uhalifu
13 October 2025, 10:45 am
Wagonjwa wa mtoto wa jicho wapatiwa matibabu Chamwino
Baadhi ya wananchi wamegundulika kuwa na tatizo la mtoto wa jicho, jambo lililosababisha changamoto za kuona kwa baadhi yao. Picha na Mtandao. Kupitia kambi ya huduma za macho, wagonjwa hao wamepatiwa matibabu ikiwemo upasuaji mdogo, hatua iliyowawezesha kurejesha uwezo wao…
26 January 2024, 6:03 pm
Dalali, Nyerere jela miaka 30 kwa kubaka na kukutwa na dawa za kulevya
Dalali na Nyerere Wahukumiwa Jela miaka 30 kila mmoja kwa makosa ya kubaka binti wa miaka 7 mwanafunzi wa darasa la kwanza na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi kilo 35 zikiwa zimehifadhiwa nyumbani. Na,Daniel Manyanga Watu wawili…
28 December 2023, 18:24
Epukeni kutenda uhalifu
Na mwandishi wetu,Songwe Waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Thomas Jimbo Kuu la Mbeya wametakiwa kuzishinda dhamiri zao mbaya ili kutotenda matendo uhalifu katika jamii. Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP…
8 November 2023, 5:21 pm
Mifugo ya mwenyekiti mstaafu yapewa sumu asema anaumuachia Mungu
Ikumbukwe mtaa huo una mwenyekiti wa mtaa ambapo majukumu yake ni kusimamia na kuhamasisha ulinzi na usalama wa watu na mali zao na wananchi wana haki na wajibu wa kulinda mali, rasilimali za umma na kupambana na kila aina ya…
11 October 2023, 3:55 pm
Mrindoko: Serikali itaendelea kuwachukulia hatua wahusika wa vitendo vya uharifu
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amesema serikali mkoani hapa itaendelea kuwachukulia hatua kali wahusika wote wa vitendo vya uharifu. KataviMkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Marindoko amesema kuwa serikali mkoani hapa itaendelea kuwachukulia hatua kali wahusika…
August 23, 2023, 2:15 pm
Mawe ya dhahabu yakamatwa yakitoroshwa kutoka mgodi wa Bulyanhulu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limekamata mawe yenye madini ya dhahabu yenye uzito wa gramu 6753.4 na thamani ya Tsh. Milioni 9 yakitoroshwa kutoka kwenye mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu wilayani Kahama huku pia likikamata Carbon yenye mchanga wenye…
4 August 2023, 3:46 pm
”Wananchi toeni taarifa za uhalifu kwasababu Polisi ni wachache” -D…
Wananchi wameombwa kufichua taarifa za wahalifu kufuatia kuwepo kwa idadi ndogo ya askari Polisi. Na Salma Abdul. Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Naibu Kamishna wa Polisi DCP Maria Nzuki ameomba ushirikiano wa wananchi katika kutoa taarifa za vitendo vya uhalifu kwa Jeshi la…
24 June 2023, 6:24 pm
Simiyu: Watu 37 mikononi mwa jeshi la polisi kwa makosa mbalimbali
Kwenye picha ni Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu ACP,Edith.M.Swebe akizungumza na Waandishi wa habari mkoani hapo Na mwandishi,Daniel Manyanga Jeshi la Polisi mkoa wa Simiyu limewatia mbaroni Watu (Watuhumiwa) 37 kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya Ulawiti,Wizi ,Uvunjaji…
4 January 2023, 8:25 am
Wizi wa ajabu wafanyika duka la dawa.
Na Adelina Ukugani: Jeshi la Polisi mkoani Geita limewataka wafanyabiashara kuchukua tahadhari ya watu ambao wanaenda kama wateja kununua bidhaa kwao ili wasiwaingize katika hasara ya kuibiwa ikiwa ni baada ya muuzaji wa duka la dawa kuibiwa na watu walioingia…
4 October 2022, 12:03 pm
Wanafunzi wanao hitimu darasa la saba watakiwa kuto jiingiza kwenye uhalifu
Na; Victor Chigwada Wito umetolewa kwa wanafunzi wanao hitimu elimu ya msingi kuacha kujihusisha na vikundi vya uhalifu ambavyo vimekuwa gumzo kwa hivi karibuni wakati wakisubiri matokeo ya mtihani. Wito huo umetolewa na fadhila Chibago Diwani wa Kata ya Dodoma…