Podcasts
July 14, 2022, 6:03 pm
Ukarabati wa soko la Malunga kukamilika baada ya wiki mbili
Zoezi la ukarabati miundombinu ya soko la Malunga Mansipaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa ajili ya gulio linaendelea na linatarajiwa kukamilka wiki mbili zijazo. Akizungumza na Huheso Fm leo julai 14, 2022 Mwenyekiti wa masoko na magulio manispaa ya…
8 July 2022, 14:52 pm
Fahamu uhusiano uliopo kati ya Jamii na kampuni za gesi
Fahamu ushirikiano ulipo kati ya jamii na kampuni ya gesi katika kiwanda kilichopo kata ya Madimba mkoani Mtwara. Makala haya yanaangazia namna gani wananchi wanaweza kupata ajira katika eneo hilo la uchakataji wa Gesi asilia katika kata ya Madimba …
8 July 2022, 14:28 pm
MAKALA: wananchi wakerwa na tabia za kuwatupa watoto
Utupaji wa watoto wachanga mara baada ya kuzaliwa limekuwa ni tukio la kikatili ambalo kwasasa limeonekana kushamili katika jamii katika nchi za kiafrika. Katika tukio la hivi karibuni lililotokea katika msitu uliopo kata ya Naliendele, Jamii fm imeangazia tukio hilo…
7 July 2022, 11:22 am
Makala: Vijana wamejiandaaje na Fursa za Ujenzi wa Kiwanda cha uchakataji wa Ges…
Ujenzi wa Kiwanda cha uchakataji na usindikaji wa Gesi asilia unatarajia kuanza kutekelezwa mkoani Lindi ambapo tayari nchi yetu ya Tanzania imesaini mkataba wa awali wa ujenzi huo. Swali ni je? Vijana wa mikoa ya Mtwara na Lindi wamejiandaaje na…
July 6, 2022, 8:02 pm
Maafisa Manispaa ya Kahama wapatiwa pikipiki za utekelezaji majumu yao
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga imegawa jumla ya pikipiki 19 kwa Maafisa kilimo, Bibi maendeleo ya jamii na watendaji katika Kata za Manispaa hiyo Akizungumza baada ya zoezi la ugawaji wa pikipiki hizo Mstahiki Meya wa Manispaa ya…
6 July 2022, 5:10 pm
Shule za Pangani zafanya vizuri matokeo ya kidato cha Sita 2022.
Baraza la mitihani nchini NECTA hapo jana limetangaza matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka 2022. Matokeo hayo yamezionyesha shule za wilaya ya Pangani kufanya vizuri. Jumanne Julai 5 Mbunge wa Jimbo la Pangani Mh. Jumaa Hamidu Aweso amefanya…
30 June 2022, 7:03 pm
Mwili wa mtu mmoja waokotwa ukiwa umeharibika Pangani.
Jeshi la Polisi Wilayani Pangani Mkoani Tanga limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mtu moja Mwanaume anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 24 hadi 25 aliyefahamika kwa jina Kombo Juma katika eneo la Kumba Mtoni lililopo kwenye kijiji cha Pangani…
28 June 2022, 20:46 pm
TAKUKURU Mtwara: Tunawashukuru Waandishi wa Habari na Wadau
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imewashukuru wananchi na taasisi mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari kwa namna ambavyo wametoa ushirikiano katika kuelimisha umma kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2022 huku TAKUKURU ikifikia malengo yake…
28 June 2022, 6:30 pm
Marufuku Bidhaa za Misitu kubebwa kwenye Pikipiki Pangani.
Wakala wa Huduma za Misitu (TFS) wilayani Pangani mkoani Tanga imepiga marufuku ubebaji wa mazao ya misitu ikiwemo mkaa kwa kutumia pikipiki ikiwa ni sehemu ya kupunguza mianya ya utoroshaji wa mazao hayo kwa njia za magendo. Afisa mhifadhi wa…
20 June 2022, 7:09 pm
Pangani FM kuongeza nguvu katika Sensa 2022
Kituo cha Redio Pangani FM kilichopo wilayani Pangani mkoani Tanga kinatarajia kuongeza nguvu katika kuisaidia serikali kufanikisha zoezi la sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022. Hayo yameelezwa na mhariri wa kituo hicho Bw. Erick Mallya kufuatia mafunzo maalum…