Sibuka FM
Sibuka FM
5 September 2025, 2:44 pm
“Hatuwezi kuendelea kuona wanafunzi wa kike wanashindwa kufikia malengo yao kisa tu kunamwanaume mmoja mwenye tamaaa zake na wanafunzi lazima sheria ifuate mkondo wake serikali yetu imeweka mazingira ya elimu ili kila mtanzania apate elimu”. Na,Anitha Balingilaki Mahakama ya wilaya…
5 September 2025, 6:02 am
Nitahakikisha nafufua viwananda vya Musoma na kujenga bandari ili kusaidia kupatikana meli kubwa itakayofanya safari zake kati ya Musoma, Kenya na Uganda. Na Adelinus Banenwa Mgombea Ubunge jimbo la Musoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Ndg. John…
5 September 2025, 5:57 am
Lengo la chama hicho ni kuwajaza wananchi pesa kwa kuimarisha sekta mbalimbali ili kukuza uchumi na kuwawezesha watu kujiingizia kipato. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha United Democratic Party (UDP), Saum…
2 September 2025, 7:11 pm
Chama cha DP wamejipanga kufungua kapeini na kuwaeleza watanzania juu ya sera zao na ilani yao hasa kwa upande wa afya ambapo matibabu yatakuwa ni bure na akinamama waliojifungua watalipwa. Na Adelinus Banenwa Makamu mwenyekiti wa chama cha Democratic Party…
1 September 2025, 7:41 pm
Ameahidi huduma za afya bure kwa wananchi bila gharama zozote, ajira kwa wasomi katika sekta za elimu na uvuvi, pamoja na elimu bure kuanzia chekechea hadi chuo kikuu. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Wananchi CUF, Gombo…
25 August 2025, 1:01 pm
“Walezi/Wazazi tunalo jukumu kubwa la kuwalinda watoto wetu wakati wote bila kujali mazingira waliyopo ili kuwakinga na vitu vinyoweza kuzuilika maana watoto ni tunu ya taifa lijalo”. Na,Anitha Balingilaki Watoto watatu wa kutoka kwenye familia tatu wawili wakiwa wa kitongoji…
24 August 2025, 11:29 pm
“Kwa sasa hivi mimi ni mali ya chama sio tena mtu binafsi, kwahiyo taratibu zote….” Mwandishi. Edward Lucas Siku moja baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), tarehe 23 Agosti 2025, kutangaza rasmi majina ya wagombea ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa…
23 August 2025, 3:37 pm
“Matukio ya wanyama pori wakali kuvamia makazi ya watu na kuua mifugo kuna kila namna ya kufanya kwa mamlaka za wanyama pori ili kuleta usalama kwa wananchi na mali zao lengo ni kuondoa umasikini kwa jamii kutokana na nguvu kubwa…
21 August 2025, 6:15 pm
Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM ametangaza juu ya kuvunjwa kwa makundi yote yaliyokuwepo wakati wa kutafuta mgombea wa CCM kata. Na Adelinus Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya Manyamanyama kupitia chama cha mapinduzi CCM…
19 August 2025, 8:39 pm
Makada wa CCM wapishana ofisi za wasimamizi wasaidizi wa tume kuchukua fomu za kuwania udiwani Na Adelinu Banenwa Mgombea wa udiwani kata ya nyasura kupitia chama cha mapinduzi CCM ndugu Magigi Samwel Kiboko amewaomba wanachama wa chama hicho kuwa watulivu…
18 August 2025, 5:45 pm
Ni mgombea wa cha Democratic Party DP ambaye leo tarehe 18 Augost amechukua fomu za tume huru ya taifa ya uchaguzi ngazi ya jimbo akitaka kugombea ubunge na ngazi ya kata akitaka kugombea udiwani. Na Adelinus Banenwa Abubakari Makene Johnson…
18 August 2025, 10:23 am
“Kufanya matendo ya huruma kwa wahitaji siyo utajiri bali ni kuwakumbuka wenye uhitaji kama vitabu vitakatifu vya dini vinavyosema kuwa dini ya kweli ni kuwakumbuka wenye uhitaji hivyo basi jamii yenye uwezo ni bora ikawa na moyo wa kuwakumbuka wenzetu…
4 August 2025, 6:22 pm
kiapo walichokiapa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi mbele ya Mhe hakimu wa mahakama ya Mwanzo Oscar Lyimo ni kujiondoa kuwa mfuasi wa chama chochote cha siasa na pili ni kiapo cha kutunza siri Na Adelinus Banenwa Jumla ya wasimamizi wasaidizi wa…
25 July 2025, 4:23 pm
Mambo ya kuzingatia kama kufanya maandalizi wakati wa kwenda kuripoti kwa kuhakikisha usalama wako kimazingira na hata kwenye mavazi. Na Catherine Msafiri Waandishi wa habari kutoka radio za kijamii wameaswa kuhakikisha wanakua na maandalizi mazuri ya namna ya kuripoti habari…
25 July 2025, 3:26 pm
“Waandishi endeleeni kufanya uchehemuzi wa sheria za habari ili wenye mamlaka waweze kutunga sheria mpya za habari zitakazo toa uhuru kwa wanahabari kufanya kazi zao” Khadija Ali Yussuf Waandishi wa habari kisiwani Pemba wametakiwa kuendelea kufanya uchechemuzi wa sheria za…
24 July 2025, 3:35 pm
“Lengo la msingi ndugu zetu wa Kenya na Tanzania wameweza kuangalia ni wapi maji yanakotoka, wapi yanatakiwa yasafiri na watumiaji ni wapi. Safari hii itakuwa ya siku tatu na katika siku hizo watu watakuwa na nafasi ya kujifunza, kuangalia vyanzo…
22 July 2025, 5:14 pm
uchaguzi huu umefanyika kwa mujibu wa ratiba na tayari kwa upande wa Bunda jumla ya madiwani viti maalumu 11 wamepatikana Na Adelinus Banenwa Mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi CCM wilaya ya Bunda Bi Marysiana Sabuni amesema…
July 18, 2025, 2:47 pm
Wakulima wa Kijiji cha Kivul, kitongoji cha Olmatejo jijini Arusha, wameiomba serikali kuwasaidia kuboresha miundombinu ya kilimo hasa ya maji ya umwagiliaji ambayo imekuwa changamoto kubwa kutokana na mvua. Na Jenipha Lazaro Wakizungumza wakati wa zoezi la kurekebisha mifereji na…
15 July 2025, 19:02
Zamani matukio ya ukatili wa kijinsia na ukatili dhidi ya watoto yalikuwepo, lakini yalikuwa hayaripotiwi kwa uwazi au kwa kiwango kikubwa kama ilivyo sasa. Hali hii ilisababishwa na utamaduni wa kumaliza kindugu, uoga au aibu, kutokuwa na mifumo rafiki ya…
15 July 2025, 13:20
Wakati zikiwa zimesalia siku chache kabla ya uchaguzi Mkuu wa mwezi oktoba viongozi na wafuasi wa vyama vya siasa wametakiwa kutenda haki Na Hagai Ruyagila Wajumbe wa vyama vya siasa mkoani Kigoma wanaoshiriki katika mchakato wa kura za maoni kwa…