Podcasts
10 August 2023, 2:01 pm
Nini kifanyike kesi za ukatili wa kingono zisimalizwe kifamilia?
Serikali itaendelea kuimarisha mifumo yote ya ulinzi na usalama wa mtoto kama ilivyoelekezwa katika mikataba ya kikanda na kimataifa kuhusu haki na ustawi wa mtoto ili kuhakikisha hakuna mtoto anayefanyiwa vitendo vya ukatili. Na Mariam Matundu. Na leo tumepita Mtaani…
9 August 2023, 4:19 pm
Nini kifanyike kesi za ukatili kingono zisimalizwe kifamilia?
Unyanyasaji unaweza kutokea katika mazingira mbalimbali ya kijamii kama vile sehemu za kazi, nyumbani, shuleni au kwenye Taasisi za kidini. Na Mariam Matundu. Ni aina ya unyanyasaji unaohusisha matumizi ya matamshi ya ngono ya wazi au ya siri, ikiwa ni pamoja na ahadi zisizohitajika…
9 August 2023, 6:25 am
Taarifa ya habari Adhana FM Agosti 9, 2023
8 August 2023, 9:31 am
Kipindi: Mafanikio ya serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar
8 August 2023, 9:27 am
Kipindi: Wanawake wavuvi, wakulima wa mwani Pemba na uchumi wa bluu
Wakulima wa kilimo cha mwani shehia ya Michenzani wakikagua zao hilo baada ya kukauka(picha na Amina Masoud)
8 August 2023, 9:27 am
Taarifa ya habari Zenj FM radio 06.08.2023
8 August 2023, 9:26 am
Kipindi cha mwanamke jitambue-Tumbatu
8 August 2023, 8:54 am
Makala: Kilimo cha migomba nchini Tanzania
Radio Adhana FM inakukaribisha kusikiliza makala ya Elimika kuhusu kilimo cha Migomba, sikiliza sauti hapo juu ili kupata faida kuhusu ukulima wa migomba.
7 August 2023, 2:20 pm
Jinsi jamii inavyopambana na ukatili wa kingono dhidi ya watoto
Familia zinaaswa kuacha kumaliza kesi hizi kifamilia kwani inakuwa haisadii mtu anae fanya vitendo hivi anaweza kufanya kwa mtu mwingine. Na Leonard Mwacha. Jamii inashauriwa kuacha kufumbia macho ukatili dhidi ya watoto hasa ukatili wa kingono kwani umekuwa ukiwaathiri zaidi…
5 August 2023, 14:58 pm
Makala: Matumizi bora ya gesi ya kupikia majumbani
Na Musa Mtepa Makala haya yanasimulia matumizi bora ya nishati ya kupikia majumbani maarufu kama gesi ya kupikia, ambapo mkoani Mtwara tayari wananchi wanatumia mitungi ya kampuni mbalimbali za gesi kwa ajili ya kupikia pia tayari kuna mtandao wa gesi…