Habari za Jumla
Januari 11, 2023, 7:43 um
Wananchi elfu 15 Waanza kunufaika na mradi wa Maji Matamba-Kinyika
Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Iringa (IRUWASA) imetekeleza mradi wa Zaidi ya Bilioni moja katika Tarafa ya Matamba na kuukabidhi kwa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Makete Ruwasa mradi huo unatambulika kwa jina la Matamba-Kinyika Makabidhiano…
Januari 11, 2023, 7:39 um
Wanaume wakatazwa kusimama na Wanafunzi wa Kike Njombe
Serikali wilayani Ludewa mkoani Njombe, imepiga marufuku wanaume kusimama na wanafunzi wa kike kwa zaidi dakika 15 katika mazingira yenye mashaka, baada ya kufanya utafiti mwepesi na kubaini kwamba kuna kundi kubwa la watoto wa kike wanaokatisha masomo kwa…
Januari 11, 2023, 7:37 um
Wazazi wakamatwe wafanye usafi Shuleni-RC Njombe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amemuagiza mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa kuwakamata na kuwafanyisha usafi kwenye mashuleni pamoja na vituo vya afya wazazi wote ambao watoto wao hawajaripoti shuleni kuanza muhula mpya wa masomo badala ya…
Januari 9, 2023, 6:02 um
Msikae Ofisini Fuatilieni Ufundishaji na Ujifunzaji Mashuleni: Dkt. Dugange
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange amewataka viongozi wa Elimu ngazi ya Shule, Kata, Halmashauri na Mikoa kutokaa ofisini bali wafuatilie ufundishaji na ujifunzaji shuleni kwa kushauriana na walimu na kuhakikisha wanafunzi wanapata umahiri…
Januari 9, 2023, 5:27 um
Msako kuanza kwa Wazazi/Walezi ambao hawajapeleka Wanafunzi Shule
Wanafunzi Kidato cha kwanza na darasa la kwanza wameanza kuripoti shuleni katika shule mbalimbali Wilayani Makete huku Mkuu wa Wilaya akiagiza kukamatwa kwa Mzazi yeyote ambaye hataki kupeleka mwanafunzi shuleni. Leo tarehe 9 Januari, 2023 Akiwa katika ukaguzi wa…
Januari 7, 2023, 8:32 um
Mwanafunzi hata kama hana Sare aanze Masomo-dc Mhe. Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amekagua vyumba vya madarasa kwa shule za Sekondari ambavyo wanafunzi wataripoti na kuanza masomo Januari 9, 2023. Mhe. Sweda amesema Serikali imehakikisha wanafunzi wanapata Mazingira rafiki ya kujifunzia na hivyo mpaka…
Januari 7, 2023, 7:28 um
Miundombinu imekamilika kupokea Wanafunzi Januari 9, 2023- Mhe. Mpete
Wakati shule zote nchini Tanzania zikitarajiwa kufunguliwa siku ya Jumatatu ya Januari 9 ,2022 wazazi na walezi mkoani Njombe wametakiwa kuwaandalia watoto mahitaji yote muhimu ili wanafunzi wote waripoti shule na kuanza masomo kwa pamoja. Akizungumza na wanahabari Mwenyekiti…
Januari 7, 2023, 7:19 um
Serikali kutafuta namna ya Kumkopesha Mwananchi Simu Janja
Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Mhe.Nape Nnauye ( Mb ) amesema serikali iko mbioni kutafuta namna ya kumuwezesha mtanzania wa kawaida kumudu gharama ya kununua simu janja. Amebainisha hayo wakati akizindua mnara wa simu katika Kijiji cha Kinenulo…
Januari 6, 2023, 5:49 um
Wanafunzi 17 wanunuliwa vifaa kujiunga na Kidato cha Kwanza Iwawa Sekondari
Mbunge Jimbo la Makete Mhe. Festo Sanga kwa kushirikiana na Jofrey Mbilinyi Mkurugenzi wa GNM CARGO wamekabidhi vifaa kwa wanafunzi 17 waliomaliza shule ya Msingi Maleutsi Kata ya Iwawa Wilaya ya Makete na kufanikiwa kujiunga kidato cha kwanza. Vifaa…
Januari 6, 2023, 12:00 um
Wakurugenzi simamieni Malipo ya Ushuru wa Mbao wa 3%- Waziri Kijaji
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dk Ashatu Kijaji amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Njombe kuhakikisha inakusanya mapato ya Mbao kwa 3% kwa mujibu wa utaratibu uliowekwa na Serikali na siyo shilingi 100 kwa kila…