Radio Tadio

Kodi

19 December 2023, 19:58

Elimu kwa mlipa kodi,wananchi wafurahia

Na mwandishi wetu Halmashauri ya wilaya ya rungwe  imeanza zoezi la kutoa elimu kwa mlipa kodi lengo likiwa ni kuwajengea uelewa wananchi faida ya kutoa kodi kwa maendeleo ya taifa letu. Katika soko la ndizi mabonde  tukuyu mjini leo, wananchi…

22 September 2023, 5:01 pm

Wafanyabiashara Pemba walalamikia kodi kubwa

Wafanyabiashara kisiwani Pemba wameiomba serikali kuwapunguzia kodi ili kuweza kunusuru biashara zao. Na Is-haka Mohammed. Wafanyabiashara kisiwani Pemba wamedai kuwepo kwa kodi kubwa kunatishia uhai wa biashara zao na kuiomba serikali kuangalia upya hali ya kodi wanazotoza ili kunusuru hali hiyo…

6 February 2023, 10:33 am

Serikali kuimarisha sheria ya kodi

Tunaomba kuboreshwe kwa baadhi ya sheria za kodi hapa Nchini ambazo zinawabana wafanyabiashara. Na Joyce Buganda Serikali imeombwa kuendelea  kuzingatia upya  sheria za kodi ili kuimarisha uzalendo  na ulipaji kodi wa hiari. Hayo yamezungumzwa na naibu katibu Mkuu wa  Jumuiya…

21 April 2022, 10:43 am

Maadhimisho ya muungano kufanyika Dodoma April 26

Na; Selemani Kodima. Serikali imesema kuwa maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania yanatarajia kufanyika tarehe 26 April 2022 jijini dodoma ambapo Mgeni Rasmi atakuwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan. Taarifa  iliyotolewa leo…