Radio Tadio

EAGT

6 July 2026, 17:49

Mixx by Yas yaimarisha ushirikiano na vyama vya ushirika

Kampuni hiyo imeingia makubaliano na vyama vya ushirika kwani kampuni hii imekuwa mdau wa TCDC Kwa  muda mrefu. Na Anwary Shaban. Kampuni ya Mixx by YAS Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano na vyama vya ushirika nchini kwa kusaini hati ya makubaliano…

22 June 2026, 17:02

Simulizi ya Vilindoni na uimara wa vihenge vya jadi

Uimara wa vihenge hivi umefanya viwepo hadi leo katika eneo hilo na kufanya eneo hilo kuitwa Vilindoni. Na Yussuph Hassan.Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo na ufugaji kwa maisha…

18 June 2026, 18:07

Wakulima wasisitizwa umuhimu wa mfumo wa stakabadhi ghalani

Katika hatua nyingine, Mhe. Senyamule amewaahidi wakulima kuwa serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi yatakayowasaidia kukuza na kuimarisha sekta ya kilimo. Na Mariam Kasawa. Wakulima wa kata ya Dabalo jijini Dodoma waamesisitizwa umuhimu wa matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani kwa…

16 June 2026, 17:27

Wananchi Handali watakiwa kuhifadhi chakula

Wananchi wanashauriwa kudhibiti upotevu wa mazao baada ya mavuno na kuhifadhi chakula kwa uangalifu ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi katika ngazi ya familia na kuepuka uharibifu ili kulinda usalama wa chakula . Na Victor Chigwada. Wito umetolewa Kwa wakazi…

15 June 2026, 16:41

Mwendelezo wa simulizi ya vilindoni na vihenge vya jadi

Ni historia inayostahili kuhifadhiwa na kusimuliwa ili vizazi vya sasa na vijavyo viweze kufahamu chimbuko na urithi wa mahali wanapoishi. Na Yussuph Hassan. Historia ya Vilindoni inaonesha kuwa eneo hili limekuwepo kwa muda mrefu kama makazi ya watu waliotegemea kilimo…

29 May 2026, 18:03

Vijana wageukia kilimo kupambana na ukosefu wa ajira

kilimo si kazi ya watu masikini ni fursa ya kutoka kimaisha. Na Victor  Chigwada. Vijana walio hitimu masomo yao katika vyuo mbalimbali wamejikuta wakibobea katika shughuli za kilimo Ili kuendesha maisha yao. Wakiongea na Taswira ya habari baadhi ya vijana…

27 April 2026, 15:17

Marufuku kuingiza, kusafirisha nguruwe Mpwapwa

Amesema wamefikia hatua hiyo kutokana na ugonjwa wa nguruwe  unaosababishwa na virusi na hauna tiba wala kinga . Na Steven Noel. Kaimu Afisa Mifugo  Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma Dkt. Emanuel Lyimo amesema kufuatia kuwepo wa ugonjwa wa nguruwe kwa baadhi ya…