Tumbatu FM
Tumbatu FM
13 July 2025, 4:24 pm
“ikiwa wanajamii watahamasika kuwapeleka watoto wao kwenye vituo vya elimu wakiwa na umri mdogo kutapelekea wanafunzi kuwa na muamko wa masomo yao“ Na Juma Haji. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuwapeleka shule na madrasa watoto wakiwa wadogo ili kupata msingi…
4 July 2025, 5:22 pm
“Serekali ya Mkoa kwa kushirikiana na vyomb vya ulinzi na usalama tutahakikisha lengo la kutokomeza vitendo viovu linafikiwa“ Na Mwanahawa Hassan Khamis Mkuu wa Mkoa wa kaskazani Unguja Mh: Mattar Zahor Masoud amesema Ofisi yake imejipanga kuweka mipango madhubuti ya…
1 July 2025, 1:43 pm
“Wanawake wamekuwa msitari wa mbele kugombania nafasi za uongozi ndani ya mkoa wa kaskazini Unguja hali hii inatuonesha wazi kuwa mkoa wetu umepiga hatua kwenye demokrasia” Na Vuai Juma Chama cha mapinduzi mkoa wa Kaskazini Unguja kimesema kinatambua juhudi na…
1 July 2025, 11:04 am
“Ili kufikia dhamira ya uchumi wa bluu lazima tutunze mazingira kwenye bahari kwa kuepuka kuharibu mazalia ya Samaki” Na Vuai Juma Wananchi wametakiwa kulinda na kutunza rasilimali za bahari ili kuendeleza dhana ya uchumi wa buluu kama ilivyo azma ya…
1 July 2025, 10:00 am
“Viongozi wote wanawajibu wa kutoa taari ili wananchi waweze kuzifaham na kujua kinacho endelea” Na Vuai Juma. Watendaji wa sekta za kiserikali ndani ya mkoa wa Kaskazini Unguja wametakiwa kutoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu utendaji wao ili kuweza…
28 June 2025, 2:13 pm
“Imebainika kuwa kutokuwepo kwa mafunzo ya ndoa kwa vijana kunapelekea kuongezeka kwa talaka zisizo tarajiwa” Na Vuai Juma. Jamii imeshauriwa kuisoma na kuifaham ndoa ili kuepukana na wimbi la talaka za kiholela. Ushauri huo umetolewa na katibu tawala wilaya ndogo…
25 June 2025, 11:49 am
Pichani ni walimu pamoja na wanafunzi wa skuli ya sekondari Tumbatu wakiwa na wajumbe wa (WOMESA) Tanzania. Picha na Vuai Juma. Mabadiliko kwa sasa ni lazima ili tuweze kufanya kazi ya ubaharia kwa weledi vijana ni lazima msome kwa bidii…
20 June 2025, 4:59 pm
Picha ya wakitembeza mwenge wa uhuru kwenye eneo la mradi wa hoteli ya kappa sense iliyopo pwani mchangani Wilaya ya kaskazini “A” Unguja. Picha na Juma Haji Juma. “Naagiza “taarifa zote za miradi zitunzwe ili ziweze kutumika baada ya mbio…
18 June 2025, 2:50 pm
“Wanawake wengi hukumbana na ukatili wa maneno, vitisho na hata kushambuliwa mitandaoni wanapojaribu kuwania nafasi za uongozi. Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo na kijamii ili kuwalinda wanawake hawa na kuhakikisha wanashiriki siasa kwa usalama,” alisema Sizarina. Na Abdul Sakaza Shirika la…
16 June 2025, 5:37 pm
Picha ya Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja akiwa na wandishi wa habari kwenye kikao cha kutoa tarifa juu ya ujio wa mwenge wa uhuru Kaskazini Unguja. Picha na Vuai Juma “Miradi ambayo inapitiwa na Mwenge wa uhuru ni alama ya…
Swahili
Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.
Dira
Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.
Dhamira
Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
English
Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.
Vision
Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.
Mission
Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.