Radio Tadio

usafiri

7 September 2023, 1:56 pm

Madereva watakiwa kujaza mafuta gari ikiwa haina abiria

Je sheria hii imatambulika na imekuwa ikifuatwa na madereva wa vyombo vya moto hususani Magari ya abiria. Na Thadei Tesha. Madereva wa vyombo vya moto wametakiwa kutambua kuwa ni  kosa kisheria kujaza Gari mafuta na abiria wakiwa ndani ya gari.…

1 September 2023, 11:41

TPA Kigoma yadhamiria kuboresha usafirishji mafuta kwenda Burundi

Katika kuboresha huduma za usafirishaji, Mamlaka ya Bandari Tanzania mkoani Kigoma imesema inaendelea kuboresha usafirishaji wa mafuta kwa nchi ya Burundi. Na, Tryphone Odace Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA mkoa wa Kigoma, imeanza kuchukua hatua za kuboresha nyanja…

24 August 2023, 15:37

Vyombo visivyokidhi vigezo kuondolewa ziwa Tanganyika

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…

31 July 2023, 15:32

Serikali yatakiwa kumsimamia mkandarasi bandari ziwa Tanganyika

Serikali imetakiwa kumsimamia mkandarasi anayejenga mradi wa bandari ya ziwa Tanganyika ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa. Na, Tryphone Odace Wananchi mkoani Kigoma pamoja na wafanyabiashara wanaosafirisha bidhaa katika nchi jirani, wameiomba serikali kumsimamia mkandarasi anayejenga miradi ya bandari katika ziwa…

19 July 2023, 11:17

Waendesha pikipiki walia na mikataba kandamizi Kigoma

Shughuli ya uendeshaji wa pikipiki maarufu bodaboda kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na mchango mkubwa kwa vijana kujipatia kipato kwa kusafirisha abiria huku wengi wao wakipewa pikipiki hizo kwa mikataba hali iayosababisha kutofikia malengo yao. Na,Hagai Ruyagila Vijana waendesha…

11 March 2023, 6:05 pm

Watendaji kata wakabidhiwa pikipiki Kilosa

Katika kurahisisha utendaji kazi wa kuyafikia maeneo yote yaliyopo katika kata serikali imewapatia maafisa watendaji kata pikipiki ambazo zitawasaidia kuwafikisha maeneo ambayo walikua hawayafikii kiurahisi kutokana na umbali uliopo. Awali viongozi wa kata walikua wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwa…

30 January 2023, 7:00 am

Shirika la ndege la KLM laiomba Radhi Tanzania

Shirika la ndege la KLM limetoa ufafanuzi na kuomba radhi juu ya kusitisha safari zake za ndege kuja Tanzania pamoja na kutoa taarifa ya uwepo wa machafuko Nchini. Kupitia barua ya Meneja wa Air France-KLM Tanzania, kwa Waziri wa Ujenzi…

18 October 2022, 6:44 am

Wakazi jijini Dodoma waomba kupunguziwa gharama za usafirishaji

Na; Mariam Matundu.  Wananchi jijini  Dodoma wameomba kuboreshewa usafirishaji ili kupunguza gharama za usafiri zinachochangia kupanda kwa gharama za maisha siku hadi siku. Denis mandia ni mkazi wa dodoma yeye amesema kuwa suala la kupanda kwa gharama za usafirishaji zinachochea…