Radio Tadio

macho

3 October 2024, 8:10 pm

Mimba za utotoni bado ni tatizo kwa taifa

Na Lilian Leopold         Tatizo la mimba za utotoni limekuwa ni suala endelevu katika jamii nyingi nchini Tanzania. Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi Dodoma kutoka Dawati la Kijinsia Bwn. Michael Nkinda amebainisha sababu mbalilmbali zinazopelekea kuwepo kwa tatizo hilo miongoni mwa…

8 August 2024, 5:01 pm

Mazingira rafiki ya elimu yanavyopunguza mimba za utotoni

Mariam Matundu ametembelea katika kata ya Mbabala na kuzungumza na Lilian Masunga mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Mbabala. Na Mariam Matundu.Leo tunaangazia namna ambavyo mazingira rafiki ya wasichana kupata elimu yanasaidia kupunguza mimba za utotoni .…

16 December 2023, 12:15 am

Wananchi watoa maoni mseto kwa wavaa miwani bila kupima

Wananchi mkoani Katavi watoa maoni juu ya madhara ya kuvaa miwani bila kuzingatia ushauri wa  madktari wa macho. Na Lilian Vincent – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni juu ya madhara yanayoweza kumpata mtu anaevaa miwani bila…

3 October 2023, 19:09

Umuhimu wa kutunza macho yako ukiwa kazini

Katika maisha yetu ya kila siku tunashauriwa kutunza macho yetu kwa kupunguza matumizi ya simu pamoja na komputa hasa ukiwa kazini. Na Mpoki Japheth Wananchi mkoani Mbeya wameshauriwa kutunza macho yao ili kuepukana na changamoto ya tatizo la uoni hafifu.…

12 October 2022, 11:30 am

CVT kutoa vipimo bure siku ya uono Duniani

Na; Alfred Bulahya Kuelekea siku ya Uono Duniani octoba 13, Clinic ya Macho ya CVT iliyopo Jijini Dodoma imepanga kutoa huduma za upimaji wa macho bure katika siku hiyo na kutoa huduma ya upasuaji na miwani kwa gharama nafuu ili…

27 May 2022, 2:58 pm

Jamii yatakiwa kutofumbia macho ajali zinazo athiri macho

Na;Yussuph Hassan.     Jamii imeshauriwa kutofumbia macho ajali mbalimbali zinazoathiri macho kwani kufanya hivyo ni kuhatarisha uoni ambao unaweza kusababisha upofu baadae. Ushauri huo umetolewa na Bingwa wa Magonjwa ya Macho kutoka kliniki ya Cvt Dodoma Dkt Nelson Mtajwaa wakati akizungumza…