Storm FM

Nishati

November 20, 2025, 3:02 pm

Muziki wawaongezea utulivu Ng’ombe wakati wa kukamuliwa

Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe  wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema  amewagundua  ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…

10 November 2025, 8:00 am

Akili Unde: mfariji mpya au tishio liliojificha?

Akili mnemba (AI) sasa imeingia kwenye maisha ya kila siku kuanzia vyuoni, biashara hadi mahusiano binafsi, Wengine wanaona ni mkombozi wa elimu na ufanisi, wengine wanaiona kama hatari inayotishia fikra za kibinadamu. Na Isack Dickson Kadiri dunia inavyokumbatia teknolojia, matumizi…

31 August 2025, 10:39 am

Maswa yazindua chanjo ya mifugo, DC Anney atoa maagizo

“Zoezi la chanjo ya mifugo siyo la hiari bali la lazima maana lipo kisheria na linasaidia kupunguza magonjwa ya mlipo kwa mifugo hivyo wafugaji wote muone umuhimu wa zoezi hili kwa kuipeleka mifugo yenu ikapate chanjo” DC Maswa Dkt. Vicent…

8 August 2025, 10:35 am

Aliyejiunganishia umeme kinyemela Nkome adakwa

Mteja kachepusha umeme kwenye njia namba moja na njia namba tatu kwa kuunga waya moja kwa moja kwenye suplaya ya TANESCO Mpaka kwenye kiwanda. Na Edga Rwenduru: Shirika la umeme Tanzania TANESCO mkoa wa Geita limemkamata Joseph Bhukelebe mkazi wa…

24 June 2025, 12:05

Uzalishaji wa maziwa kwa wafugaji bado hafifu Kigoma

Wananchi wametakiwa kuzingatia unywaji wa maziwa safi na salama kwa ajili ya afya yao. Na Orida Sayon Ukosefu wa elimu kuhusu afya ya mifugo imetajwa kuwa changamoto ya uzalishaji wa mazao ya maziwa katika halimashauri za wilaya za Kigoma, Buhigwe,…