Maombolezo
16 April 2024, 4:00 pm
Amuua mke kisa wivu wa kimapenzi
Matukio ya kujeruhi na kuua wenza wao yamezidi kushamili katika maeneo ya Kanda ya ziwa hasa katika wilaya ya Sengerema ambapo zaidi ya matukio matano yameripotiwa kutokea ndani ya miezi mitatu. Na:Said Mahera Mwanamme mmoja aliyejulikana kwa jina la Jackson…
14 March 2024, 3:20 pm
Yusuph Hodari akutwa amefariki uwanjani Sengerema
Jeshi la polisi wilayani Sengerema limefika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu Yusuph Hodari aliyekutwa amefariki dunia eneo la Mnadani, kisha kuupeleka katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Na:Emmanuel Twimanye Mtu mmoja…
13 March 2024, 7:09 pm
Fisi aua mtoto wa miaka 9, ajeruhi mwingine Sengerema
Matukio ya watoto kushambuliwa na fisi wilayani Sengerema yamezidi kushamili maeneo mbalimbali ambapo akizungumza katika Baraza la Madiwani hivi karibuni Diwani wa kata ya Chifunfu Robert Madaha alidai kuwa fisi waliopo Sengerema wanamilikiwa na watu kwani wana majina na namba…
7 March 2024, 10:33 pm
Amuua kwa madai ya kugoma kurudiana nae
Matukio ya wanadoa kutarakiana wakiwa wanapendana yamekuwa chanzo cha mauaji kwa wanawake kutokana na wanaume kushindwa kuvumilia hali hiyo, ambapo kwa wilaya ya Sengerema zaidi ya matukio matatu yametokea kwa mwaka huu. Na:Emmanuel Twimanye. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka…
19 February 2024, 8:13 pm
Mwanamke auawa kwa kukatwa mapanga na wasio julikana Sengerema
Matukio ya watu kuawa kwa kukatwa mapanga yanazidi kukithiri wilayani Sengerema ambapo mpaka sasa tangu mwaka huu kuanza matukio matatu ya watu kuuawa kwa mapanga. Na.Emmanuel Twimanye. Mwanamke mwenye umri wa miaka 40 Katika Kitongoji cha Nyakatome kata ya Kasungamile…
9 February 2024, 8:02 pm
Kijana ajitosa kwenye maji kutoka kwenye kivuko Ziwa Victoria
Matukio ya Watu kujitosa kwenye maji yameanza kujitokeza ambapo mwanzoni mwa mwaka huu kijana mmoja alijitosa baharini kutoka katika boti ya Zanzibar III na mwili wake ukapatikana baada ya siku 3. Na.Said Mahera Kijana mmoja aliyejulikana kwa majina ya Mashauri…
8 February 2024, 7:23 pm
Wanusurika kifo baada ya kula samaki wanaodaiwa kuwa na sumu Sengerema
Matukio ya watu kula samaki wanaodaiwa kuwa na sumu hutokea kwa baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kijiji cha Igaka ndio mara ya kwanza kutokea. Na:Said Mahera Watu saba wa familia moja wamenusulika kifo baada ya kula mbonga aina…
4 April 2021, 12:13 pm
Mwalimu mstaafu awataka vijana kuiga mfano wa Hayati Dkt. Magufuli.
Mzee Solomoni Elifuraha ni mwalimu mstaafu ambaye kafanya kazi na Hayati Dr. John Pombe Magufuli katika shule ya Senkondari Sengerema iliyopo mjini Sengerema Mkoani Mwanza. Akizungumza kwa masikitiko makubwa Mwl. Elifuraha amesema alizipokea kwa mashituko makubwa taarifa za kifo cha…
28 March 2021, 2:40 pm
Issa Mustapha atumia pikipiki kutoka Dar hadi Chato kumzika JPM.
Mwananchi mmoja anayejulikana kwa jina Issa Mustapha amesafiri umbali wa zaidi ya kilomita 1,200,kutoka mkoani Dar es Salaam hadi wilayani Chato Mkoa wa Geita kwa kutumia bodaboda kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli. Akizungumza wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza…
27 March 2021, 12:30 pm
PAROKO AWATAKA WATANZANIA KUMUENZI JPM KWA KUJITOLEA MAISHA YAO KWA WENGINE.
Hayo yamesemwa na paroko wa palokia ya Yesu kristo mfalme iliyopo mjini Sengerema Padre Henry Kibyabo katika misa maarumu ya kumuombea aliyekuwa rais ya jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati Dkt. John Pombe Magufuli iliyofanya kanisani hapo. Padre kibyabo amesema…