Radio Tadio

Zahanati

21 January 2025, 6:04 pm

Moto wateketeza maduka Jijini Dodoma

hakuna madhara ya kifo yaliyotokea katika ajali ya moto huo. Na Mariam KasawaTakribani maduka 10 yaliyopo katika Barabara ya Nane katikati ya Jiji la Dodoma yameteketa kwa moto uliozuka leo Januari 21, 2025 majira ya saa moja asubuhi, na hivyo…

21 August 2023, 5:58 pm

Mapato ya ndani kukamilisha kituo cha afya Nagulo Bahi

Kituo hicho cha afya kimetumia mapato ya ndani katika ujenzi wake huku wananchi wakichangia milion 6 na Mbunge wa jimbo hilo akichangia milion 6. Na Mindi Joseph. Jumla ya shilingi milion 62 zimetumika katika ujenzi wa kituo cha afya wilayani…

24 July 2023, 2:04 pm

Mwarobaini vifo vya wajawazito Bahi wapatikana

Hatua hii ni muhimu ambapo takwimu zinazokusanywa katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini zinaonesha vifo vitokanavyo na uzazi vimeendelea kupungua kutoka vifo 1,640 mwaka 2020 hadi vifo 1,580 mwaka 2021. Na Seleman Kodima. Vifo vya akina mama wajawazito…

4 July 2023, 3:49 pm

Nollo atatua changamoto ya huduma za afya Mapinduzi Kigwe

Uwepo wa huduma za afya kwenye kila kijiji wilayani Bahi mkoani Dodoma kutawahakikishia wananchi wa wilaya  hiyo usalama wa afya zao  pindi watakapopatwa na maradhi mbalimbali. Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mhe.  Kenneth Nollo ametoa zaidi ya shilling…

July 4, 2023, 11:20 am

Wakazi Kata ya Nyandekwa wahimizwa ushirikiano ujenzi wa zahanati

Wakazi wa Bujika kata ya Nyandekwa wilayani Kahama wametakiwa kuacha kukwamisha  shughuli  ya ujenzi wa zahanati kijijini hapo. Na Clement Paschal Wakazi wa kijiji cha Bujika kata ya Nyandekwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha kukwamisha  shughuli  ya ujenzi wa…