EAGT
17 August 2026, 17:35
Wananchi Huzi walia na uvamizi wa tembo
Wananchi walio athiriwa na tembo hao kupewa fomu za kujaza na uongozi wa kijiji ili kufidiwa hasara waliyo ipata lakini hakuna utekelezaji wowote. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Huzi Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwasaidia kukabiliana na Tembo…
13 August 2026, 11:16
Jaribio kilimo viazi mviringo laonesha mafanikio Dodoma
Utafiti wa zao la viazi mviringo mkoani Dodoma bado unaendelea ili kukamilisha hatua zote muhimu kabla ya mbegu hiyo kuingizwa rasmi sokoni. Na Yussuph Hassan. Jaribio la kwanza la Mbegu ya viazi mviringo lililotafitiwa na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo…
6 August 2026, 17:38
Wakulima watakiwa kutumia anuani za makazi
Mhandisi Turuka ametoa wito kwa wananchi wote wanaotembelea Maonesho ya Nanenane kufika katika banda la Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ili kupata elimu na kujisajili au kusasisha taarifa zao katika Mfumo wa Anwani za Makazi, hatua ambayo itawawezesha…
3 August 2026, 11:31
Waziri wa Kilimo aongoza marathon miaka 10 ya Tari
Maadhimisho ya Miaka 10 ya TARI yanatarajiwa kuendelea kwa shughuli mbalimbali zikiwemo maonesho ya teknolojia za kilimo, elimu kwa wananchi na utoaji wa huduma za ushauri wa kitaalamu kwa wadau wa sekta hiyo. Na mwandishi wetu. Waziri wa Kilimo Mhe.Daniel…
13 July 2026, 15:52
Umiliki halali wa ghala Matui wazua mgogoro
Hii hapa tarifa yake kitana Hamisi kutoka wilayani Kiteto Mkoani Manyara. Na Kitana Hamis. Mvutano wa umiliki wa ghala lililopo Kijiji cha Matui, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, umeendelea kushika kasi huku wananchi na Chama cha Ushirika cha Matui (Matui…
6 July 2026, 17:49
Mixx by Yas yaimarisha ushirikiano na vyama vya ushirika
Kampuni hiyo imeingia makubaliano na vyama vya ushirika kwani kampuni hii imekuwa mdau wa TCDC Kwa muda mrefu. Na Anwary Shaban. Kampuni ya Mixx by YAS Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano na vyama vya ushirika nchini kwa kusaini hati ya makubaliano…
22 June 2026, 17:02
Simulizi ya Vilindoni na uimara wa vihenge vya jadi
Uimara wa vihenge hivi umefanya viwepo hadi leo katika eneo hilo na kufanya eneo hilo kuitwa Vilindoni. Na Yussuph Hassan.Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo na ufugaji kwa maisha…
18 June 2026, 18:07
Wakulima wasisitizwa umuhimu wa mfumo wa stakabadhi ghalani
Katika hatua nyingine, Mhe. Senyamule amewaahidi wakulima kuwa serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowasaidia kukuza na kuimarisha sekta ya kilimo. Na Mariam Kasawa. Wakulima wa kata ya Dabalo jijini Dodoma waamesisitizwa umuhimu wa matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa…
16 June 2026, 17:27
Wananchi Handali watakiwa kuhifadhi chakula
Wananchi wanashauriwa kudhibiti upotevu wa mazao baada ya mavuno na kuhifadhi chakula kwa uangalifu ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi katika ngazi ya familia na kuepuka uharibifu ili kulinda usalama wa chakula . Na Victor Chigwada. Wito umetolewa Kwa wakazi…
15 June 2026, 16:41
Mwendelezo wa simulizi ya vilindoni na vihenge vya jadi
Ni historia inayostahili kuhifadhiwa na kusimuliwa ili vizazi vya sasa na vijavyo viweze kufahamu chimbuko na urithi wa mahali wanapoishi. Na Yussuph Hassan. Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo…