Radio Tadio

Mapato

15 March 2024, 6:40 pm

Soko kuu Majengo lafanikiwa ukusanyaji taka.

Wananchi wanahimizwa kuendelea kuweka mazingira katika hali ya usafi huku wakitakiwa kufahamu kuwa kuweka takataka chini ni kosa kisheria. Na Mariam Kasawa.Soko Kuu la majengo jijini Dodoma limefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika zoezi la ukusanyaji yaka hali inayopelekea mazingira kuwa…

22 January 2024, 09:49

Halmashauri ya wilaya Kasulu yakusanya zaidi ya bilioni 19

Halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekusanya zaidi ya shillingi billion 19 ambayo ni sawa na asilimia 61 kutoka ruzuku ya serikali, wahisani na vyanzo vya ndani vya mapato vya halmashauri hiyo katika kipindi cha mwezi Julai hadi Desemba…

22 January 2024, 09:20

TRA Kasulu yashindwa kufikia malengo

Mamlaka ya mapato Tanzania TRA wilaya ya Kasulu mkoani kigoma imeshindwa kufikia lengo la ukusanyaji mapato katika kipindi cha mwezi julai hadi Desemba 2023 ikiwa ni   nusu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2023/2024. Na, Hagai Ruyagila Akitoa taarifa katika…

7 December 2023, 2:05 pm

Siha yavuka lengo ukusanyaji mapato

Halmashauri Siha imevuka lengo la makusanyo ya mapato kwa kukusanya bilioni 8.24 robo ya mwaka. Na Elizabeth Mafie Halmashauri ya wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro imefanikiwa kuvuka lengo kwa kukusanya shilingi bilioni 8.24 katika robo ya Kwanza ya mwaka…

8 November 2023, 3:07 pm

RUWASA kuja na mfumo wa kudhibiti upotevu wa mapato

Baraza la madiwani Nsimbo Mkoa wa Katavi waishauri Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira Vijijini [RUWASA]  kuthibiti Mapato. Na Betord Chove-Nsimbo Baraza la madiwani katika halmashauri ya Nsimbo mkoa wa Katavi wameishauri Wakala wa Maji na usafi wa Mazingira…

30 October 2023, 2:09 pm

Bahi Sokoni waanza utaratibu wa kusoma mapato na matumizi

kupitia  mkutano huo elimu mbalimbali zilitolewa ikiwemo suala la ukatili wa kijinsia. Na. Bernad Magawa. Kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi kimeanza kutekeleza kwa vitendo agizo la Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bahi Zaina Mlawa alilolitoa  hivi karibuni…

16 February 2023, 2:44 pm

Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato

Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…