Mpanda FM

Zimamoto

21 February 2026, 9:36 am

Sister Island yatoa ftari Kaskazini Unguja

” Tumetoa sadaka ya ftari kwa watu wapatao 500 lengo ni kusaidia watu wenye hali ngumu na huu ni utaratibu wetu ambao huwa tunaufanya kila baada ya muda hata ikiwa sio wakati wa mfungo wa mwezi wa Ramadhani” Na Juma…

30 January 2026, 11:40 am

Mradi wa matangi waondoa adha ya maji Monduli

Na Nyangusi Olesang’ida Katika jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na uhaba wa maji, taasisi ya Vijana Assembly imezindua mradi mkubwa wa kugawa matangi ya maji kwa wananchi wa wilaya ya Monduli, mradi unaolenga kurahisisha upatikanaji wa maji ya…

22 December 2025, 09:47

Watoto yatima wakumbukwa Kigoma

Jamii na wadau mbalimbali mkoani Kigoma wameaswa kujitokeza na kuwasaidia watoto yatima na wenye uhitaji ili nao waweze kujiona wanathaminiwa na jamii inayowazunguka. Na Tresiphol Odace Kituo cha tiba mbadala cha Lupimo Sanitarian Clinic kimetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa…

Utoaji taarifa za ukatili kikwazo mkoani Kigoma

12/12/2025, 19:50

Utoaji taarifa za ukatili kikwazo mkoani Kigoma

Baadhi ya wananchi mkoani Kigoma wameeleza ugumu wanaopitia katika swala la kutoa taarifa za maswala ya ukatili wa kijinsia wakihofia usalama wao baada ya kutoa taarifa hizo. Na; Irene Charles Katibu tawala mkoa wa Kigoma Ndg.  Hassan Rugwa amesema viongozi…

10/12/2025, 15:36

Machinga Complex yaendelea na shughuli, ulinzi waimarishwa

Picha ni soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Hali ya ulinzi na usalama imeendelea kuimarishwa na vyombo vya usalama, huku wafanyabiashara wakijitokeza na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Na Lilian Leopold. Wafanyabiashara wa…

8 December 2025, 16:23

Jamii yaaswa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili

Wito umetolewa kwa jamii kuendelea kukemea vitendo vya ukatilii ambavyo vimekuwa vikifanyika kwa jamii Na Prisca Kizeba Wanawake Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili unaoendela katika jamii Hayo yamesemwa na Afisa Ustawi…

1 December 2025, 12:21

MEOs watoa msaada kwa watoto wenye uhitaji Kasulu

Wadau mbalimbali Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuendelea kujitokeza na kuwasaidia watoto wenye uhitaji Na Hagai Ruyagila Umoja wa Kikundi cha Watendaji wa Serikali za Mitaa (MEOS) cha Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa…

27/11/2025, 11:24

Vigodoro vyatajwa chanzo cha ukatili Kilosa

Kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 Dunia hufanya kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia lengo likiwa ni  kupinga ukatili na kutetea haki za wanawake na watoto ambao wamekua wahanga wakubwa wa kufanyiwa ukatili wa kijinsia.…

26/11/2025, 12:24

MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara

Kuelekea  siku 16 za kupinga  ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa  kujitokeza katika Madawati ya kisheria  ili  kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo  na  Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…