EAGT
29 May 2026, 18:03
Vijana wageukia kilimo kupambana na ukosefu wa ajira
kilimo si kazi ya watu masikini ni fursa ya kutoka kimaisha. Na Victor Chigwada. Vijana walio hitimu masomo Yao katika vyuo mbalimbali wamejikuta wakibobea katika shughuli za kilimo Ili kuendesha maisha yao. Wakiongea na Taswira ya habari baadhi ya vijana…
20 May 2026, 12:58
Serikali yaanzisha malipo ya awali kwa wakulima wanao uza kwa mfumo wa stakabadh…
Kupitia mauzo hayo, wakulima wamepata zaidi ya shilingi bilioni 82.9 tangu mwaka 2024 hadi sasa. Na Yussuph Hassan Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeanzisha utaratibu wa kuwepo malipo ya awali kwa ajili…
6 May 2026, 16:35
Vijana washauriwa kujikita Katika kilimo Biashara na kuachana na mikeka
Tafiti zinaonyesha upotevu wa mazao baada ya kuvuna ni tatizo kubwa hasa katika nchi zinazoendelea ambapo Kwa mazao ya nafaka (kama mahindi, mpunga, ngano): hupotea takribani asilimia 10% hadi 20% wakati kwa mavuno na mazao ya mbogamboga upotevu unaweza kufikia…
27 April 2026, 15:17
Marufuku kuingiza, kusafirisha nguruwe Mpwapwa
Amesema wamefikia hatua hiyo kutokana na ugonjwa wa nguruwe unaosababishwa na virusi na hauna tiba wala kinga . Na Steven Noel. Kaimu Afisa Mifugo Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma Dkt. Emanuel Lyimo amesema kufuatia kuwepo wa ugonjwa wa nguruwe kwa baadhi ya…
19 March 2026, 16:53
Baadhi ya vijana Ndogowe watelekeza mashamba yao
Hayo yanajiri baada ya vijana wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT)Kijiji Cha Ndogowe kuonekana kushindwa kuendelea na palizi katika mashamba Yao yaliyopo katika mpango huo . Na Victor Chigwada. Wanufaika wa mradi wa Jenga kesho iliyo bora BBT…
16 February 2026, 16:31
Vijiji 80 vyapimwa kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji
Moja ya chanzo kikubwa cha migogoro hiyo ni baadhi ya wafugaji kuhama mara kwa mara wakitafuta malisho. Na Kitana Hamis. Waziri wa kilimo Daniel Chongolo amesema bado kuna changamoto ya migogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Handeni…
13 February 2026, 17:23
Serikali kuja na mpango kabambe shoroba za kilimo, mifugo na uvuvi
kuongeza kipato cha wakulima, wafugaji na wavuvi, pamoja na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na kuyaunganisha maeneo yenye uzalishaji mkubwa. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi iko tayari kushiriki kikamilifu…
11 February 2026, 15:50
Mfumo wa kilimo bando kurahisisha huduma kwa wakulima
Kupitia mfumo huo wa kidijitali, wafanyabiashara na wakulima wataweza kutunza kumbukumbu zao za biashara kwa urahisi, kupanua wigo wa masoko, na kuongeza ajira kwa vijana na wanawake kupitia mnyororo mzima wa thamani wa kilimo. Na Anwary Shaban Takribani asilimia 65…
10 February 2026, 10:37
Serikali yatoa mwelekeo wa kuongeza mbegu himilivu
Kwa Tanzania na nchi nyingine zinazokabiliwa na ukame, uwekezaji katika mbegu himilivu na kilimo kinachostahimili mabadiliko ya tabianchi si hiari tena—ni hitaji la dharura. Na Mariam Kasawa. Katika miaka ya karibuni, mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuitikisa dunia, yakiacha athari kubwa…
15 August 2023, 13:18
Viongozi wa dini watakiwa kuwasaidia watu wenye mahitaji mbalimbali
Viongozi pia wamekumbushwa kuendelea kuliombea Taifa. Na Seleman Kodima. Wito umetolewa kwa watumishi na Viongozi wa Dini kuwa na Moyo wa kusaidiana watu wenye mahitaji mbalimbali pindi wanapokuwa kwenye majukumu ya utumishi. Wito huo umetolewa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa…