Storm FM
Storm FM
31 July 2025, 8:21 pm
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ina jukumu la kuhakikisha vijana wengi zaidi wa Kitanzania wanapata fursa ya kujiendeleza kielimu kwa kutoa mikopo yenye masharti nafuu. Vigezo vya kupata mkopo ni pamoja na ufaulu wa masomo,…
31 July 2025, 5:13 pm
Maonesho hayo yamebebwa na Kauli mbiu ya “Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi 2025. Na; Mariam Kasawa. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amesema kuwa washiriki wapatao 1163 wamethibitisha kushiriki katika Maonesho…
25 July 2025, 12:44 pm
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Alli Ibrahimu Malinda (30), mkazi wa Kijiji cha Ng’apa, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 10. Hukumu hiyo…
17 July 2025, 9:41 pm
Awali imeelezwa mahakamani kuwa mtuhumiwa alitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kuanzia tarehe 16 Julai 2024 ambapo alifanya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa wanafunzi watano wa kike na mmoja wa kiume, wote wenye umri kati ya miaka 14 na…
July 16, 2025, 5:58 pm
Wahamiaji haramu 52 kutoka nchi ya Burundi wamekamatwa wilayani Ngara mkoani Kagera wakiwa wanasafirishwa kuelekea jijini Mwanza. Na Anold Deogratias Idara ya Uhamiaji kwa kushirikiana na jeshi la polisi mkoa wa Kagera wamefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 52 kutoka nchi ya…
13 July 2025, 4:24 pm
“ikiwa wanajamii watahamasika kuwapeleka watoto wao kwenye vituo vya elimu wakiwa na umri mdogo kutapelekea wanafunzi kuwa na muamko wa masomo yao“ Na Juma Haji. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuwapeleka shule na madrasa watoto wakiwa wadogo ili kupata msingi…
8 July 2025, 8:33 pm
Katika mipango yake ya kuboresha huduma, Serikali kupitia Wizara ya Afya, ina utaratibu wa kutenga fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za afya. Na Zaitun Mustapha na Rogasia Kipangula Uongozi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa umesema kuwa serikali…
30 June 2025, 8:03 pm
Elimu ya afya ya uzazi kwa vijana ina umuhimu mkubwa kwa jamii katika kujiletea ustawi wake. Na Joyce Buganda Shirika la SOS Chidrens Villages na taasisi ya TAI wamekuja kidigitali kwa kutengeneza jumbe zinahusu afya ya uzazi kwa vijana ili…
18 June 2025, 9:43 pm
Hamasa ya ulimaji wa zao la Pamba wilayani Maswa mkoani Simiyu huenda ukaongezeka kufuatia ongezeko la uwekezaji wa viwanda vya kuchakata na kuchambua mali ghafi ya zao la Pamba mkoani hapa. Na,Alex Sayi Bank ya Eguity imejitanabahisha kufanya mapinduzi…
17 June 2025, 8:34 am
“Tunapandisha zao moja baada ya jingine niseme tu kuwa zao la pamba ni wapo ya mkakati uliyopo katika kuleta uhalisia wa gharama anazotumia mkulima ili uchumi wa mtu mmoja mmoja na mkoa wa Simiyu uweze kukua na kuongeza hali ya…