Radio Tadio

Mvua

31 January 2024, 7:59 am

Wakulima wapatiwa elimu ya kukabiliana na mvua nyingi

Mifugo na baadhi ya mazao hutegemea ufanisi wa wataalamu hususani inapokuja mabadiliko ya hali hewa hivyo ni vyema kufuata ushauri wataalamu wa kilimo pamoja na mifugo. Na Victor Chigwada .Wakulima na wafugaji wa kata ya Handali wilaya ya Chamwino wameendelea…

14 December 2023, 16:19

Wafanyabiashara soko la Gungu walia na ukosefu wa miundombinu bora

Serikali imeombwa kukarabati miundombinu ya barabara na mitaro inayopita katika soko la Gungu Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Na Orida Sayon. Wafanyabiashara wa soko la Gungu lililoko kata ya gungu maniapaa ya kigoma ujiji wameitaka serikali kuboresha miundombinu ya…

27 November 2023, 11:36 pm

Kivuko cha meli Mharamba chasombwa na maji, wananchi wakwama

Mvua zinazoendelea kunyesha bado ni changamoto kwa wakazi katika maeneo tofauti mkoani hapa. Na Said Sindo- Geita Wakazi wa kijiji cha Mharamba, wilaya ya Geita mkoani Geita wamesema maisha yao yako hatarini kutokana na kivuko (Gati) walichokuwa wakitumia kusombwa na…

1 October 2023, 5:47 pm

Madereva watakiwa kuchukua tahadhari katika msimu wa mvua

Madereva wa magari ya abiria na binafsi mkoani Katavi wametakiwa kuwa makini na kuchukua tahadhari katika kuelekea msimu wa mvua za masika KATAVI.Madereva wa magari ya abiria na binafsi mkoani Katavi wametakiwa kuwa makini na kuchukua tahadhari katika kuelekea msimu…