Sibuka FM

CHANJO

15 December 2025, 5:58 pm

DC Jamila: Wekeni mikakati ya kukabiliana na udumavu kwa watoto

“Tukae kwa pamoja tuweke mikakati namna gani ya kupambana na udumavu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi Jamila Yusuph amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuendelea kusimamia kikamilifu mikakati ya kuhakikisha elimu ya lishe inatolewa kwa wananchi ili…

December 6, 2025, 9:47 am

Jamii yaaswa kuzingatia lishe kwa watoto

”Wazazi wapaswa kuzingatia makundi yote ya ya vyakula wakati wa kumwandalia mtoto unga lishe unakuta mzazi ameandaa mahindi, mchele, ulezi, na ngano bila kujua kuwa hicho alichokiandaa ni kundi moja la chakula ambalo ni wanga” Afisa lishe Halmashauri ya mji…

3 December 2025, 12:18 am

0.7% ya watu 70,000 wakutwa na VVU Karagwe

Juhudi za kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na unyanyapaa zimeendelea kukumbwa na changamoto ya mwitikio mdogo wa wananchi kupima afya zao na matumizi hafifu ya dawa kinga kwa wanaokutwa na maambukizi Na Ester Albert, Karagwe Jamii wilayani Karagwe…

November 21, 2025, 10:21 am

TMDA yaonya matumizi holela ya dawa

Frank Gasper Mhina afisa kutoka mamlaka ya dawa na vifaa tiba kanda ya ziwa (TMDA) akitoa elimu juu ya visababishi na athari za usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa linalofahamika kama UVIDA. kwa wanafunzi wa chuo cha uwalimu…

13 October 2025, 11:38 am

ACT Wazalendo Kyaka wahimiza amani wakati wa uchaguzi mkuu

Wananchi wa kata ya Kyaka wilayani Misseyi mkoa wa Kagera wametakiwa kudumisha amani ili kulisaidia jeshi la polisi kulinda raia na mali zao hasa wakati huu taifa linapojiandaa na uchaguzi mkuu Na Theophilida Felician Kagera. Chama cha ACT WAZALENDO jimbo…

13 October 2025, 10:06 am

Vyumba 16 vya madarasa vyaleta matumaini kwa wanafunzi wa Mjeloo

Hatua hii itasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi na kuimarisha mazingira ya kujifunzia. Picha na Mtandao. Kupitia mradi wa BOOST, serikali inaendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa kujenga na kukarabati vyumba vya madarasa nchi nzima. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji…

11 October 2025, 6:19 pm

Aliyekuwa diwani Nyatwali atoa ujumbe mzito kwa serikali

Miongoni mwa mazao yanayoweza kulimwa kuwa ni pamoja na mahindi, mpunga, alizeti mbogamboga ambapo viwanda vya kuchakata mazao hayo vitapatikana hapo pia. Na Adelinus Banenwa Malongo Mashimo aliyekuwa diwani kata ya Nyatwali 2020  na 2025 ameishauri serikali kulifanya eneo la…

5 October 2025, 7:36 pm

Mgombea udiwani ACT Wazalendo aahidi zahanati Mabale-Missenyi

Kati ya changamoto zilizoko katika kata ya Mabale, Mgombea udiwani ameshtushwa na hali ya kituo kilichojengwa kwa miti na kukandikwa kwa udongo kutumika kama zahanati ya kijiji cha Kibeo wilaya ya Missenyi mkoani Kagera Na Theophilida Felician, Bukoba. Mgombea udiwani…

October 3, 2025, 6:39 pm

Viongozi wa CDEA walifika Butiama

Uongozi wa CDEA kutoka Dar es salaam umetua Butiama ukiongozwa na Mkurugenzi wa Culture Development East Africa CDEA Ayeta Ane Wangusa kwa ajili ya kukutana na kufanya mkutano na wadau wa butiama juu ya maendeleo ya radio butiama uliofanyika leo…

2 October 2025, 3:15 pm

Wazee walia na huduma duni za afya Bukoba

Wazee katika maeneo mbalimbali nchini wameitumia siku ya wazee duniani kupaza sauti zao kwa serikali wakilalamikia mambo kadha kubwa likitawala suala la huduma duni za afya Na Theophilida Felician, Bukoba. Tarehe 1 Oktoba kila mwaka ni siku ya wazee duniani…

2 October 2025, 2:47 pm

Umuhimu wa mwanaume kuhudhuria kliniki

Omary Yusuph daktari kitengo cha magonjwa ya wanawake na uzazi. Picha na Anna Mhina “Kuna madhara mengi mojawapo kujifungua kwa operation” Na Anna Mhina Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda Hotel manispaa ya Mpanda mkoani…

30 September 2025, 1:01 pm

Walimu FC mabingwa Ngorongoro

Ligi ya mpira wa miguu wilaya ya Ngorongoro imetatamatika licha ya kukumbwa na changamoto kadha wa kadha ikiwepo kukosekana kwa bajeti ya kutosha kuendesha ligi hiyo. Na mwandishi wetu. Walimu FC wametawazwa mabingwa wa Ligi ya Wilaya ya Ngorongoro baada…

29 September 2025, 12:44 pm

Mwanaume kutokuhudhuria kliniki madhara kwa mjamzito

Omary Yusuph daktari hospital ya rufaa Katavi . Picha na Anna Mhina “Anaposhiriki ananifanya nisione jambo la ujauzito kuwa ni gumu” Na Anna Mhina Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani…

26 September 2025, 11:37 am

CBIDO yatoa msaada wa mashine ya mionzi Missenyi

Shirika la CBIDO lenye makao makuu yake wilayani Karagwe limeendelea na mradi wake wa Pamoja unaolenga kuzuia ulemavu na kutoa huduma za utengamao kwa watu wenye ulemavu kwa kata za Kyaka na Kilimilile Wilayani Missenyi mkoani Kagera na mara hii…