Radio Tadio

TAKUKURU

13 August 2024, 3:23 pm

Jeshi la polisi lamshikilia mmoja kifo cha msanii Man Dojo

Watu Wawili wilayani Bahi wameuwawa baada ya kushambuliwa sehemu mbalimbali na kuchomwa moto katika gari . Na Seleman Kodima.Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia RAPHAEL KENETH NDAMAHNUWA, mwenye umri wa miaka 26 Mkazi wa Nzuguni B kwa ajili ya…

8 November 2023, 13:39

Takukuru yabaini mapungufu kwenye miradi minne ya maendeleo Kigoma

Vitendo vya rushwa vimeendelea kushamiri katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchi hali inayochangia baadhi ya miradi hiyo kushindwa kukamilika kwa wakati. Na, Lucas Hoha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu…

18 August 2023, 10:05 am

Takukuru  Simiyu  yaokoa  milioni 500 za  mfanyabiashara

TAKUKURU mkoa wa Simiyu imeokoa mamilioni ya fedha za mfanyabiashara ambaye mali zake zingepigwa mnada kwa bei ya kutupwa. Na Nicholaus Machunda Taasisi  ya  Kuzuia  na  Kupambana  na  Rushwa nchini TAKUKURU mkoa  wa  Simiyu  imefanikiwa  kudhibiti  upotevu  wa  zaidi ya  Shilingi …

Bw. Jumbe Makoba

16 August 2023, 15:49 pm

TAKUKURU Mtwara yasaidia ukamilishaji wa miradi ya maendeleo

Na Musa Mtepa; Taasisi ya kuzuia na kupambana  na Rushwa  TAKUKURU Mkoani Mtwara katika kipindi cha mwezi Aprili -Juni 2023 imefanikiwa kuokoa Miradi ya Maendeleo ambayo  awali ilikuwa kwenye mtanziko wa ukamilishaji kutokana dosari za Wazabuni katika utekelezaji wake. Akizungumza…

5 July 2023, 11:25 am

Kupokea rushwa ni kosa, toa taarifa

Suala la kutoa na kupokea rushwa kwa viongozi na wafanyakazi wa sekta binafsi na za serikali mkoani Geita bado limeonekana kuwa ni changamoto na kupelekea Kaimu Kamanda Mkuu wa Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Geita…