Radio Tadio

Afya

12 Febuari 2025, 09:17

Mkataba ujenzi visima sita vya umwagiliaji wasainiwa Kigoma

Serikali imesema itaendelea kuhakikisha inaimarisha sekta ya kilimo kwa kuweka miundombinu rafiki kwa wakulima ili kuhakikisha wanalima kilimo chenye tija. Na James Jovin Wakazi mkoani Kigoma wameishukuru serikali kwa kuendelea kuwekeza katika miradi ya ujenzi wa miundombinu wezeshi kwa ajili…

31 Januari 2025, 11:25

TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

21 Januari 2025, 16:07

Wavuvi watakiwa kutumia zana zilizoainishwa kwa ajili ya uvuvi

Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika ziwa Tanganyika wametakiwa kutumia zana za uvuvi zilizoruhusiwa na kuainishwa wakati wa kuvua ili kulinda mazalia ya samaki. Na Josephine Kiravu – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji amezindua kiwanda cha kuchakata…

17 Januari 2025, 10:05 mu

Wapishi wa migahawa watakiwa kuzingatia usafi

“Uchafu wa mazingira katika migahawa  unaweza  kusababisha magonjwa ya matumbo pamoja na kipindupindu “ Na Leah Kamala – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Wamewataka  wamiliki na wapishi wa migahawa kuzingatia usafi  ili kujiepusha na ugonjwa wa Kipindupindu. Wakizungumza…

15 Januari 2025, 12:34

DC Kasulu ataka ufuatiliaji usalama wa mazao ya chakula

Kutokana na umuhimu wa chakula kwa maisha ya binadamu, ustawi na maendeleo ya nchi, suala la kuhakikisha kuwa chakula ni salama kwa matumizi ya binadamu linapewa kipaumbele na kuzingatiwa kikamilifu kwa lengo la kulinda afya ya walaji na  kuwezesha utoshelevu…

15 Januari 2025, 12:09

Wakristo watakiwa kufanya kazi kujiongezea kipato

Kufanya kazi kwa bidii na kumiliki uchumi kwa mtu mmoja mmoja kunachangia pato la nchi kuinuka na kupanda zaidi Na Timotheo Leonard Waumini wa Kanisa la Pentekoste Motomoto PMC tawi la Kibirizi Manispaa ya Kigoma Ujiji wameshauriwa kufanyakazi kwabidii kwalengo…

13 Januari 2025, 14:27

Wavuvi ziwa Tanganyika walia na upepo mkali mitumbwi ikipotea

Wavuvi Mkoani Kigoma wametakiwa wametakiwa kufuatailia utabiri wa hali ya hewa ili kuweza kufahamu muda gani wa kuingia ziwani kuvua na kuepuka dhoruba za upepo wawapo ziwani. Baadhi ya wavuvi katika Ziwa Tanganyika wamelalamikia changamoto ya upepo mkali na mvua…