Ardhi
November 27, 2025, 6:58 am
Mbolea ya ruzuku yakamatwa ikiuzwa kwa bei ya ulanguzi
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
24 November 2025, 11:41 am
Wananchi Wilayni Maswa wajitokeza kuchangia Damu, watoa wito kwa Jamii
Mahitaji ya damu katika Hospitali ya wilaya yetu ni makubwa ukilinganisha na upatikanaji wake, hivyo natoa wito kwa jamii kujitokeza kuchangia damu ili kuokoa maisha ya watanzania wenzetu. ” Peter Shimba Mratibu wa damu salama hospitali ya wilaya ya Maswa…
28 October 2025, 9:52 am
Athari za rushwa kipindi cha uchaguzi
Afisa TAKUKURU mkoa wa Katavi Leonard Minja. Picha na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.…
19 July 2025, 5:36 pm
Viongozi wa kidini, kimila na wazee maarufu Katavi wanolewa
Stewart Kiyombo Kaimu mkurungezi TAKUKURU Katavi. Picha na Blessing Kikoti “Wananchi waunge mkono vita dhidi ya rushwa ya kisiasa” Na Blessing Kikoti Uwepo wa rushwa katika jamii mkoani Katavi umetajwa kusababisha wananchi kuchagua viongozi wasiostahili na wasiokuwa na weledi katika…
18 July 2025, 13:11
Kilimo cha chikichi chawa lulu Kasulu
Kilimo cha zao la mchikichi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimeanza kuleta mafanikio kiuchumi kwa wakulima kufuatia usambazaji wa mbegu bora aina ya Tenera. Na Emmanuel Kamangu Wananchi wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa ya…
8 June 2025, 19:38 pm
TARI yaeleza mbinu za kudhibiti ubwili unga kwenye mikorosho
Stanslaus Lilai alikuwa anatoa Elimu hiyo kwenye mafunzo ya maafisa ugani wa halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani ikiwa njia mojawapo ya kufika elimu hiyo kwa wakulima kupitia maafisa hao Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho nchini wameaswa…
2 March 2025, 9:33 pm
Onyo wafanyabiashara watakaopandisha bei bidhaa za chakula Ramadhani na kwaresma
Mara nyingi malalamiko ya wananchi yamekuwa ni kwenye bidhaa za mihogo, viazi, tambi sukari miongoni mwa bidhaa zingine. Na Adelinus Banenwa Wafanyabiashara wilayani Bunda wametakiwa kujiepusha na upandishaji holela wa bei ya bidhaa za chakula katika kipindi hiki cha mwezi…
9 December 2024, 8:19 pm
TFS yahimiza kutunza mazingira kwa kupanda miti
Maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara kiwilaya Sengerema yamefanyika shule ya Msingi Lumeya katika halmashauri ya Buchosa ambapo miti 2000 imepandwa kama kumbukumbu ya maadhimisho hayo mwaka huu. Na;Emmanuel Twimanye Wakala wa Huduma za Mistu Tanzania (TFS)…
14 October 2024, 10:49 am
Rais Samia atoa tuzo kwa GGML ushiriki bora wa maonesho Geita
Oktoba 13, 2024 yamehitimishwa rasmi maonesho ya 7 ya teknolojia na uwekezaji katika sekta ya madini ambayo yalikuwa yakiendelea katika viwanja vya EPZA mjini Geita tangu Oktoba 02, 2024. Na: Ester Mabula – Geita Rais wa Jamhuri ya muungano wa…
2 September 2024, 19:01
Taharuki sekondari Mbeya day kisa mzungu kugawa biskuti
Wakati serikali na jamii kwa ujumla ikipambana na mmonyoko wa maadili unaosababisha masuala ya ushoga kwa vijana wengi baadhi ya watu wamekuwa wakipuuza Hali hiyo inajitokeza katika moja ya shule Mbeya ambapo mtu asiyefahamika amebainika akigawa biskuti zinazodhaniwa kutokuwa salama.…