Biashara
16 Juni 2023, 7:11 um
Wadau wa nyama 30 watozwa faini Katavi
KATAVI. Zaidi ya shilingi milioni 3 zimetozwa kwa wadau wa nyama 30 kati ya 81 baada ya kupigwa faini kwa makosa kama ubovu wa miundombinu katika machinjio mkoani Katavi. Akizungumza na Mpanda Redio FM Afisa mfawidhi wa nyama kanda ya…
15 Juni 2023, 11:22 mu
Wafanyabiashara Iringa wagoma kufungua maduka
Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara mjini Iringa wamesitisha kutoa huduma za uuzaji wa bidhaa kwa kufunga maduka yote baada ya kuvunjwa kwa vibaraza vya nje ya maduka yao vinavyotumika kupanga bidhaa. Zoezi hilo la uvunjwaji wa vibaraza hivyo limekuja baada ya…
14 Juni 2023, 4:53 um
Dodoma: Wafanyabiashara watakiwa kujiunga UBIMIDO
Umoja wa wafanyabiashara waendao mnadani umekuwa na umuhimu mkubwa hususani katika suala la kuwasaidia wafanyabiashara katika kusaidiana kwenye masuala mbalimbali. Na Thadei Tesha Wafanyabiashara jijini Dodoma wametakiwa kujiunga katika umoja wa wafanyabiashara UBIMIDO ili waweze kupata fursa za kujikwamua kiuchumi…
2 Juni 2023, 1:44 um
Mnada wa kisasa nyama choma kukuza uchumi wa wafanyabiashara
Na Bernadetha Mwakilabi. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa inatarajia kuanzisha mnada mpya wa kisasa wa nyama choma katika eneo la Mbande utakaosaidia kukuza uchumi wa wafanyabiashara na kuitangaza wilaya hiyo kibiashara. Hayo yamesemwa na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya…
1 Juni 2023, 10:05 mu
Wafanyabiashara Shanwe kuneemeka na soko jipya
MPANDA Wafanya biashara wa mtaa wa Shanwe kata ya Shanwe Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wanatarajia kuanza kufanya biashara Juni mosi katika soko jipya, baada ya kupewa viwanja katika eneo la soko ililokuwa limetengwa kwa muda mrefu. Wakizungumza na Mpanda…
30 Mei 2023, 5:33 um
Wafanyabiashara wa soko la Mavunde waomba kuboreshewa miundombinu
Hili ni soko la Mavunde ambalo lipo katika kata ya Chang’ombe jijini Dodoma ambapo miongoni mwa bidhaa zinazopatikana sokoni hapo ni pamoja na mbogamboga na matunda. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Mavunde lililopo Chang’ombe jijini Dodoma…
30 Mei 2023, 4:29 um
Wananchi waomba maboresho soko la kimataifa Kibaigwa
Soko la kimataifa la Kibaigwa ni utambulisho wa wilaya ya Kongwa kimataifa hivyo lazima litunzwe kama chanzo cha mapato. Na Bernadetha Mwakilabi. Wafanyabiashara wadogowadogo katika soko la mazao la kimataifa la Kibaigwa wilayani Kongwa wameiomba serikali kufanya maboresho ya kisasa…
24 Mei 2023, 7:49 um
Dodoma: Wafanyabiashara kituo cha Mnada Mpya waomba kuboreshewa mazingira
Pamoja na sababu hizo wafayabiahara hao wanasema kuwa ni vyema serikali kuendelea kuboresha mazingira ikiwa ni pamoja na kuruhusu mabasi kuingia ndani ya kituo hicho ili waweze kupata wateja. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara katika kituo cha mabasi cha…
24 Mei 2023, 7:17 um
Wanawake, vijana watakiwa kubadili mitazamo na kushiriki katika sekta ya kilimo
Jukumu kubwa la taasisi ya uboreshaji wa mifumo na masoko ya kilimo AMDT ni kuwezesha na kuboresha mabadiliko makubwa ya kimkakati kwenye mifumo ya masoko ya sekta za kilimo. Na Mindi Joseph. Vijana na wanawake wametakiwa kubadili mitazamo na kushirikiana…
23 Mei 2023, 6:30 um
Wakazi wa Chaduru waomba serikali ikamilishe soko la Tambukareli
Miundombinu ya soko hilo inaelezwa kuwa mibovu na kusababisha wafanyabiashara kushindwa kufanya biashara ndani ya eneo hili. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi wa kata ya Chaduru jijini Dodoma wameiomba serikali kukamilisha kwa haraka miundombinu ya soko la Tambukareli ili…