Uyui FM
Uyui FM
9 September 2025, 6:57 pm
Na Zabron G Balimponya
Wananchi mkoani Tabora wametakiwa kuacha tabia ya kupokea zawadi au fedha kutoka kwa wagombea wa vyama vya siasa kwani ni kinyume cha sheria.
Mkuu wa kitengo cha uelimishaji umma Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rusha (TAKUKURU) mkoa wa Tabora Happiness Madege ,amesema hayo wakati akizungumza na UFR.

Sauti ya Mkuu wa kitengo cha uelimishaji umma Takukuru Tabora Happiness Madege
Wananchi Manispaa ya Tabora wameeleza uelewa wao juu ya utambuzi wa viashiria vya rushwa.
Maoni ya Wananchi Tabora kuhusu viashiria vya Rushwa
Vyama mbalimbali vya siasa vinaendelea kunadi sera zao kwa wananchi ili kuomba ridhaa ya kuchaguliwa ifikapo Oktoba 29 mwaka huu.