Afya
10/08/2023, 13:37
TMDA yaanzisha mfumo wa ufuatiliaji wa usalama wa dawa
Pamoja na hayo TMDA imesisitiza Wagonjwa na jamii kutoa taarifa mapema kwenye hospitali ,kituo cha afya,zahanati au duka la dawa ambapo matibabu yalitolewa ambapo utoaji wa taarifa za madhara ya dawa ni jukumu la kila mmoja ili kusaidia kuboresha sekta…
10/08/2023, 12:45
Jamii yatakiwa kuondokana na matumizi holela ya dawa
Kwa Mujibu wa Mtaalamu Teobad Abdon ameeleza kuwa matumizi holela ya dawa husababisha madhara katika mwili wa binadamu ikiwemo matumizi ya dawa ambazo sio za ugonjwa husika. Na Diana Massae. Jamii imetakiwa kuondokana na matumizi holela ya dawa bila…
07/08/2023, 13:28
Utandawazi, mitindo ya maisha vyatajwa kuathiri unyonyeshaji
Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji yamezinduliwa Agosti Mosi mwaka huu na kilele chake ni Agosti 08. Na Mariam Msagati. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameelezea kuwepo kwa sababu mbalimbali zinazochangia baadhi yao kushindwa kunyonyesha watoto ipasavyo. Wakizungumza na Dodoma TV…
7 Agosti 2023, 11:28 mu
Wanawake Mleteni wakumbushia ahadi ujenzi kituo cha afya
Baada ya Rais Hussein Mwinyi kutoa ahadi ya kituo cha afya Mleteni wilayani Wete wakati wa kampeni za uchaguzi wa mwaka 2020 wananchi wameikumbusha serikali ujenzi wa kituo hicho. Na Mwiaba Kombo Wanawake wa kijiji cha Mleteni shehia ya Kisiwani…
05/08/2023, 19:54
Wanawake kujifungulia barabarani ndio basi tena Mbogwe
Changamoto ya wanawake kujifungulia majumbani na barabarani huenda ikamalizika katika kata ya Ilolangulu wilayani Mbogwe baada ya serikali kujenga wodi. Na Mrisho Sadick: Wanawake wa kata za Ilolangulu , Isebya na Ikobe wilayani Mbogwe mkoani Geita wameondokana na adha ya…
Agosti 4, 2023, 3:39 um
Afariki, mwingine hoi kwa dawa za nguvu za kiume Kahama
Mwanaume aliyejulikana kwa jina la Hosam Elias mkazi wa Bukondamoyo kata ya Mhungula Mjini Kahama amefariki dunia huku mwenzake (jina limehifadhiwa) akinusurika kufa baada ya kunywa dawa zilizodaiwa kuongeza nguvu za kiume kwa mganga wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la…
03/08/2023, 16:28
Wahandisi Geita mji watakiwa kusimamia miradi
Katika kukabiliana na changamoto ya huduma za afya katika Kata ya Nyankumbu, serikali kupitia Halmashauri ya mji wa Geita imefanya upanuzi kwa kuongeza majengo nakununua Gari la kubebea wagonjwa. Na Mrisho Sadick: Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa…
31/07/2023, 16:51
Mtetezi wa Mama yaipongeza serikali kujenga hospitali ya hadhi ya wilaya Katoro
Serikali ya awamu ya sita imeendelea kuwekeza katika huduma za afya kwa kujenga hospitali katika maeneo yenye idadi kubwa ya watu ikiwemo mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita. Na Mrisho Sadick: Wakazi wa mamlaka ya mji mdogo wa…
31/07/2023, 16:24
Wananchi Membe waiomba serikali kuwaboreshea huduma za afya
Sera ya afya ya mwaka 2007 inataka huduma za afya kwa wazee, wajawazito na watoto chini ya umri miaka mitano kupata huduma bure bila malipo. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha mlimwa kata ya Membe wameiomba serikali kuboresha huduma…
Julai 25, 2023, 1:59 um
John Gabriel aeleza changamoto anazopitia baada ya kupata ajali
Mwanaume huyu anayejulikana kwa jina la John Gabriel Mandale mkazi wa kata ya Shunu wilayani Kahama mkoani Shinyanga amejikuta anapitia matatizo makubwa baada ya kupata ajali na kupasuka kichwa alipokuwa akitekeleza majukumu yake ya kikazi huko mkoani Geita Mgodini hali…