Burudani
10 Julai 2025, 8:29 um
Shilabela waanzisha ujenzi wa ofisi ya mtaa
Zaidi ya miaka 25 serikali ya mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita imekuwa ikiishi katka ofisi za kupanga katika majumba ya watu. Na Kale Chongela: Wakazi wa mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita wameamua kuanzisha ujenzi wa ofisi ya kudumu…
4 Julai 2025, 5:51 um
Zaidi ya wanachama 100 CCM Shinyanga wachukua fomu kwa nafasi mbalimbali
”Mgombea yeyote aliyechukua na kurejesha fomu endapo ataendelea kufanya mambo nje ya utaratibu kwa kukushanya watu hususan wale wajumbe watakaoshiriki kura za maoni atakuwa amekiuka kanuni” Mlolwa Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya wanachama 100 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani…
30 Juni 2025, 16:33
Wahitimu vyuo wametakiwa kutumia kalamu zao kupunguza wimbi la watoto wasio na m…
Wakati jamii ikiwaamini watu wenye elimu ,jamii hiyo hiyo inawataka wenye elimu kuonyesha umuhimu wa elimu waliyoipata. Na Rukia Chasanika Wanafunzi wanaohitimu katika vyuo vya maendeleo ya jamii mkoani Mbeya wameshauriwa kuandika maandiko ya miradi mbalimbali ambayo itasaidia kupunguza wimbi…
11 Juni 2025, 3:38 um
Wazazi/walezi msiwaite watoto majina ya wanyama
Mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Jinsi mtoto anavyotukanwa ndivyo atakavyokuwa” Na Roda Elias Kutokana na uwepo wa baadhi ya wazazi na walezi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi kutumia lugha ya…
8 Juni 2025, 2:57 um
Wananchi wafunguka ujenzi stendi mpya Geita
Baada ya kusota kwa miaka mingi hatimaye wakazi wa Geita mjini wanakwenda kupata stendi mpya ya kisasa ya mabasi. Na Mrisho Sadick: Watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi ya abiria Mkoa wa Geita wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kiasi cha…
8 Mei 2025, 13:56
Kilio kisichosikika utelekezaji watoto Kigoma
Kwa mujibu wa Takwimu za Ofisi ya Ustawi wa Jamii, kati ya mwezi March hadi April mwaka 2025 pekee kuna zaidi ya watoto 150 walitelekezwa katika Wilaya ya Kigoma. Hii leo wengi wa watoto hawa wanaishi mtaani, hawawajui wazazi wao…
6 Mei 2025, 3:28 um
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Kawaida amekea Makundi ndani ya CCM
”amewataka Viongozi chama hicho kwa ngazi zote kutoendekeza Migogoro isiyokuwa na tija katika kipindi hichi cha kuelekea katika Uchaguzi Mkuu” Na Sebastian Mnakaya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohamed Ali Kawaida amekea Makundi ndani…
6 Mei 2025, 1:29 um
Mbunge Idd Kassim amekabidhi jumla ya Baskeli 92 kwa Wenyeviti wote wa Vijiji wa…
”Baskali hizo zieende kuwasaidia wenyeviti hao katika kutekeleza majukumu yao kusimamia Ilani ya Chama hicho” Na Sebastian Mnakaya Mbunge wa Jimbo la Msalala lililopo wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga Idd Kassim amekabidhi jumla ya Baskeli 92 kwa Wenyeviti wote wa…
3 Mei 2025, 3:43 um
Utaratibu wa kumpeleka mbunge Idd kwenye kamati ya maadili haujafuatwa
”Kanuni taratibu za kumpeleke kwenye kamati za maadili hazikufuatwa badala yake ni batili” Na sebastian Mnakaya Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga wamesema taratibu zilizotumika kumpeleka kwenye kamati ya maadili Mbunge wa Jimbo hilo Idd Kassim zimekiukwa…
3 Mei 2025, 1:11 um
Baraza la madiwani Msalala limeazimia mbunge wao kuitwa kwenye kamati ya maadili
Na Sebastian Mnakaya Robo tatu ya Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga limeazimia mbunge wa jimbo hilo Idd Kasimu kuitwa kwenye kamati ya maadili kwa madai ya kutokuhudhuria vikao vya baraza pamoja na kuwadhalilisha Madiwani hao wakati…