Radio Tadio

Mahakama

1 February 2024, 8:09 pm

DC  Kaminyoge:  Elimu ya Kisheria  iendelee  kutolewa kwa Wananchi   

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa   Mkoani  Simiyu  Mhe,  Aswege  Kaminyoge  amewataka  wadau  wa  Sheria   kuendelea  kutoa  Elimu  kwa  Wananchi  kwani  wanawategemea  sana  katika  Utoaji  wa  Haki. Hayo  ameyasema  katika  kilele  cha  Wiki  ya  Sheria  katika  Viwanja   vya  Mahakama  ya  Wilaya …

31 January 2024, 8:14 pm

Jaji Mkuu aibua hoja kukabiliana na uharifu nchini

Kongamano hilo limeandaliwa na Mahakama ya Tanzania kupitia chuo cha uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) . Na Mindi Joseph.Jaji mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma leo amefungua kongamano la siku moja la kujadili masuala ya makosa ya uharifu jijini Dodoma.…

7 February 2023, 10:19 pm

Kesi Zimalizwe kwa Usuluhishi Kuokoa Muda

KATAVI Wananchi mkoani katavi wameshauriwa kumaliza kesi za madai kwa njia ya usuluhishi ili kuondoa gharama na kutopoteza muda. Hayo yamesemwa na Hakimu mkazi mkuu mfawidhi mkoa katavi Gway Sumaye alipokuwa akitoa hotuba katika hitimisho la wiki ya sheria ambapo…

20 January 2023, 3:14 am

Uzinduzi wa Jengo la Mahakama Katavi

KATAVI Watumishi wa Mahakama nchini wametakiwa kutenda haki na kuepuka vitendo vya rushwa ili kuwahudumia wananchi kwa haki,usawa na kwa wakati. Hayo yamesemwa na Jaji Kiongozi Mahakama Kuu Tanzania Mustapher Mohamed Siyani wakati akizungumza katika uzinduzi wa mahakama za hakimu…