Storm FM

Geita

28 May 2021, 2:10 pm

Wanaume watakiwa kujitokeza kufanyiwa tohara Geita

Wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Mkoani Geita wameshauriwa kujitokeza katika vituo vya afya kupatiwa huduma hiyo kwani inasaidia kujikinga na magonjwa mbalimbali ikiwemo kupunguza 60% ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi. Rai  hiyo imetolewa na Mratibu wa kuthibiti  Ukimwi Mkoani Geita …

27 May 2021, 2:22 pm

Wanawake tujishughulishe na kazi kuepuka utegemezi

Wanawake katika kata ya Mgusu wilayani Geita wameshauriwa kujishughulisha na biashara ndogo ndogo za halali ili kuepuka utegemezi katika jamii. Rai hiyo imetolewa na wanawake wanaofanya kazi katika mgodi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu wa mgusu miners wakati wakizungumza…

26 May 2021, 2:17 pm

Mkoa wa Chato wapendekezwa kuundwa na wilaya 5

Kikao cha kamati ya ushauri cha mkoa wa Geita (RCC) kimekubaliana kwa pamoja kuwa mkoa mpya  wa Chato  utakaomegwa kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa jirani za kagera na kigoma utaundwa na wilaya tano za Chato,Bukombe,Ngara,Bihalamulo na kakonko. Kikao…

21 May 2021, 5:52 pm

Wachimbaji Watakiwa Kuondoa Migogoro Kazini

Na Joel Maduka: Wachimbaji wadogo   ambao wamekuwa wakifanya shughuli zao kwenye  Mikoa  ya Kanda ya ziwa  wametakiwa  kuondoa tofauti  ambazo zimekuwa zikisababisha migogoro ya mara kwa mara  hali inayochangia  kushindwa kuungana ili  kuweza kukuza uzalishaji wao na kuufanya kuwa…

20 May 2021, 8:05 pm

Wazazi na Walezi Wagomea Chanjo Nyankumbu, Geita

Na Mrisho Sadick: Wazazi na walezi katika mtaa wa uwanja kata ya Nyankumbu mjini Geita  wameshauriwa  kuwaruhusu watoto wao kupatiwa dawa  za kinga tiba ya kichocho  na minyoo ili kuwakinga na changamoto hiyo. Rai hiyo imetolewa na Mganga mfawidhi wa…

20 May 2021, 2:25 pm

Watu Wawili Wakamatwa Wakichinja Mbwa Geita

Na Zubeda Handrish: Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu wawili ambao hawajafahamika kwa majina yao wamekamatwa na jeshi la polisi baada ya kukutwa wakichinja mbwa katika mtaa wa Msalala road Halmashauri ya mji wa Geita. Wakizungumza na Storm FM wananchi…

13 May 2021, 9:47 am

Kikundi cha WhasApp cha Geita Huru chatoa msaada

Na Mrisho Sadick: Kikundi cha WhatsApp cha Geita Huru kimeungana kwa pamoja kuwatembelea watoto wenye uhitaji wakiwemo yatima katika kituo cha Bright Light kilichopo Geita mjini ambapo wametoa msaada wa chakula na vifaa vya usafi kwa ajili ya watoto hao.…

13 May 2021, 9:42 am

Mgogoro wa wachimbaji wa dhahabu wamalizika

Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita wameipongeza serikali kupitia wizara ya madini kwa kumaliza mgogoro wa wachimbaji katika mgodi wa Nyakafuru. Wakizungumza na Storm FM siku chache baada ya waziri wa madini Mhe, Dotto…