Radio Tadio

Elimu

27 Mei 2025, 11:44

Jinsi nyuki wanavyolinda misitu wilayani Pangani

“Tumeanzisha ufugaji wa nyuki ili kulinda msitu wetu, nyuki ana kipato kuliko kukata mti na kuchana mbao au mkaa.” Na Cosmas Clement Kijiji cha Mtonga kilichopo wilayani Pangani ni miongoni mwa vijiji vilivyoathiriwa na shughuli za ukataji wa misitu kwa…

25 Mei 2025, 9:50 mu

Madereva wa serikali Arusha wanolewa usalama barabarani

Na Nyangusi Ole Sang’ida Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo maalumu kwa madereva wanaoendesha magari ya Serikali mkoani humo, ili kuwajengea uwezo wa matumizi sahihi ya barabara na mifumo mipya ya Jeshi hilo. Akizungumza…

29/03/2025, 13:35

Wajasiriamali wahofia bei ya nyanya kupanda Manispaa ya Geita

Bei ya nyanya imepanda katika halamshauri ya manispaa ya Geita tofauti na ilivyokuwa mwezi uliopita hali ambayo inapelekea wasiwasi kwa watumiaji na wauzaji. Na: Kale Chongela – Geita Wajasiriamali  waliopo katika soko la asubuhi Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya…

6 Januari 2025, 12:15

Wadau watakiwa kuwasaidia watoto wenye uhitaji

Katika kuhakikisha mtoto mlemavu kupata elimu na kutimiza ndoto zao wadau wa maendeleo na wazazi kuibua na kuwatoa nje watoto hao ili kupata haki ya elimu. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wadau wa maendeleo wilayani Kasulu mkoani Kigoni wametakiwa kuwasaidia…

12 Disemba 2024, 12:51

DC kasulu atangaza vita wazazi kuzuia watoto kwenda shule

Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu ameliagiza baraza la madiwani la halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kuhakikisha wanafuatilia watoto wenye umri wa kwenda shule wanaandikishwa ili kuanza elimu ya awali na msingi na wale waliofaulu kujiunga kidato…

23 Novemba 2024, 20:31

Babati wabuni mbinu mpya kuhamasisha wananchi kupiga kura

Mkuu wa wilaya ya Babati Emanuela Kaganda amewataka wananchi wote wa wilaya ya Babati kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura kuwachagua viongozi wanaofaa kuongoza mitaa yao, uchaguzi utakao fanyika novema 27 mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Kaganda ameyasema hayo…