ubunifu
20 July 2026, 5:03 pm
Yas, Mixx by Yas Tanzania wazindua mnara wa mawasiliano wa 4G na 5G Kiteto
Zaidi ya wananchi elfu 8 katika kijiji cha ngeju kilichopo kata ya Namelock wilayani Kiteto mkoani Manyara kunufaika na mnara wa mawasiliano wenye uwezo wa 4G na 5G Na Marino Kawishe Kampuni ya simu za mikononi ya Yas na Mixx…
15 July 2026, 09:02
Enabel yakabidhi madarasa yanayohamishika Kasulu
Elimu ni msingi muhimu wa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla na kupitia elimu, jamii hupata maarifa, ujuzi na maadili yanayochangia maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kisiasa, utekelezaji wa miradi ya elimu unahitaji rasilimali nyingi, utaalamu na ushirikiano…
16 January 2026, 7:16 pm
Tume ya mipango ya ardhi yaanza mchakato wa upimaji Nyang’hwale
“Nina imani kuwa ugawaji wa hati za kimila utapunguza kwa kiasi kikubwa uwepo wa migogoro ya ardhi” -Katibu tawala mkoa wa Geita Mohamed Gombati Na: Edga Rwenduru Baada ya serikali kumega sehemu ya eneo la hifadhi ya msitu wa muyenze…
23 May 2024, 15:59
Jamii yatakiwa kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama
siku ya hedhi salama huadhimishwa kila mwaka Mei 28. Na Mariam Matundu.Waziri wa afya ameitaka jamii na wadau kuweka mazingira rafiki kwenye suala la hedhi salama ili mwanamke aweze kutimiza majukumu yake bila kikwazo. Waziri Ummy amesema hayo wakati akitoa…
19 May 2022, 15:29
Halmashauri zatakiwa kutenga maeneo maalum kwaajili ya shughuli za ubunifu
Na;Yussuph Hassan. Wito umetolewa kwa halmashauri Nchini kutenga maeneo maalum kwa ajili ya shughuli za kukuza bunifu zinazofanywa na wabunifu mbalimbali. Wito huo umetolewa na makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango katika kilele cha…
19 May 2022, 15:12
Wabunifu waiomba serikali kuendelea kuwawezesha
Na;Mindi Joseph. Wabunifu wameiomba serikali kuendelea kuwawezesha ili kuendeleza Bunifu zao kutoka hatua moja kwenda nyingine kwa maendeleo ya Taifa. Taswira ya habari imezungumza na Mkufunzi wa mafunzo ya matengenzo ya ndege kutoka chuo cha taifa cha usafirishaji Juma Msofe…
23 August 2021, 13:40
Familia zatakiwa kuvunja ukimya juu ya hedhi salama kwa mtoto wa kike
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ili kuvunja ukimya na kuwezesha upatikanaji wa hedhi salama kwa watoto wa kike ni muhimu suala hili likaanza kuzungumzwa ndani ya familia pamoja na kujumuishwa kwenye bajeti za familia. Akizungumza na taswira ya habari mdau…