sheria
20 November 2025, 1:38 pm
Serikali yatakiwa kuingilia kati mgogoro wa Ardhi Bwawani
Mwenyekiti amewataka wananchi, pindi linapotokea jambo, kukaa pamoja na kufanya maridhiano badala ya kuchukua uamuzi unaoweza kuleta athari kwa wananchi wengine. Na Farashuu Abdallah.Wananchi wa Mtaa wa Bwawani kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba serikali iwasaidie kutatua mgogoro wa ardhi…
27 October 2025, 3:40 pm
Migogoro ya ardhi na ndoa yavuruga maendeleo Mpwayungu
Wameiomba Serikali kupeleka wataalamu wa masuala ya kijinsia kutoa elimu kwa wanandoa, pamoja na wataalamu wa ardhi, ili kupunguza migogoro ya mara kwa mara. Na Victor Chigwada.Wananchi wa Kijiji cha Mpwayungu, jijini Dodoma, wametakiwa kuachana na migogoro ya ardhi na…
1 October 2025, 4:21 pm
Mikataba ya upangaji izingatiwe kuondoa migogoro
Sheria ya Wenye Nyumba na Wapangaji – Toleo la 2009) ya Tanzania lengo lake ni kuhakikisha uwiano wa haki na wajibu kati ya mwenye nyumba na mpangaji, kuzuia migogoro, na kutoa mfumo wa kisheria wa kutatua mizozo ya upangaji. Picha…
10 October 2024, 7:00 pm
Fahamu chanzo cha migogoro ya ndoa katika jamii
Na Steven Noel . Migogoro imetajwa kuwa ni chanzo kikuu cha kuvunjika kwa mahusiano ya ndoa katika jamii kwa sasa. Bi. Ruth Udamo Afisa Ustawi anayeshughulikia masuala ya usuluhishi wa migogoro ya ndoa Wilaya ya Mpwpwa anabainisha sababu kadhaa zinazopelekea…
2 October 2024, 8:57 pm
Wananchi Dodoma washauri suluhisho migogoro ya ardhi
Na Nazael Mkude. Wakazi wa mkoa wa Dodoma wametoa maoni yao kuhusu njia za kupunguza migogoro ya ardhi katika jiji la Dodoma. Wakizungumza na Dodoma TV, Wakazi hao wamesema kuwa ili kupunguza migogoro ya ardhi inapaswa viongozi na wananchi kushirikiana…
February 1, 2024, 6:31 pm
Wananchi wahimizwa kufuata sheria pindi matukio ya uharifu yanapojitokeza
Imeelezwa kuwa elimu ni nguzo pekee ya wananchi kuweza kutambua sheria ili kufahamu haki na wajibu wao pindi ambapo wanapokuwa na changamoto mbali mbali pamoja na kutoa ushirikiano na vyombo husika katika kufanikisha haki inatendeka pindi ambapo uharifu unapojitokeza Na…
31 January 2024, 22:29
Kyela: Manase mgeni rasmi kilele cha Sheria Kyela
Mkuu wa wilaya ya Kyela Josephine Manase anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya sheria hapo kesho katika viwanja vya mahakama ya wilaya ya Kyela. Na Nsangatii Mwakipesile Kuelekea kelele cha maadhimisho ya siku ya sheria hapa nchini…
27 January 2024, 7:29 pm
Migogoro ya ardhi, mirathi yapatiwa mwarobaini Maswa
“Wananchi waitumie wiki na siku ya sheria kupata elimu ya kisheria ili kupunguza migogoro isiyo ya lazima hasa migogoro ya ardhi na mirathi kwa sasa hairipotowi kwa wingi katika vyombo vya kutoa haki.” Na,Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa…
28 November 2023, 5:32 pm
Watu wenye ulemavu wa akili kulilia marekebisho ya sheria-Kipindi
Na Muandishi wetu. Kuwepo kwa mapungufu katika Sheria ya Adhabu namba 6 Sheria ya Zanzibar ya mwaka 2006 pamoja na marekebisho yake namba 6 ya mwaka 2018 (Penal Act no.6 of 2006 as replaced by Penal Act no. 6 of…
3 August 2023, 14:21 pm
Kipindi: Watanzania wengi wanaishi kwenye dhana ya ndoa na sio Ndoa
Na Musa Mtepa Akizungumza katika kipindi maalumu kinachorushwa na jamii FM redio cha tarehe 25/07/2023,Hakimu Mkazi kutoka mahakama ya Mwanzo Mkoani Mtwara Ndugu Alex Robert amesema baada ya ndoa kufungwa inapaswa kusajiriwa katika taasisi ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na…