Afya
26 Machi 2023, 7:20 um
Maswa: Waziri mkuu Mhe.Kassim Majaliwa awataka watumishi wa serikali kutumia sik…
Na Alex.F.Sayi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa Serikali ngazi ya Mkoa na Wilaya kutumia siku nne za kazi kuwahudumia wananchi hasa wa Vijijini na sio kukaa maofisini wakisubiria ziara za viongozi wa…
24 Machi 2023, 7:49 um
SIMIYU:watu (71) hufariki kila siku kati ya vifo 25,800 kwa mwaka kwa ugonjwa w…
Na Alex.F.Sayi. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kasimu Majaliwa Majaliwa amesema kuwa kwa siku wagonjwa (71)hufariki kwa Ugonjwa wa Kifua Kikuu kati ya vifo (25,800) vilivyogundulika kwa mjibu wa Takwimu za mwaka 2022. Hayo ameyasema kwenye Maadhimisho ya siku…
24 Machi 2023, 4:19 um
Wakazi wa Ndogowe walazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya
Kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika zahanati ya kijiji cha Ndogowe imesababisha wananchi kutopata huduma ya afya hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika…
24 Machi 2023, 8:04 mu
Kati ya vifo (100) wilayani Maswa vifo (7) kati ya hivyo vinatokana na magonjw…
Na Alex .F.Sayi Imeelezwa kuwa kati ya vifo miamoja Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ,vifo Saba kati ya hivyo vinatokana na Magonjwa yasiyokuwa ya kuambukiza ikiwa ni sawa na asilimia (6.7%) ya vifo vyote Wilayani hapa. Hayo yamesemwa na Afisa Lishe…
23 Machi 2023, 7:19 um
Elimu juu ya ugonjwa wa kifua kikuu(TB)
Wananchi mbekenyera na Namungo wilayani Ruangwa wapewa elimu na huduma ya kupima ugonjwa wa kifua kikuu (TB) bure kwa kuchukua sampuli za wenye dalili za kifua kikuu ikiwa ni muendelezo wa shughuli za wiki ya kifua kikuu wilaya ya rungwa…
23 Machi 2023, 7:05 um
Unywaji wa maziwa sio tiba ya kifua kikuu (tb) wala ya kusafisha koo kwa ajili y…
Na Loveness Daniely Unywaji wa maziwa watajwa kua sio tiba wala haiwezi kuzuia kifua kikuu TB au kusafisha vumbi kifuani bali unywaji wa maziwa huimarisha kinga ya mwili kwakua maziwa yana virutubisho vingi mwilini vyenye kuujenga mwili na kuimarisha mwili…
22 Machi 2023, 6:54 um
Wananchi watakiwa kuendelea kupata elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji<…
Tanzania ilishuhudia kipindi kirefu cha mlipuko wa Kipindupindu kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018 na Taarifa kutoka shirika la Afya Dunia inaeleza kuwa na mlipuko mkubwa wa Kipindupindu nchini Malawi ambapo hadi kufikia tarehe 15 Machi 2023 kulikuwa na jumla…
22 Machi 2023, 6:26 um
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya Marburg
Ugonjwa huu huambukizwa kutoka kwa Binadamu mmoja kwa mwingine hususani kwa njia ya kugusa majimaji ambayo yanaweza kuwa mate , mkojo, damu, machozi au kinyesi yatokayo kwenye maiti au Mgonjwa mwenye dalili, maambukizi pia yanaweza kutoka kwa Wanyama kwenda kwa…
22 Machi 2023, 3:46 um
Serikali yadhamiria kudhibiti na kutokomeza kifua kikuu
Immelezwa kuwa watu wenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kifua kikuu(TB) ni pamoja na wale wanaoishi katika makazi duni, Watoto, Wavuvi na wanafunzi wanaoishi bweni. Serikali imedhamiria kuendelea kushirikiana na wadau katika sekta zote ili kudhibiti na kutokomeza ugonjwa…
21 Machi 2023, 7:20 um
Waadventista Wasabato Ifakara wachangia Damu
Kutokana na changamoto ya upatikanaji wa Damu katika maeneo ya kutolea huduma za Afya,Waumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato-Ifakara wamejitokeza kuchangia Damu ili kuiunga mkono Serikali. Na Katalina Liombechi Jumla ya Chupa 36 za Damu zimepatikana baada ya watu waliojitokeza…