Burudani
30 Januari 2026, 12:59
Ulinzi mkali Yanga ikivaana na Al Ahly New Amaan Complex
Na Mary Julius. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limesema limejipanga kikamilifu kuhakikisha ulinzi na usalama vinaimarishwa kabla, wakati na baada ya mchezo wa kimataifa wa mpira wa miguu wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, CAF.…
26 Januari 2026, 5:42 um
Matukio ya watu kufa mto Buluhe Mbogwe sasa basi
Kutokana na mvua za El nino zilizonyesha siku za nyuma serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 500 kukabiliana na athari za uharibifu huo katika maeneo mbalimbali nchini. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Iponya wilayani Mbogwe mkoani Geita wameishukuru…
8 Januari 2026, 7:01 um
Wananchi wamshukuru Diwani utatuzi kero ya mashimo stendi ya Geita
“Lengo ni kuhakikisha abiria na watumiaji wa barabara wanakuwa katika hali ya usalama pindi wanapotumia stendi hii hususani kipindi cha mvua” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Wananchi na watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi mkoa wa Geita wameishukuru serikali…
17 Disemba 2025, 9:30 um
Mkandarasi akaliwa kooni Geita
Katika mwaka wa fedha 2025/2026 walitengewa jumla ya kiasi cha Shilingi Bilioni 12.3 kwa ajili ya utekelezaji wa kazi za matengenezo ya aina mbalimbali ya barabara na madaraja Na Mrisho Sadick: Serikali mkoani Geita imetangaza rasmi kuanza kumkata fedha mkandarasi…
27 Novemba 2025, 17:36
‘Utabiri wa jadi unalipa’
Zamani tulikuwa hatufuatilii utabiri wa hali ya hewa, wakati mvua zinanyesha sisi tunaandaa mashamba , mvua ikikata sisi tunapanda matokeo yake mbegu zashambuliwa na wadudu lakini sasa hivi tunafuatilia utabiri na tunavuna vizuri, ahsanteni CAN TZ. Na Cosmas Clement Elimu…
26 Novemba 2025, 14:00
Wahitimu vyuo watakiwa kutumia ujuzi wao kwa uaminifu ili kuweza kuaminika na wa…
Ufundi stadi una umuhimu mkubwa katika kusaidia kunguza changamoto ya ajira kwa watu wengi. Na Hobokela Lwinga Wahitimu wa vyuo vya ufundi nchini wametakiwa kutumia fani zao walizosomea kwa kujiajiri ili kujiinua kiuchumi na kuachana na malalamiko ya ukosefu wa…
11 Novemba 2025, 4:55 um
Barabara za TACTIC Geita mjini kukamilika mapema mwaka kesho
Mkandarasi wa mradi huo hatapewa muda wa nyongeza baada ya siku 100 kukamiliza mapema mwezi wa pili mwaka kesho. Na Mrisho Sadick: Wananchi wa Mtaa wa Mwatulole Manispaa ya Geita Mkoani Geita wameiomba serikali kuendelea kumsukuma mkandarasi anayetekeleza mradi wa…
27 Oktoba 2025, 21:38
CUF yaahidi maendeleo kwa Wananchi wa kata ya Madimba
Mgombea Ubunge wa Mtwara Vijijini kupitia CUF, Shamsia Azizi Mtamba, amewataka wananchi wa Kata ya Madimba kuendelea kumuamini na kumpa kura, akiahidi kuendeleza maendeleo na kulinda kura zao dhidi ya propaganda za kisiasa Na Musa MtepaMtwara–Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la…
8 Oktoba 2025, 5:30 um
Miundombinu hifadhi ya taifa Rubondo yaboreshwa
Kwa sasa hifadhi hiyo inaendelea kuboresha huduma za utalii, ikiwa ni pamoja na usafiri wa majini, malazi ya kisasa na shughuli za uhamasishaji wa utalii wa ndani. Na Mrisho Sadick: Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo iliyopo wilayani Chato…
6 Oktoba 2025, 16:47
Wahitimu kidato cha nne washauriwa kuwa makini katika vyumba vya mitihani
Umakini wa Mwanafunzi wakati wa kufanya mtihani ndio sababu kubwa ya kufanya vizuri. Na Lukia Chasanika Wahitimu ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Izuo wameshauriwa kuwa makini katika vyumba vya mitihani ili kufanya vizuri katika mitihani yao. Ushauri…