Storm FM
Storm FM
17 June 2025, 19:06
Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni wa kuwatembelea na kuwasaidia wahitaji misaada mbalimbali kwani kufanya hivyo ni sadaka na thawabu mbele za Mungu. Na Hobokela Lwinga Watu wenye ulemavu wametakiwa kutumia fursa za elimu…
8 June 2025, 2:57 pm
Baada ya kusota kwa miaka mingi hatimaye wakazi wa Geita mjini wanakwenda kupata stendi mpya ya kisasa ya mabasi. Na Mrisho Sadick: Watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi ya abiria Mkoa wa Geita wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kiasi cha…
June 7, 2025, 10:32 am
“Mkacheze kufa ama kupona ili muweze kufuzu kwenda ligi kuu ya wanawake kwasababu mnawakilisha wilaya ya Bunda na Mkoa wa mara kwaujumla” Mkuu wa Wilaya ya Bunda Aswege Enock Kaminyoge Na Amos Marwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Aswege Enock…
6 June 2025, 5:50 pm
Matamanio ya muda mrefu kwa wakazi wa Manispaa ya Geita yakuahidiwa kituo cha kisasa cha mabasi ya abiria huenda yakafanikiwa baada ya Manispaa hiyo kusaini mkataba wa ujenzi. Na Kale Chongela: Halmashauri ya Manispaa ya Geita imesaini mkataba wa ujenzi…
2 June 2025, 6:44 pm
Na Omary TIMU ya 34 ya Madaktari kutoka China wamewafanyia uchunguzi na kupatiwahuduma za afya watoto wanaolelewa katika kituo cha kulelea watoto MayatimaMazizini.Akizungumza mara baada ya kuwapatia huduma watoto hao Kingozi waMadaktari wa timu ya 34 kutoka China Dkt Wei…
26 May 2025, 4:18 pm
Imezoeleka kuwa nyuki hutupatia asali pekee,lakini nyuki hawa wana maziwa yanayopatikana kwa bei ya juu sana,Shirika la Floresta Tanzania wameweza kutubainishia hayo. Na Elizabeth Mafie-Moshi Kilimanjaro Wafugaji wa nyuki mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuchangamkia fursa za kiuchumi zitokanazo na mazao ya…
22 May 2025, 13:50
Serikali mkoani Mbeya imeagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU, ishirikiane na Mrajisi Msaidizi wa vyama vya ushirika kuwachukulia hatua viongozi wa vyama vya ushirika wa akiba na mikopo, saccos, ambao wamefuja fedha kwenye vyama vyao na kuhakikisha…
19 May 2025, 21:05
Na Samweli Mpogole Wakulima wa zao la kakao wilayani Kyela, mkoani Mbeya, wamehimizwa kuongeza thamani katika zao hilo ili kujiongezea kipato na kukuza uchumi wa kaya zao. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kyela, Mhe. Josephine Manase, wakati…
May 19, 2025, 11:38 am
Picha ya Afisa uchaguzi Bashan Kinyunyu Wananchi wametakiwa kujitokeza kwenye kuboresha taarifa pamoja na kujiandikisha kwa wale waliokosa nafasi hiyo awamu ya kwanza Na Kudrat Massaga Wananchi wamesisitizwa kijitokeza kwa wingi kwenye vituo vilivyotangazwa kwajili ya kuboresha taarifa zao pamoja…
9 May 2025, 4:41 pm
“Uchunguzi wa mapema uliwasaidia kupata tiba kwa wakati, hali iliyowezesha matibabu kuwa na ufanisi mkubwa na hatimaye kupona kabisa saratani ya matiti“ Na Mary Julius Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Saratani Zanzibar Dk Hellen Makwani ametoa wito kwa jamii, hasa…