njombe, imepiga marufuku wanaume kusimama na wanafunzi wa kike kwa zaidi dakika 15 katika mazingira yenye mashaka, baada ya kufanya utafiti mwepesi na kubaini kwamba kuna kundi kubwa la watoto wa kike wanaokatisha masomo kwa…
Januari 11, 2023, 7:37 um
Wazazi wakamatwe wafanye usafi Shuleni-RC Njombe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amemuagiza mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa kuwakamata na kuwafanyisha usafi kwenye mashuleni pamoja na vituo vya afya wazazi wote ambao watoto wao hawajaripoti shuleni kuanza muhula mpya wa masomo badala ya…
Januari 9, 2023, 6:02 um
Msikae Ofisini Fuatilieni Ufundishaji na Ujifunzaji Mashuleni: Dkt. Dugange
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange amewataka viongozi wa Elimu ngazi ya Shule, Kata, Halmashauri na Mikoa kutokaa ofisini bali wafuatilie ufundishaji na ujifunzaji shuleni kwa kushauriana na walimu na kuhakikisha wanafunzi wanapata umahiri…
Januari 9, 2023, 5:27 um
Msako kuanza kwa Wazazi/Walezi ambao hawajapeleka Wanafunzi Shule
Wanafunzi Kidato cha kwanza na darasa la kwanza wameanza kuripoti shuleni katika shule mbalimbali Wilayani Makete huku Mkuu wa Wilaya akiagiza kukamatwa kwa Mzazi yeyote ambaye hataki kupeleka mwanafunzi shuleni. Leo tarehe 9 Januari, 2023 Akiwa katika ukaguzi wa…
Januari 7, 2023, 8:32 um
Mwanafunzi hata kama hana Sare aanze Masomo-dc Mhe. Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amekagua vyumba vya madarasa kwa shule za Sekondari ambavyo wanafunzi wataripoti na kuanza masomo Januari 9, 2023. Mhe. Sweda amesema Serikali imehakikisha wanafunzi wanapata Mazingira rafiki ya kujifunzia na hivyo mpaka…