EAGT
18 June 2026, 18:07
Wakulima wasisitizwa umuhimu wa mfumo wa stakabadhi ghalani
Katika hatua nyingine, Mhe. Senyamule amewaahidi wakulima kuwa serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowasaidia kukuza na kuimarisha sekta ya kilimo. Na Mariam Kasawa. Wakulima wa kata ya Dabalo jijini Dodoma waamesisitizwa umuhimu wa matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa…
16 June 2026, 17:27
Wananchi Handali watakiwa kuhifadhi chakula
Wananchi wanashauriwa kudhibiti upotevu wa mazao baada ya mavuno na kuhifadhi chakula kwa uangalifu ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi katika ngazi ya familia na kuepuka uharibifu ili kulinda usalama wa chakula . Na Victor Chigwada. Wito umetolewa Kwa wakazi…
15 June 2026, 16:41
Mwendelezo wa simulizi ya vilindoni na vihenge vya jadi
Ni historia inayostahili kuhifadhiwa na kusimuliwa ili vizazi vya sasa na vijavyo viweze kufahamu chimbuko na urithi wa mahali wanapoishi. Na Yussuph Hassan. Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo…
12 June 2026, 13:06
Vilindoni jina lililobeba historia ya vihenge vya jadi Dodoma
Licha ya ukuaji wa Jiji la Dodoma na mabadiliko ya kiuchumi yanayoendelea kushuhudiwa, Vilindoni bado imehifadhi sehemu ya utambulisho wake wa kihistoria. Na Yussuph Hassan. Pembezoni mwa Jiji la Dodoma, ndani ya Kata ya Mbabala, kuna mtaa unaobeba simulizi ya…
29 May 2026, 18:03
Vijana wageukia kilimo kupambana na ukosefu wa ajira
kilimo si kazi ya watu masikini ni fursa ya kutoka kimaisha. Na Victor Chigwada. Vijana walio hitimu masomo yao katika vyuo mbalimbali wamejikuta wakibobea katika shughuli za kilimo Ili kuendesha maisha yao. Wakiongea na Taswira ya habari baadhi ya vijana…
20 May 2026, 12:58
Serikali yaanzisha malipo ya awali kwa wakulima wanao uza kwa mfumo wa stakabadh…
Kupitia mauzo hayo, wakulima wamepata zaidi ya shilingi bilioni 82.9 tangu mwaka 2024 hadi sasa. Na Yussuph Hassan Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeanzisha utaratibu wa kuwepo malipo ya awali kwa ajili…
6 May 2026, 16:35
Vijana washauriwa kujikita Katika kilimo Biashara na kuachana na mikeka
Tafiti zinaonyesha upotevu wa mazao baada ya kuvuna ni tatizo kubwa hasa katika nchi zinazoendelea ambapo Kwa mazao ya nafaka (kama mahindi, mpunga, ngano): hupotea takribani asilimia 10% hadi 20% wakati kwa mavuno na mazao ya mbogamboga upotevu unaweza kufikia…
27 April 2026, 15:17
Marufuku kuingiza, kusafirisha nguruwe Mpwapwa
Amesema wamefikia hatua hiyo kutokana na ugonjwa wa nguruwe unaosababishwa na virusi na hauna tiba wala kinga . Na Steven Noel. Kaimu Afisa Mifugo Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma Dkt. Emanuel Lyimo amesema kufuatia kuwepo wa ugonjwa wa nguruwe kwa baadhi ya…
19 March 2026, 16:53
Baadhi ya vijana Ndogowe watelekeza mashamba yao
Hayo yanajiri baada ya vijana wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT)Kijiji Cha Ndogowe kuonekana kushindwa kuendelea na palizi katika mashamba Yao yaliyopo katika mpango huo . Na Victor Chigwada. Wanufaika wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora BBT…
16 February 2026, 16:31
Vijiji 80 vyapimwa kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji
Moja ya chanzo kikubwa cha migogoro hiyo ni baadhi ya wafugaji kuhama mara kwa mara wakitafuta malisho. Na Kitana Hamis. Waziri wa kilimo Daniel Chongolo amesema bado kuna changamoto ya migogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Handeni…