Ushirikiano
28 Januari 2026, 2:47 um
Wazee Dodoma waadhimisha siku ya Rais Samia kwa kupanda miti
Picha ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi na baadhi ya wazee wakipanda miti. Picha na Mariam Matundu. Zoezi la upandaji Miti mbele ya Ofisi ya Waziri Mtumba Jijini Dodoma limehusisha…
28 Januari 2026, 12:38 um
Wananchi wahimizwa kuwa na utaratibu wa kupanda miti
Picha ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Dodoma, Sakina Mbugi akipanda mti katika shule ya msingi Mbwanga, jijini Dodoma. Picha na Lilian Leopold. Zoezi la upandaji wa miti limefanyika katika maeneo mbalimbali ya jiji ikiwemo shuleni, taasisi za umma na…
16 Januari 2026, 12:05 um
Kampeni ya kukijanisha Dodoma yawafikia wananchi Nala
Zoezi hilo ni sehemu ya kampeni kubwa ya serikali ya kuikijanisha Dodoma kwa kupanda miti. Na Lilian Leopold. Katika jitihada za kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani na kustawisha mazingira, zoezi la ugawaji wa miche ya matunda na kivuli…
18 Januari 2024, 20:36
Ziara ya RC Homera yawa lulu kwa wawekezaji, aahidi ushirikiano na serikali
Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde Juma Zuberi Homera amewahakikishia Usalama wa Kutosha Wafanyabiashara na wawekezaji wa Mkoa wa huo ili kuendelea kufanya Shughuli zao za Uzalishaji Mali wenye tija kwa Serikali na Wakazi wa Mbeya kwa…
18 Januari 2024, 20:21
Polisi Songwe kuendeleza ushirikiano kwa wananchi
Na Mwandishi wetu Songwe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari ili kuendelea kujiwekea mikakati ya kuifikia jamii kwa kuipatia elimu na kuijengea uelewa kuhusu madhara ya uhalifu. Hayo yalibainishwa wakati wa…
12 Disemba 2023, 17:10
Katule: Wazazi ni aibu mtoto kukosa mahitaji muhimu ya shule kisa krismasi
Wazazi na walezi wilayani Kyela wametakiwa kuweka akiba kwa ajili ya watoto wao kwenda shule mwezi Januari kwani ni jambo la aibu mtoto kushindwa kwenda shule kwa sababu ya krismasi. Na Nsangatii Mwakipesile Kuelekea kuhitimisha mwaka wa 2023 mwenyekiti wa…
6 Novemba 2023, 15:44
CP. Wakulyamba: Wapeni ushirikiano VGS
Wananchi wametakiwa kuwapa ushirikiano Askari wa Wanyamapori Vijijini (VGS) ili waweze kutekeleza Majukumu yao vizuri ya ulinzi wa Maliasili pamoja na kuwalinda wanavijiji dhidi ya Wanyamapori wakali na waharibifu. Na Mwandishi wetu, Dodoma Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu…
6 Septemba 2023, 3:54 um
Baraza la Mji Kati laonyesha mfano jinsi ya kutumia tozo
Na Mwandishi wetu. Wananchi wameshauriwa kusimamia maelekezo ya Serikali ikiwemo kudumumisha usafi katika maeneo ya makaazi wanayo ishi. Mkurugenzi wa Baraza la Mji Mkoani Pemba Yussuf Kaiza Makame ameyasema hayo katika ziara ya kimafunzo iliyo husisha Madiwani 10, Watendaji 7…
4 Agosti 2023, 3:46 um
”Wananchi toeni taarifa za uhalifu kwasababu Polisi ni wachache” -D…
Wananchi wameombwa kufichua taarifa za wahalifu kufuatia kuwepo kwa idadi ndogo ya askari Polisi. Na Salma Abdul. Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Maria Nzuki ameomba ushirikiano wa wananchi katika kutoa taarifa za vitendo vya uhalifu kwa Jeshi la…