Afya
17 Septemba 2025, 10:50 um
TRA Morogoro yaendelea kutoa elimu
TRA Mkoa wa Morogoro imeendelea kutoa elimu kwa wafanyabiashara wa Kilombero kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi, matumizi ya mashine za EFD, na umuhimu wa usajili wa TIN, ikiwa ni sehemu ya kuongeza uelewa na kuimarisha ukusanyaji wa mapato. Na;…
16 Septemba 2025, 8:53 mu
TRA Morogoro yatoa elimu kwa wafanyabiashara
TRA Mkoa wa Morogoro imetoa elimu kwa wafanyabiashara wa Ifakara kuhusu mabadiliko ya sheria za kodi na matumizi sahihi ya mashine za EFD, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhamasisha ulipaji wa kodi kwa hiari na kuongeza uelewa wa majukumu…
9 Septemba 2025, 8:54 um
Umiliki wa silaha lazima uzingatie masharti
Na Zabron G Balimponya Wakili wa Kujitegemea kutoka Chama cha Mawakili Tanganyika, Akram Magoti amesema kuwa matumizi ya silaha yasiyozingatia sheria kanuni na utaratibu kutoka kwa msajili wa silaha ni kosa kisheria hali ambayo inaweza kusababisha mmiliki kufutiwa leseni. Wakili…
9 Septemba 2025, 6:57 um
TAKUKURU Tabora yatahadharisha vitendo vya rushwa kipindi cha kampeni
Na Zabron G Balimponya Wananchi mkoani Tabora wametakiwa kuacha tabia ya kupokea zawadi au fedha kutoka kwa wagombea wa vyama vya siasa kwani ni kinyume cha sheria. Mkuu wa kitengo cha uelimishaji umma Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rusha…
01/09/2025, 17:53
Kichanga cha siku moja chachomwa moto Geita
“Kwakweli tunaomba polisi wafuatilie tukio hili ili kukomesha watu wenye roho za kikatili na kinyama kiasi hiki, huyu mtoto huwezi jua angekuwa nani baadaye” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na siku moja amekutwa amechomwa moto na…
29/08/2025, 17:16
Marufuku watoto kwenye Mabanda ya video Geita Road
Sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2008 inaweka bayana wajibu wa jamii, wazazi na serikali kulinda watoto dhidi ya vitendo vinavyoweza kuathiri makuzi yao. Na Mwandishi Wetu: Mwenyekiti wa mtaa huo Pelana Bagume amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya…
Agosti 28, 2025, 11:42 um
Mgambo watakiwa kuzuia magendo na wahamiaji haramu
Askari wa jeshi la akiba (mgambo) mkoani Kagera wametakiwa kuwa malinzi wa raia na mali zao na kuwa wazalendo katika kulilinda taifa lao dhidi ya vitendo vya uhalifu. Na Anold Deogratias Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Erasto Yohana…
27 Agosti 2025, 8:26 um
Wenza washauriwa kuacha kujirekodi picha za faragha
“Ni vyema jamii ikajikita kuandaa maudhui yatakayo wasaidia kuleta maendeleo” Kufuatia matukio mbalimbali ya kusambaa kwa picha mjongeo za faragha kwenye mitandao ya kijamii,wenza wametahadharishwa juu ya tabia ya kupiga picha hizo kwani ni kinyume cha sheria ya makosa ya…
Agosti 23, 2025, 1:39 um
Jeshi la Magereza Ngara laadhimisha miaka 64
Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…
22/08/2025, 12:42
Mjadala mkali waibuka Songwe kuhusu maana ya ilani za vyama
Baadhi ya wakazi wa Songwe wameeleza uelewa wao kuhusu ilani za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu, huku wanasiasa waandamizi wakifafanua maana halisi ya ilani. Na Mkaisa Mrisho Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Songwe wamezungumzia uelewa wao kuhusu kitu…