Storm FM
Storm FM
November 20, 2025, 3:02 pm
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…
10 November 2025, 8:00 am
Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…
31 August 2025, 10:39 am
“Zoezi la chanjo ya mifugo siyo la hiari bali la lazima maana lipo kisheria na linasaidia kupunguza magonjwa ya mlipo kwa mifugo hivyo wafugaji wote muone umuhimu wa zoezi hili kwa kuipeleka mifugo yenu ikapate chanjo” DC Maswa Dkt. Vicent…
8 August 2025, 10:35 am
Mteja kachepusha umeme kwenye njia namba moja na njia namba tatu kwa kuunga waya moja kwa moja kwenye suplaya ya TANESCO Mpaka kwenye kiwanda. Na Edga Rwenduru: Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Geita limemkamata Joseph Bhukelebe mkazi wa…
15 July 2025, 05:36
24 June 2025, 12:05
Wananchi wametakiwa kuzingatia unywaji wa maziwa safi na salama kwa ajili ya afya yao. Na Orida Sayon Ukosefu wa elimu kuhusu afya ya mifugo imetajwa kuwa changamoto ya uzalishaji wa mazao ya maziwa katika halimashauri za wilaya za Kigoma, Buhigwe,…
3 June 2025, 06:44
Siku ya leo June 3,2025 kurasa za magazeti zimechepisha habari mbalimbli kama ifuatavyo Na Ezra Mwilwa
22 February 2025, 06:09
Zifahamu habari zilizo pewa nafasi kubwa katika krasa za magazeti Tanzania
20 November 2024, 4:39 pm
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Ruwasa mkoa wa Manyara imesema upatikanaji wa maji katika mkoa wa Manyara kwa vijijini ni asilimia 71 hadi kufikia septemba 30, 2024 Na Mzidalfa Zaid Mamlaka ya maji safi na usafi wa…
12 November 2024, 7:30 pm
Msukumo alioufanya mbunge wa Jimbo la Geita mjini kwa serikali juu ya usambazaji wa umeme katika eneo hilo umewakosha madiwani nakulazimika kumpongeza. Na Mrisho Sadick: Baraza la madiwani la Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita limesimama kwa dakika moja…