
Radio Tadio
15 August 2023, 1:18 pm
Viongozi pia wamekumbushwa kuendelea kuliombea Taifa. Na Seleman Kodima. Wito umetolewa kwa watumishi na Viongozi wa Dini kuwa na Moyo wa kusaidiana watu wenye mahitaji mbalimbali pindi wanapokuwa kwenye majukumu ya utumishi. Wito huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa…