Podcasts

9 August 2023, 4:19 pm

Nini kifanyike kesi za ukatili kingono zisimalizwe kifamilia?

Unyanyasaji unaweza kutokea katika mazingira mbalimbali ya kijamii kama vile sehemu za kazi, nyumbani, shuleni au kwenye Taasisi za kidini. Na Mariam Matundu. Ni aina ya unyanyasaji unaohusisha matumizi ya matamshi ya ngono ya wazi au ya siri, ikiwa ni pamoja na ahadi zisizohitajika…

7 August 2023, 2:20 pm

Jinsi jamii inavyopambana na ukatili wa kingono dhidi ya watoto

Familia zinaaswa kuacha kumaliza kesi hizi kifamilia kwani inakuwa haisadii mtu anae fanya vitendo hivi anaweza kufanya kwa mtu mwingine. Na Leonard Mwacha. Jamii inashauriwa kuacha kufumbia macho ukatili dhidi ya watoto hasa ukatili wa kingono kwani umekuwa ukiwaathiri zaidi…

5 August 2023, 14:58 pm

Makala: Matumizi bora ya gesi ya kupikia majumbani

Na Musa Mtepa Makala haya yanasimulia matumizi bora ya nishati ya kupikia majumbani maarufu kama gesi ya kupikia,  ambapo mkoani Mtwara tayari wananchi wanatumia mitungi ya kampuni mbalimbali za gesi kwa ajili ya kupikia pia tayari kuna mtandao wa gesi…