Radio Tadio

rushwa

19 April 2024, 10:25 am

GGML, TAKUKURU zatoa elimu mapambano ya Rushwa

Tanzania inajiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa kuelekea uchaguzi mkuu 2025 kwa mujibu wa Katiba ya nchi ambapo uchaguzi hufanyika kila baada ya miaka mitano. Na Adelina Ukugani – Geita Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ukaofanyika mwezi…

13 November 2023, 4:07 pm

Wanafunzi watakiwa kutofumbia macho vitendo vya rushwa

Na Seleman Kodima. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaji Jabiri Shekimweri  amewataka wanafunzi wa Shule za Sekondari Dodoma kupinga, kuchukia na kutofumbia matendo ya rushwa. Rai hiyo ameitoa wakati akizungumza na shule 12 ambazo ziliingia fainali katika  shindano la Mdahalo…

3 November 2023, 17:54 pm

Rushwa ya ngono isichukuliwe kawaida

Rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi kwa upande mwingine ni suala la mkanganyiko kwa sababu ni suala Mtambuka huku akisema kuwa inawezekana Bosi akampenda kweli mfanyakazi wake lakini wakati mwingine anaweza kutafsiriwa kuwa ni Rushwa ya ngono Na Musa…

1 November 2023, 11:21 am

Jamii yatakiwa kushiriki kutokomeza rushwa ya ngono

Rushwa ya ngono inaweza kusababisha athari kubwa kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Na Aisha Alim. Jamii imetakiwa kushirikaiana katika kuhakikisha vitendo vya rushwa ya ngono makazini vinatokomezwa kwani ni miongoni mwa vitendo vya ukatili vinavyomnyima mtu haki…

15 September 2023, 18:20

TAKUKURU yaokoa shilingi Milionii 2.4 za Vikoba

Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Iringa Bahati Haule akikabidhi pesa taslimu Sh. Mil 2.4 zilizoleheshwa kupitia TAKUKURU rafiki kata ya Bumilayinga wilayani Mufindi. Picha na Gift Mario Na Gift Mario Tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Wilayani Mufindi…

1 August 2023, 10:45 pm

TAKUKURU Geita yaokoa zaidi ya shilingi milioni 11

Wakulima wa pamba wamelalamikia kutapeliwa pesa zao za mauzo, hali iliyopelekea TAKUKURU kuingilia kati. Na Kale Chongela- Geita Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa zaidi ya Shilingi Milioni 11 zilizokuwa zimetapeliwa na viongozi…