Radio Tadio

RUWASA

19 November 2023, 4:58 pm

RUWASA yakabiliwa na uhaba wa vitendea kazi, wataalam

(RUWASA) ndani ya miaka miwili ya utawala wa awamu ya sita wa Rais Samia Suluhu imefanikiwa kutoa huduma ya maji vijijini kwa asilimia 74. Na Alex Sayi Wakala wa Maji Safi na Mazingira Vijijini wilayani Maswa mkoani Simiyu RUWASA umebainisha…

9 October 2023, 3:06 pm

Chongolo amtaka Waziri wa maji kufika Karema na Ikola

Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo amemtaka Waziri wa maji Juma Aweso kuhakikisha anafika kata za Karema na Ikola Kutatua changamoto ya maji Na John Benjamin – Tanganyika Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi taifa Daniel Chongolo…

21 September 2023, 18:46

TAEEs yatoa mafunzo kwa bodi za maji 15 Mufindi

Na Kelvin Mickdady -MufindiFM Bodi za kusimamia vyanzo na usafi wa maji wilayani Mufindi zimetakiwa kuboresha mfumo wa ufanyaji kazi ili kuongeza mapato ya serikali kupitia bodi hizo.Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa halmshauri ya wilaya ya Mufindi Mhe. Festo Mgina…

8 August 2023, 3:22 pm

Wananchi waelimishwa utunzaji wa vyanzo vyanzo vya maji

Licha ya kuwepo kwa Sheria za Usimamizi wa vyanzo vya maji bado umekuwepo uharibifu wa vyanzo vya maji kutokana na kuwepo kwa shughuli za kibinadamu zinazofanyika pasipo kuzingatia Sheria zinazosimamia mazingira na rasilimali maji. Na Mindi Joseph. Mamlaka ya Maji…

12 April 2023, 4:46 pm

Ibihwa watarajia kuondokana na adha ya maji

Mradi wa maji kata ya Ibihwa unatekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia RUWASA wilaya ya Bahi na kusimamiwa na kampuni ya Prest Water and Civil works. Na Bernad Magawa Mradi mkubwa wa maji unaojengwa katika kijiji cha Ibihwa unatajiwa kuanza…