Storm FM
Storm FM
24 July 2025, 11:34 am
‘Geita Youth Sports Tournament’ imehitimishwa kwa kuzisogeza karibu shule za sekondari 40 kutoka halmashauri ya Manispaa ya Geita kupitia michezo mbalimbali. Na: Ester Mabula Kampuni ya uchimbaji madini ya Geita Gold Minning Limited (GGML) kwa kushirikiana na halmashauri ya manispaa…
19 July 2025, 9:01 am
Katika kuendelea kumtukuza Mungu kupitia muziki wa injili mkurugenzi wa tuzo za East Africa Gospel Music Awards apandisha tuzo hiyo kilele cha mlima Kilimanjaro. Na Elizabeth Noel. Moshi -Kilimanjaro Tuzo ya Afrika Mashariki ya Muziki wa injili ( East Africa…
4 July 2025, 09:37
Serikali Kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeendelea na utekelezaji wa Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Mkoani Kigoma ambapo Ng’ombe 800 na Kuku 100 wamepatiwa chanjo wilayani Uvinza. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Ispekta Jenerali…
24 June 2025, 12:05
Wananchi wametakiwa kuzingatia unywaji wa maziwa safi na salama kwa ajili ya afya yao. Na Orida Sayon Ukosefu wa elimu kuhusu afya ya mifugo imetajwa kuwa changamoto ya uzalishaji wa mazao ya maziwa katika halimashauri za wilaya za Kigoma, Buhigwe,…
20 June 2025, 2:55 pm
Wanafunzi kukatiza masomo kwasababu ya kupatiwa ujauzito sasa imekuwa historia kwa wakazi wa kijiji cha Lwamgasa Na Edga Rwenduru: Kutokana na changamoto ya wanafunzi kutembea umbali mrefu kutoka kijiji cha Lwangasa kwenda shule ya sekondari Kilombelo Wakazi wa kata ya…
June 19, 2025, 12:55 pm
Wasira amesema baadhi ya watia nia ya nafasi za ubunge hutumia fedha kuwahonga wajumbe na kwamba chama hicho hakipo tayari kupitisha wagombea wanaotanguliza fedha. Na Elias Zephania- Chato, Geita Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Tanzania bara Stephen Wasira…
18 June 2025, 1:38 pm
Mkuu wa mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa amewataka watumishi na watendaji wa halmashauri ya Karagwe kuendeleza juhudi zilizowawezesha kupata hati safi. Na Ester Albert, Karagwe Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa ameitaka Halmashauri ya wilaya ya Karagwe…
June 7, 2025, 7:47 am
Ni kurahisisha mawasiliano na wasiosikia Na Stephano Simbeye Shirika lisilo la Kiserikali la ADP Mbozi mkoani Songwe limewasihi watoa huduma za afya nchini kuielewa lugha ya alama inayotumiwa na wenye changamoto za kusikia ili waweze kuwasiliana vuziri na watu wanaotumia…
5 June 2025, 7:28 PM
Taka zinazozalishwa majumbani na viwandani, bado ni fursa kwa jamii, badala ya kuzitupa mtaani wanaweza kutengeneza mkaa mbadala ambao ni mzuri kwa afya ya binaadam na mazingira. Na Neema Nandonde Kutokana na kuanzishwa kwa kituo cha elimu ya mazingira kilichopo wilayani…
4 June 2025, 1:22 pm
Maadhimisho ya siku ya mazingira ni nafasi nzuri ya kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua hatua madhubuti katika kudhibiti taka za plastiki na kuchangia katika ulinzi wa mazingira ya dunia nzima Na Katalina Liombechi Katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara, jamii imekuwa…