Radio Kwizera

Wazee

Utoaji taarifa za ukatili kikwazo mkoani Kigoma

December 12, 2025, 7:50 pm

Utoaji taarifa za ukatili kikwazo mkoani Kigoma

Baadhi ya wananchi mkoani Kigoma wameeleza ugumu wanaopitia katika swala la kutoa taarifa za maswala ya ukatili wa kijinsia wakihofia usalama wao baada ya kutoa taarifa hizo. Na; Irene Charles Katibu tawala mkoa wa Kigoma Ndg.  Hassan Rugwa amesema viongozi…

10 December 2025, 3:36 pm

Machinga Complex yaendelea na shughuli, ulinzi waimarishwa

Picha ni soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Hali ya ulinzi na usalama imeendelea kuimarishwa na vyombo vya usalama, huku wafanyabiashara wakijitokeza na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Na Lilian Leopold. Wafanyabiashara wa…

8 December 2025, 16:23

Jamii yaaswa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili

Wito umetolewa kwa jamii kuendelea kukemea vitendo vya ukatilii ambavyo vimekuwa vikifanyika kwa jamii Na Prisca Kizeba Wanawake Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili unaoendela katika jamii Hayo yamesemwa na Afisa Ustawi…

1 December 2025, 12:21

MEOs watoa msaada kwa watoto wenye uhitaji Kasulu

Wadau mbalimbali Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuendelea kujitokeza na kuwasaidia watoto wenye uhitaji Na Hagai Ruyagila Umoja wa Kikundi cha Watendaji wa Serikali za Mitaa (MEOS) cha Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa…

27 November 2025, 11:24 am

Vigodoro vyatajwa chanzo cha ukatili Kilosa

Kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 Dunia hufanya kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia lengo likiwa ni  kupinga ukatili na kutetea haki za wanawake na watoto ambao wamekua wahanga wakubwa wa kufanyiwa ukatili wa kijinsia.…

26 November 2025, 12:24 pm

MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara

Kuelekea  siku 16 za kupinga  ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa  kujitokeza katika Madawati ya kisheria  ili  kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo  na  Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…

19 November 2025, 12:22

Umoja wa wanaume watoa msaada kambi ya wazee Kigoma

Na Lucas Hoha Kikundi cha umoja wa majirani wanaume waishio Kata ya Kibirizi  Mtaa wa Buronge Manispaa ya Kigoma Ujiji wametoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea wazee wasiojiweza cha Silabu lengo likiwa ni kuonesha umoja katika kuisaidia…

17 October 2025, 8:18 am

Wahanga wa bili kubwa za maji Terrat waeleza changamoto

Na Isack Dickson Wakazi wa Kijiji cha Terrat, Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, wanakabiliwa na changamoto ya kupokea bili za maji ambazo hazilingani na matumizi yao halisi, huku wakidai kuwa bei hizo ni kubwa na zinawatesa. Baadhi yao wanasema kuwa bili…

10 September 2025, 16:03

Mhandisi Kasekenya aanza kampeni za ubunge Ileje

“Ukichagua CCM umechagua afya bora,barabara nzuri,maji salama,elimu na umeme vijijini” Na James Mwakyembe Mamia ya wananchi wamejitokeza katika uzinduzi wa kamapeni za kumnadi mgombea wa ubunge kupitia chama cha Mapinduzi CCM jimbo la Ileje mkoani Songwe Mhandisi Godfrey Msongwe Kasekenya…