Radio Tadio

Shule

31 January 2024, 9:06 pm

Watoto wenye mahitaji maalum hawatakiwi kufichwa ndani

Shule ya msingi Dodoma Viziwi ni taasisi binafsi iliyoanzishwa mwaka 2005 ikiwa na jumla ya wanafunzi watano ambapo uandikishaji wa wanafunzi katika shule hiyo umezidi kuongezeka na katika mwaka huu 2024 imeandikisha jumla ya wanafunzi 22. Na Fed Cheti.Mkuu wa…

4 January 2024, 4:28 pm

Shekimweri ataka mapungufu yarekebishwe Mayeto

Zoezi la ukaguzi wa shule mpya jijini Dodoma zinazo tarajia kufunguliwa january 8 umeendelea ambapo mkuu wa wilaya alipata wasaa wa kutembelea shule mbili ambazo pia zimekamilika. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri ametaka mapungufu yaliyopo katika…

30 October 2023, 5:19 pm

Rc  Simiyu  aonya  Wanaume  wanaonyemelea  Wanafunzi  wa  Kike  na kukat…

Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu  Dkt  Yahaya  Nawanda  amewaonya  Wanaume  wote  wanaotongoza Wanafunzi  na  kuwapatia  Ujauzito   unaopelekea  kukatisha ndoto  zao  za  Masomo. RC   Nawanda  amesema   hayo  katika  Ziara  yake  Wilayani  Maswa  ya  kukagua    Miradi mbalimbali   ya  Maendeleo …

28 February 2023, 5:21 pm

Wanafunzi watembea zaidi ya kilomita 28 kufuata shule

Serikali imeombwa kusaidia kukamilisha ujenzi wa shule ya sekondari ili kurahisha upatikanaji shule hali itakayopunguza gharama kwa wazazi wanaosomesha watoto . Na Victor Chigwada                                                        Wanafunzi wa kata ya chiboli wilayani chamwino wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya km 28…

6 February 2023, 5:33 pm

Shule ya Msingi Idifu yashindwa kuhimili wingi wa wanafunzi

Walipokea ahadi kupitia mfuko wa jamii TASAF lakini kutokana na kukosekana kwa utekelezaji imechangia kuwavunja moyo wananchi katika eneo hilo. Na Victor Chigwana Uchakavu na uchache wa madarasa katika shule ya Msingi Idifu  imetajwa kushindwa kuendana na Idadi ya wanafunzi…