Pangani FM

nyuki

11 December 2025, 5:22 pm

Wakulima kutumia kilimo mseto kukabili mabadiliko ya tabianchi

Afisa kilimo Elton Dickson Mtani kilimo mseto ni miongoni mwa mbinu bora zinazoweza kuwasaidia wakulima kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi. Na Catherine Msafiri, Katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi wakulima wameshauriwa kutumia kilimo mseto…

November 20, 2025, 3:02 pm

Muziki wawaongezea utulivu Ng’ombe wakati wa kukamuliwa

Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe  wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema  amewagundua  ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…

28 October 2025, 12:34 pm

Kamanzi: Andikeni habari zenye tija kuelekea COP 30

“Lengo la mafunzo hayo ni kuwaona wanahabari katika ngazi ya kitaifa wakiweza  kuhabarisha jamii juu ya mkutano huo kwa kuandika habari za kabla, wakati na baada ya mkutano” Na Joyce Buganda Wanahabari wametakiwa kuandika habari zenye kufikia jamii  hasa katika…

23 October 2025, 11:29 am

Madereva waaswa kuzingatia weledi

“Udereva ni taaluma kama taaluma nyingine na ni vyema wakazingatia weledi wanaootekeleza majukumu yao” Na Adelphina Kutika Madereva wa Magari ya Masafa marefu ndani na nje ya Tanzania wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia msingi kama ya Jeshi la Polisi…

13 October 2025, 1:05 pm

TAKUKURU Kupambana na rushwa kuelekea Uchaguzi Mkuu

Karibu msikilizaji katika makala maalum inayozungumzia udhibiti wa rushwa katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ambapo Taaisisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU inaendelea kutoa elimu kwa wananchi  kuepuka rushwa  kabla,wakati na baada ya uchaguzi. Karibu usikilize makala

September 21, 2025, 8:56 pm

Machifu Songwe waombea uchaguzi

Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…

5 September 2025, 2:44 pm

Magembe wa Sunzula atupwa jela miaka 30

“Hatuwezi kuendelea kuona wanafunzi wa kike wanashindwa kufikia malengo yao kisa tu kunamwanaume mmoja mwenye tamaaa zake na wanafunzi lazima sheria ifuate mkondo wake serikali yetu imeweka mazingira ya elimu ili kila mtanzania apate elimu”. Na,Anitha Balingilaki Mahakama ya wilaya…

4 September 2025, 5:09 pm

Uchaguzi wa 2025 kuwa rafiki kwa watu wenye mahitaji maalum

Na Mary Julius. Mkuu wa Mkurugenzi wa Elimu ya Wapiga Kura na Mawasiliano kwa Umma wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Juma S. Sheha, amesema tume hiyo imejipanga kikamilifu kuhakikisha watu wenye mahitaji maalum wanashiriki ipasavyo katika Uchaguzi Mkuu wa…

6 August 2025, 11:36 am

James Ole Millya aongoza kura za maoni Simanjiro

Na Isack Dickson Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Simanjiro, Ndugu Amos Shimba, ametangaza rasmi matokeo ya kura za maoni kwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Simanjiro kupitia mahojiano maalum na Orkonerei FM Radio. Kwa mujibu wa Katibu…