Sibuka FM
Sibuka FM
15 December 2025, 5:58 pm
“Tukae kwa pamoja tuweke mikakati namna gani ya kupambana na udumavu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda mkoani Katavi Jamila Yusuph amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuendelea kusimamia kikamilifu mikakati ya kuhakikisha elimu ya lishe inatolewa kwa wananchi ili…
December 6, 2025, 9:47 am
”Wazazi wapaswa kuzingatia makundi yote ya ya vyakula wakati wa kumwandalia mtoto unga lishe unakuta mzazi ameandaa mahindi, mchele, ulezi, na ngano bila kujua kuwa hicho alichokiandaa ni kundi moja la chakula ambalo ni wanga” Afisa lishe Halmashauri ya mji…
3 December 2025, 12:57 am
Halmashauri ya wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera imepata mwenyekiti mpya Bw. Longino Rwenduru baada ya kupigiwa kura 32 za ndiyo kati ya kura 32 zilizopigwa na madiwani wa halmashauri hiyo akirithi mikoba ya mwenyekiti wa muda mrefu Wallace Mashanda…
3 December 2025, 12:18 am
Juhudi za kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na unyanyapaa zimeendelea kukumbwa na changamoto ya mwitikio mdogo wa wananchi kupima afya zao na matumizi hafifu ya dawa kinga kwa wanaokutwa na maambukizi Na Ester Albert, Karagwe Jamii wilayani Karagwe…
27 November 2025, 9:26 am
Na Anna Mhina Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kutoa elimu ya masuala ya uzazi wa mpango ili waweze kuepukana na mimba zisizotarajiwa. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi hao wamesema kuwa wanapewa dawa za…
November 21, 2025, 10:21 am
Frank Gasper Mhina afisa kutoka mamlaka ya dawa na vifaa tiba kanda ya ziwa (TMDA) akitoa elimu juu ya visababishi na athari za usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa linalofahamika kama UVIDA. kwa wanafunzi wa chuo cha uwalimu…
22 October 2025, 9:31 pm
Baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za kisiasa mkoani Kagera wameendelea na kampeni zao kwa ajili ya kunadi sera zao katika wiki hii ya lala salama Na Theophilida Felician, Missenyi Zikiwa zimesalia siku chache wananchi kutimiza haki na wajibu wao…
13 October 2025, 11:38 am
Wananchi wa kata ya Kyaka wilayani Misseyi mkoa wa Kagera wametakiwa kudumisha amani ili kulisaidia jeshi la polisi kulinda raia na mali zao hasa wakati huu taifa linapojiandaa na uchaguzi mkuu Na Theophilida Felician Kagera. Chama cha ACT WAZALENDO jimbo…
13 October 2025, 10:06 am
Hatua hii itasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi na kuimarisha mazingira ya kujifunzia. Picha na Mtandao. Kupitia mradi wa BOOST, serikali inaendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa kujenga na kukarabati vyumba vya madarasa nchi nzima. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji…
11 October 2025, 6:19 pm
Miongoni mwa mazao yanayoweza kulimwa kuwa ni pamoja na mahindi, mpunga, alizeti mbogamboga ambapo viwanda vya kuchakata mazao hayo vitapatikana hapo pia. Na Adelinus Banenwa Malongo Mashimo aliyekuwa diwani kata ya Nyatwali 2020 na 2025 ameishauri serikali kulifanya eneo la…
6 October 2025, 11:26 am
Malezi kwa vijana wanaohitimu kidato cha nne ni jukumu la wazazi na walezi sambamba na jamii inayowazunguka wakizingatia kulinda mila na desturi Na Ospicia Didace, Karagwe Wazazi na walezi wilayani Karagwe wameaswa kuwatunza watoto wao hata baada ya kuhitimu ngazi…
5 October 2025, 7:36 pm
Kati ya changamoto zilizoko katika kata ya Mabale, Mgombea udiwani ameshtushwa na hali ya kituo kilichojengwa kwa miti na kukandikwa kwa udongo kutumika kama zahanati ya kijiji cha Kibeo wilaya ya Missenyi mkoani Kagera Na Theophilida Felician, Bukoba. Mgombea udiwani…
October 3, 2025, 6:39 pm
Uongozi wa CDEA kutoka Dar es salaam umetua Butiama ukiongozwa na Mkurugenzi wa Culture Development East Africa CDEA Ayeta Ane Wangusa kwa ajili ya kukutana na kufanya mkutano na wadau wa butiama juu ya maendeleo ya radio butiama uliofanyika leo…
2 October 2025, 3:15 pm
Wazee katika maeneo mbalimbali nchini wameitumia siku ya wazee duniani kupaza sauti zao kwa serikali wakilalamikia mambo kadha kubwa likitawala suala la huduma duni za afya Na Theophilida Felician, Bukoba. Tarehe 1 Oktoba kila mwaka ni siku ya wazee duniani…
2 October 2025, 2:47 pm
Omary Yusuph daktari kitengo cha magonjwa ya wanawake na uzazi. Picha na Anna Mhina “Kuna madhara mengi mojawapo kujifungua kwa operation” Na Anna Mhina Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda Hotel manispaa ya Mpanda mkoani…
1 October 2025, 8:10 am
“Mwaarobaini wa soko la kahawa jimbo la Karagwe ni kufuta vyama vya ushirika na kuongeza thamani ya zao hilo kwa kujenga viwanda kila kata”…Anasema Mhina Na Shabani Ngarama, Karagwe, Kagera Mgombe ubunge jimbo la Karagwe Bw. Rwegasira Hemed Mhina ameahidi…
30 September 2025, 1:01 pm
Ligi ya mpira wa miguu wilaya ya Ngorongoro imetatamatika licha ya kukumbwa na changamoto kadha wa kadha ikiwepo kukosekana kwa bajeti ya kutosha kuendesha ligi hiyo. Na mwandishi wetu. Walimu FC wametawazwa mabingwa wa Ligi ya Wilaya ya Ngorongoro baada…
29 September 2025, 12:44 pm
Omary Yusuph daktari hospital ya rufaa Katavi . Picha na Anna Mhina “Anaposhiriki ananifanya nisione jambo la ujauzito kuwa ni gumu” Na Anna Mhina Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Msasani uliopo kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani…
September 26, 2025, 11:43 pm
Hali ya taharuki imetanda katika Mtaa wa Arc, Kata ya Oloirien, jijini Arusha, baada ya wananchi kuandamana wakipinga vitendo vya kile wanachodai ni ‘kubambikiziwa kesi’ na mama mmoja anayefahamika kwa jina la ‘Mchinaaa’, ambaye ni mmiliki wa baa maarufu katika…
26 September 2025, 11:37 am
Shirika la CBIDO lenye makao makuu yake wilayani Karagwe limeendelea na mradi wake wa Pamoja unaolenga kuzuia ulemavu na kutoa huduma za utengamao kwa watu wenye ulemavu kwa kata za Kyaka na Kilimilile Wilayani Missenyi mkoani Kagera na mara hii…