Radio Tadio

Afya

18 Julai 2025, 13:11

Kilimo cha chikichi chawa lulu Kasulu

 Kilimo cha zao la mchikichi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma kimeanza kuleta mafanikio kiuchumi kwa wakulima kufuatia usambazaji wa mbegu bora aina ya Tenera. Na Emmanuel Kamangu Wananchi wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchangamkia fursa ya…

18 Julai 2025, 11:01 mu

Wafanyabiashara wa Mashine tatu wapelekwa Mlandege

Zoezi hilo limefanyika katika soko la Machinga lililopo eneo la Mlandege, likihusisha Umoja wa wafanyabiashara , idara ya masoko, maendeleo ya jamii na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa. Na Godfrey Mengele Serikali ya Manispaa ya Iringa kwa kushirikiana…

15 Julai 2025, 12:31 um

Jesca awachangia milion 5 waathirika wa moto

“Fedha hizi zitawasaidia wafanyabiashara wa soko la Mashine tatu na kuanza upya biashara kutokana na madhara ya moto” Jesca Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini anayemaliza Muda wake Jesca Msambatavangu, ameanzisha Mfuko Maalum wa Msaada kwa ajili…

10 Julai 2025, 12:46

Kakonko yatakiwa kuzalisha mazao ya kibiashara

Halmashauri ya Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma imetakiwa kuweka mikakati ya kuzalisha mazao ya biashara yenye ushindani ndani na nje ya nchi kwa maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…

8 Julai 2025, 17:26

RC Kigoma ahimiza eneo la uwekezaji zao la muhogo

Mkoa wa Kigoma unaendelea kufanya vizuri kitaifa katika uzalishaji wa zao la Muhogo ambapo makadirio kwa mwaka hufikia  hadi tani milioni 1.2 za muhogo mkavu na mbichi huku matarajio ikiwa ni kufikia zaidi ya tani milioni 3 ifikapo mwaka 2030.…

7 Julai 2025, 12:59

Zaidi ya milioni 800 kutolewa kwa vikundi 71 Kigoma

Vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu wametakiwa kutumia mikopo inayotolewa na Halmashauri kutumia mikopo hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa. Na Mwandishi Zaidi ya shilingi milioni 800 zinatarajia kutolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma kwa vikundi 71 vya wajasiliamali…

5 Julai 2025, 5:07 um

Mama wa kijana aliyeuawa Bukombe aomba haki itendeke

Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yameendelea kuleta athari ikiwemo mauaji ya watu ambao wengine huenda wakawa hawana hatia. Na Mrisho Sadick: Mama wa kijana Enock Muhangwa (25) aliyeuawa kwa kipigo katika Kijiji cha Uyovu Wilaya ya Bukombe, mkoani Geita…

2 Julai 2025, 12:00 um

Wamiliki wa bar wanaoajiri watoto Sengerema waonywa

Kushamiri kwa vitendo vya watoto wadogo kutumikishwa kwenye shughuli za bar imewaibua wananchi Sengerema Na Emmanuel Twimanye: Wamiliki wa bar katika kata ya misheni Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wamepigwa marufuku kuajiri watoto chini ya umri wa miaka 18 kwa kuwa…

26 Juni 2025, 7:44 um

Tsh.Bil 6 kuleta mageuzi ya kiuchumi Mlimba

Mradi huu kuletwa Kilombero katika Halmashauri ya Mlimba unastahili kutokana na umuhimu wa bonde hili Kiuchumi na upekee wake kiikolojia Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mradi wenye thamani ya Tsh.Bil 6 wa Kuboresha Mifumo Jumuishi ya Usimamizi wa Chakula, Ardhi na…

23 Juni 2025, 8:24 um

TRA Moro yahimiza kulipa kodi kwa hiari

Ulipaji wa kodi siyo tu wajibu wa kisheria, bali ni jukumu la kizalendo katika kuchangia maendeleo ya nchi Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro imeendelea kuwatembelea walipakodi kwa lengo la kuwakumbusha kulipa kodi kwa hiari…