Afya
18 Febuari 2025, 17:24
Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya zaidi ya bilioni 36 Kigoma Dc
Mawadiwani katika halmashauri ya wilaya Kigoma wametakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza mapato ya halmashauri hiyo. Na Tryphone Odace Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kigoma limepitisha rasimu ya bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 36 ambayo…
12 Febuari 2025, 09:17
Mkataba ujenzi visima sita vya umwagiliaji wasainiwa Kigoma
Serikali imesema itaendelea kuhakikisha inaimarisha sekta ya kilimo kwa kuweka miundombinu rafiki kwa wakulima ili kuhakikisha wanalima kilimo chenye tija. Na James Jovin Wakazi mkoani Kigoma wameishukuru serikali kwa kuendelea kuwekeza katika miradi ya ujenzi wa miundombinu wezeshi kwa ajili…
31 Januari 2025, 11:25
TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…
27 Januari 2025, 2:42 um
Wadau waombwa kutimiza malengo ya maadhimisho ya wiki ya sheria
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha amewataka wadau wa mahakama kushirikiana kutimiza malengo ya maadhimisho ya wiki ya sheria. Ametoa wito huo leo wakati wa uzinduzi wa wiki ya sheria iliyofanyika katika viwanja vya NSSF karibu na TBC Tabora.…
21 Januari 2025, 16:07
Wavuvi watakiwa kutumia zana zilizoainishwa kwa ajili ya uvuvi
Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika ziwa Tanganyika wametakiwa kutumia zana za uvuvi zilizoruhusiwa na kuainishwa wakati wa kuvua ili kulinda mazalia ya samaki. Na Josephine Kiravu – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji amezindua kiwanda cha kuchakata…
21 Januari 2025, 14:23
Waziri wa uvuvi na mifugo aeleza serikali kuwawezesha wavuvi Kigoma
Serikali imesema itaendelea kuwawezesha wavuvi na wachakataji wa mazao ya uvuvi ili kuwasaidia kupata mazao yenye ushindani na kuongeza thamani. Na Tryphone Odace – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji amewasili Mkoani Kigoma na kupokelewa na Mwenyeji…
17 Januari 2025, 10:05 mu
Wapishi wa migahawa watakiwa kuzingatia usafi
“Uchafu wa mazingira katika migahawa unaweza kusababisha magonjwa ya matumbo pamoja na kipindupindu “ Na Leah Kamala – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Wamewataka wamiliki na wapishi wa migahawa kuzingatia usafi ili kujiepusha na ugonjwa wa Kipindupindu. Wakizungumza…
15 Januari 2025, 12:34
DC Kasulu ataka ufuatiliaji usalama wa mazao ya chakula
Kutokana na umuhimu wa chakula kwa maisha ya binadamu, ustawi na maendeleo ya nchi, suala la kuhakikisha kuwa chakula ni salama kwa matumizi ya binadamu linapewa kipaumbele na kuzingatiwa kikamilifu kwa lengo la kulinda afya ya walaji na kuwezesha utoshelevu…
15 Januari 2025, 12:09
Wakristo watakiwa kufanya kazi kujiongezea kipato
Kufanya kazi kwa bidii na kumiliki uchumi kwa mtu mmoja mmoja kunachangia pato la nchi kuinuka na kupanda zaidi Na Timotheo Leonard Waumini wa Kanisa la Pentekoste Motomoto PMC tawi la Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji wameshauriwa kufanyakazi kwabidii kwalengo…
13 Januari 2025, 14:27
Wavuvi ziwa Tanganyika walia na upepo mkali mitumbwi ikipotea
Wavuvi Mkoani Kigoma wametakiwa wametakiwa kufuatailia utabiri wa hali ya hewa ili kuweza kufahamu muda gani wa kuingia ziwani kuvua na kuepuka dhoruba za upepo wawapo ziwani. Baadhi ya wavuvi katika Ziwa Tanganyika wamelalamikia changamoto ya upepo mkali na mvua…