Storm FM
Storm FM
5 August 2025, 8:36 am
Wananchi wa kiwani wametakiwa kutoa mashirikiano katika kupunguza uhalifu katika eneo pia wananchi hao wameliomba jeshi la polisi kuwachukulia hatua wahalifu wanapopekwa kituoni KHATIB JUMA NAHODA WANANCHI wa Shehia ya Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba wamelitaka Jeshi la Polisi Wilayani…
30 July 2025, 11:11 am
Wanachama wa UKICU wamelalamikia ucheleweshaji wa malipo ya mazao kwa zaidi ya saa 72, kinyume na utaratibu wa kawaida, katika mkutano mkuu uliofanyika mjini Ifakara – Morogoro. Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa UKICU – Picha na Katalina Liombechi…
20 July 2025, 5:36 pm
Mkurugenzi wa Baraza la Mji Kati, Dkt. Mwanaisha Ali Said,amewahimiza wananchi kubadilika kifikra na kuchukulia usafi kama jukumu la pamoja kwa ajili ya afya na maendeleo ya jamii. Wananchi wa Wilaya ya Kati wametakiwa kuzingatia suala la usafi wa mazingira…
13 July 2025, 7:05 pm
Tuzo ya World Summit on the Information Society (WSIS) hutolewa na International Telecommunication Union (ITU) kwa kutambua matumizi bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika maendeleo ya jamii. Mradi wa Kadi ya Matibabu ya Zanzibar uliibuka miongoni mwa…
7 July 2025, 11:12 am
Katika juhudi za kupunguza upotevu wa mazao kwa wakulima wadogo, Shirika la Farm Africa limeendesha mafunzo ya kilimo bora kwa wakulima wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara. Kupitia ushirikiano na wadau wa teknolojia ya kilimo, mafunzo haya yamelenga kuwajengea wakulima…
4 July 2025, 4:46 pm
Jamii imetakiwa kuona umuhimu wa kuwafanyia uchunguzi wa afya watoto ili kuweza kugundua tatizo na kupatiwa matibabu mapema. Na Mary Julius. Jamii nchini imeshauriwa kujiwekea utaratibu wa kuwapeleka watoto wao katika vituo vya afya ili kufanyiwa uchunguzi wa maradhi mbali…
1 July 2025, 1:43 pm
“Wanawake wamekuwa msitari wa mbele kugombania nafasi za uongozi ndani ya mkoa wa kaskazini Unguja hali hii inatuonesha wazi kuwa mkoa wetu umepiga hatua kwenye demokrasia” Na Vuai Juma Chama cha mapinduzi mkoa wa Kaskazini Unguja kimesema kinatambua juhudi na…
28 June 2025, 12:56 pm
Makala hii inazungumzia wanaume wamekua wakifanyiwa matendo ya ukatili wa kijinsi na kushindwa kuripoti kwa kuona aibu.
20 June 2025, 9:59 pm
Mkurugenzi wa halmashauri ya mji wa Babati Shaaban Mpendu amefanya ziara ya kikazi katika kata ya bonga na kusikiliza changamoto za wananchi wa kata hiyo pamoja na kutoa takwimu ya fedha na miradi iliyotekelezwa. Na George Augustino. Mkurugenzi wa halmashauri…
20 June 2025, 6:44 pm
Miradi iliyotekelezwa katika kipindi cha miaka mitano ni katika sekta ya elimu, Afya, Maji, Umeme pamoja na Barabara Na Adelinus Banenwa Kata ya Manyamanyama, iliyopo katika Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara, imepokea zaidi ya shilingi bilioni 2.28 kwa ajili…