Habari za Jumla
Januari 27, 2023, 7:55 mu
Jamii ijikite kusuluhisha Migogoro-Mhe. Ivan Msaki
Hakimu mkazi mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya Makete Mh. Ivan Msaki amesema jamii ikijikita katika utatuzi wa migogoro kwa njia ya usuluhishi kutaifanya jamii yenyewe kuishi bila uhasama. Mh. Msaki ameyasema hayo januari 25,2023 wakati akizungumza na wanafunzi wa chuo…
Januari 27, 2023, 7:28 mu
Wazazi wawajibike kulea Watoto-Mwanasheria Makete
Wananchi wametakiwa kuhakikisha wanahudumia Familia hususani watoto pale wazazi/wanandoa wanapokuwa wametengana kwa sababu mbalimbali. Rai hiyo imetolewa na Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Wilaya ya Makete Ndg. Appolo Laizer akizungumza na Kitulo FM kwenye Kipindi cha Daladala tarehe 27…
Januari 25, 2023, 4:00 um
MNEC Njombe ampongeza DC Makete kuaminiwa na Rais
Mwakilishi wa Mkutano Mkuu CCM Taifa Mkoa wa Njombe (MNEC) Ndg. Abraham Okoka amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda kwa kuaminiwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwatumikia wananchi wa Makete MNEC ametoa pongezi hizo leo…
Januari 25, 2023, 2:19 um
Miche elfu 20 ya Parachichi kugawiwa kwa Walengwa wa TASAF Makambako-Njombe
Ili kukabiliana na umasikini uliopo kwenye baadhi ya familia mkoani Njombe Serikali chini ya Wizara ya Kilimo imegawa miche elfu 20 kwa kaya zinazonufaika na mpango wa TASAF Katika Halmashauri ya mji wa Makambako. Akitoa miche hiyo katika kata ya…
Januari 25, 2023, 2:18 um
Wazazi Sababu Wanafunzi kufanya Vibaya Mitihani
Wazazi na walezi katika kijiji cha nyamande kilichopo kata ya kitandililo halmashauri ya mji wa Makambako wametajwa kuwa sababu ya wanafunzi hasa wa darasa la saba kufanya vibaya katika mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi. Wazazi hao wametajwa kuwashawishi watoto…
Januari 25, 2023, 2:16 um
Katekista Kizimbani kwa tuhuma za kumbaka Mwanafunzi
Katekista wa kanisa la Roman Catholic parokia ya Mlangali wilayani Ludewa mkoani Njombe Simon Njavike (43) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya hiyo kwa Tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu (17) ambaye jina lake limehifadhiwa. Akisomewa shitaka hilo…
Januari 25, 2023, 2:13 um
Hatuwezi kuwa na Furaha wakati watu wetu wanateseka-Mhe. Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema Halmashauri na TARURA inapaswa kuhakikisha wannanchi waa Kigulu wanapata huduma ya Barabara kulingana na kukosa huduma hiyo kwa miaka mingi kwa kuwa hali si nzuri. Mhe. Sweda amesema Mwanamke akipatwa na…
Januari 25, 2023, 12:36 um
Jengo la Dharula limekamilika na Milioni 900 zimeanza kujenga Hospitali ya Wilay…
Serikali imekamilisha ujenzi wa Jengo la dharula katika Hospitali ya Wilaya Makete kwa zaidi ya Milioni 300 ambapo tayari vifaa vinefika kwa ajili ya kuanza kutoa huduma. Kamati ya Siasa Wilaya ikiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya Clement Ngajilo akiambatana…
Januari 25, 2023, 12:34 um
Ujenzi wa Jengo la Halmashauri Makete waanza
Halmashauri ya Wilaya Makete imeanza Ujenzi wa Jengo (Ghorofa moja) ambalo mpaka kukamilika kwake itagharimu Bilioni 3 ikiwa mpaka sasa kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Serikali imetofedha Bilioni 1 kuanza ujenzi Akieleza kuhusu mradi huo Mtaalamu kutoka Divisheni ya Ujenzi…
Januari 25, 2023, 12:33 um
Wananchi washiriki zoezi la kusafisha uwanja Kituo cha Afya Lupalilo
Wananchi wa Kijiji cha Lupalilo kwa kushirikiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya na Kamati ya Siasa Wilaya wameshiriki zoezi la kufanya usafi na kuandaa mazingira rafiki eneo la Kituo cha Afya Lupalilo kilichopo Kijiji cha…