Radio Tadio

Ardhi

28 October 2025, 9:52 am

Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi

Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…

19 July 2025, 5:36 pm

Viongozi wa kidini, kimila na wazee maarufu Katavi wanolewa

Stewart Kiyombo Kaimu mkurungezi TAKUKURU Katavi. Picha na Blessing Kikoti “Wananchi waunge mkono vita dhidi ya rushwa ya kisiasa” Na Blessing Kikoti Uwepo wa rushwa katika jamii mkoani Katavi umetajwa kusababisha wananchi kuchagua viongozi wasiostahili na wasiokuwa na weledi katika…

18 July 2025, 13:11

Kilimo cha chikichi chawa lulu Kasulu

 Kilimo cha zao la mchikichi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimeanza kuleta mafanikio kiuchumi kwa wakulima kufuatia usambazaji wa mbegu bora aina ya Tenera. Na Emmanuel Kamangu Wananchi wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa ya…

9 December 2024, 8:19 pm

TFS yahimiza kutunza mazingira kwa kupanda miti

Maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara kiwilaya Sengerema yamefanyika shule ya Msingi Lumeya katika halmashauri ya Buchosa ambapo miti 2000 imepandwa kama kumbukumbu ya maadhimisho hayo mwaka huu. Na;Emmanuel Twimanye Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania  (TFS)…

2 September 2024, 19:01

Taharuki sekondari Mbeya day kisa mzungu kugawa biskuti

Wakati serikali na jamii kwa ujumla ikipambana na mmonyoko wa maadili unaosababisha masuala ya ushoga kwa vijana wengi baadhi ya watu wamekuwa wakipuuza Hali hiyo inajitokeza katika moja ya shule Mbeya ambapo mtu asiyefahamika amebainika akigawa biskuti zinazodhaniwa kutokuwa salama.…