Tumbatu FM

Recent posts

4 September 2025, 6:11 pm

ZEC yatakiwa kuweka mazingira rafiki kwa wenye ulemavu

“Ikiwa watu wenye ulemavu watawekewa mazingi rafiki ya kufika kwenye vituo vya kupigia kura kuwezesha kutokuwepo kwa mtu yoyote mwenye ulemavu kukosa fursa ya kupiga kura” Na Juma Haji. Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Kaskazini Unguja Bi Mboja Hesabu ameishauri…

11 August 2025, 9:46 am

Wazazi toeni ushirikiano katika kuwasimamia wanafunzi

“Ikwa tutashirikiana kwa pamoja katika kuwasimamia watoto wetu tutaweza kuongeza idadi ya ufaulu ndani ya Skuli yetu” Na Atka Mosi. Mwalim  Mkuu wa skuli ya sekondari Mkokotoni Haji Abdallah Seif  amewataka wazazi na walezi  kutoa mashirikiano kwa kuwasimamia watoto kupata…

3 August 2025, 2:34 pm

Jiandikisheni mapema kwa ajili ya ibada ya Hijja

“Tuwahutubie waumini wa dini ya kiislam kuhusu hijja kumekuwa na mabadiliko kwa wale wanaotaka kwenda Makka wanatakiwa kujiandikisha mapema huu ni utaratibu uliowekwa na uongozi wa Makaa” Na Juma Haji Juma Mashekh na maimamu Nchini wametakiwa kutoa khotba ya kuelimisha…

20 July 2025, 10:35 am

“Wahariri kuweni makini katika kazi zenu”

“Ikiwa wahariri watasimamia vyema majukumu yao watasaidia kuondosha taarifa zinazopelekea migongano ndani ya jamii” Na Juma Haji. Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Dkt. Khalid Salum Mohhamed amewataka wahariri wa vyombo vya habari kuwa waangalifu juu ya maudhui wanayochapisha ili…

20 July 2025, 9:36 am

Tumieni mbegu bora za mpunga kuleta tija

“Ikiwa wakulima wanalima zao la mpunga watatumia mbegu zilizo bora wataweza kupata faida kubwa kwenye kilimo chao na kuondokana na umaskini“ Na Latifa Ali. Wakulima wanaolima zao la mpunga wametakiwa kutumia mbegu bora ili kuongeza tija na ufanisi katika uzalishaji…

17 July 2025, 12:11 pm

Sheria rafiki ni nguzo muhimu kwa wandishi wa habari kufanya kazi kwa ufanisi

“Ikiwa sheria zilizopo kwenye tasnia ya habari zitafanyiwa marekebisho kutapelekea kupatikana kwa mageuzi makubwa kwenye fani hiyo na kurahisisha utendaji kwa wandishi wa habari“ Na Tamwa Zanzibar. Kupatikana kwa sheria mpya na rafiki ya habari visiwani Zanzibar kutasaidia kuweka mazingira…

13 July 2025, 4:24 pm

Wapelekeni watoto shule na madrasa mapema kwenda kujifunza

“ikiwa wanajamii watahamasika kuwapeleka watoto wao kwenye vituo vya elimu wakiwa na umri mdogo kutapelekea wanafunzi kuwa na muamko wa masomo yao“ Na Juma Haji. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuwapeleka shule na madrasa watoto wakiwa wadogo ili kupata msingi…

4 July 2025, 5:22 pm

Mikakati ya kulinda amani Mkoa wa kaskazini Unguja yaanza kutekelezwa

“Serekali ya Mkoa kwa kushirikiana na vyomb vya ulinzi na usalama tutahakikisha lengo la kutokomeza vitendo viovu linafikiwa“ Na Mwanahawa Hassan Khamis Mkuu wa Mkoa wa kaskazani  Unguja Mh: Mattar Zahor Masoud amesema Ofisi yake imejipanga kuweka mipango madhubuti ya…

1 July 2025, 1:43 pm

Uongozi ni fursa kwa wanawake

“Wanawake wamekuwa msitari wa mbele kugombania nafasi za uongozi ndani ya mkoa wa kaskazini Unguja hali hii inatuonesha wazi kuwa mkoa wetu umepiga hatua kwenye demokrasia” Na Vuai Juma Chama cha mapinduzi mkoa wa Kaskazini Unguja kimesema kinatambua juhudi na…

Tumbatu FM Profile

Swahili

Radio jamii Tumbatu Fm ni chombo cha habari ambacho kimeanzishwa mwaka 2014 chini ya ufadhili wa Shirika la UNESCO Kwaajili ya kuwahudumia wakaazi wa jamii ya mkoa wa kaskazini unguja. Kituo hiki kimesajiliwa na Tume ya Utangazaji Zanzibar kama ni Radio inayosimamia maudhui ya habari za kujamii. Radio hii haifungamani na kulinda maslahi ya mrengo wa chama chochote cha siasa, Dini, Rangi au kabila lililokuwepo katika eneo ambalo radio inasikika.

Dira

Kuwa na jamii inayofuata Tanaduni zinazoelekeza kuwepo kwa ustawi wa elimu, uchumi, amani na Afya.

Dhamira

Radio Jamii Tumbatu inalenga kuifikia jamii kwa kuandaa vipindi vyenye kujenga uelewa wa mambo yatokanayo na jamii katika nyanja ya elimu, uchumi, Utamaduni, Amani, na Afya ili kurahisisha upatikanaji wa maendeleo.

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

English

Tumbatu Community Radio is a media outlet established in 2014 under the auspices of UNESCO to serve the residents of the northern region of Unguja. The station is registered with the Zanzibar Broadcasting Commission as an independent radio station that manages social media content. This radio is not bound to protect the interests of any political party, religion, race or ethnic group present in the area where the radio is heard.

Vision

Having a society that follows Cultures that guide the existence of prosperity, education, economy, peace and health.

Mission

Community Radio Tumbatu aims to reach out to the community by organizing programs that build awareness of social issues in the fields of Education, Economics, Culture, Peace, and health to facilitate access to development.