jamii
7 Mei 2026, 16:32
Ihumwa watakiwa kuripoti matukio ya uhalifu
Aidha amesema watu wa eneo hilo wamekuwa na tabia ya kuto kufuatilia kesi za wizi kutokana na kudai watu wanaofanya matukio hayo ni watu wao wa karibu. Na Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wametakiwa kutumia fursa ya…
5 Mei 2026, 15:32
Jiji la Dodoma kufunga kamera za ulinzi katikati ya jiji
Katika hatua ya mwisho ya ukaguzi huo, Kamati ya TAMISEMI ilitoa mapendekezo mbalimbali ya kuboresha utekelezaji wa mradi huo wa usalama wa kidijitali. Na Anwary Shaban. Katika muendelezo wa ziara ya kamati ya kudumu ya Bunge TAMISEMI, 2026 , imetembelea…
20 Febuari 2026, 17:58
Ulinzi waendelea kuimarishwa Mtumba na viunga vyake
Aidha ameongeza kuwa Hali hiyo inaweza kuchangia na kusahaulika Kwa majukumu ya kiulinzi na usalama na kupelekea kurejea Kwa matukio hayo. Na Victor Chigwada. Mkuu wa kituo Cha polisi Wilaya ya Mtumba kamanda OCD Issa Chau ameeleza Hali ya ulinzi…
2 Septemba 2025, 16:43
Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi matukio ya utekaji
Na Yussuph Hassan.Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa ufafanuzi kuhusu matukio ya utekaji na kupotea kwa watu ambayo yamekuwa yakiripotiwa mara kwa mara katika vituo vya polisi ambapo kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa kwa kina, imebainika kuwa si matukio yote…
28 Agosti 2025, 15:33
Jeshi la Polisi Tanzania mguu sawa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu 2025.
Vilevile, limewakumbusha wagombea kuzingatia ratiba na muda wa kampeni uliopangwa ili kuepuka mivutano, migongano au migogoro itakayoweza kusababisha uvunjifu wa amani. Na Mariam Kasawa.Jeshi la Polisi Tanzania limesema lipo tayari kuhakikisha amani, utulivu na usalama vinaendelea kudumishwa wakati wote wa…
2 Julai 2025, 10:21
Afariki dunia baada ya kushambuliwa na fisi
Jitihada za kumwokoa hazikufanikiwa. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja aitwaye Fredy Peter, mkazi wa Kijiji cha Seleto, Dareda Misheni, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la fisi . Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo,…
9 Oktoba 2024, 18:26
Ulinzi na usalama waimarika Mkonze kudhibiti uhalifu, mauaji
Hali ya ulinzi na usalama imeimarika katika kata ya Mkonze kufuatia matukio kadhaa ya mauaji yaliyotokea katika kata hiyo kwa nyakati tofauti miiezi ya hivi karibuni. Akiongea na Dodoma TV, Mwenyekiti wa Mtaa wa Bwawani katika kata hiyo Bwn. Sospeter Abel …
24 Septemba 2024, 20:31
Serikali kudhibiti wizi wa vifaa vya ujenzi uwanja wa ndege Msalato
Na Mindi Joseph Udokozi na wizi wa vifaa vya ujenzi wa uwanja wa ndege wa Kimataifa Msalato Jijini Dodoma umesababisha hasara kwa mkandarasi. Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mhe. Jabiri Shekimweri anasema serikali haitafumbia macho wizi wa vifaa vya ujenzi…
14 Agosti 2024, 16:48
Wazazi wazua taharuki taarifa za kutekwa kwa mtoto
Dodoma TV Inaendelea kufatilia tukio hili kwa ukaribu ili kujua ukweli kuhusu madai ya Mtoto kutekwa na Watu wasiojulikana ambao kulingana na maelezo ya Watoto wenzake wanasema mwenzao aliitwa na Watu waliokuwa kwenye Gari na kumchukua kisha kuondoka nae. Na…
1 Agosti 2024, 16:38
Bado tunautazama Mtaa wa Swaswa
Tuna vijana ambao wamepewa mafunzo na inspekta wa kituo cha polisi hapa mtaani hii inasaidia sana kuhakikisha usalama na ulinzi wa hapa. Na Yussuph Hassan.Na leo tena katika kipindi chetu tunaendelea kuangalia ni kwa jinsi gani mtaa huo umebarikiwa mandhari…